KIDATO CHA NNE KULIPIA CHETI NI SAHIHI?

KIDATO CHA NNE KULIPIA CHETI NI SAHIHI?

Mbona kama tayari umejijibu unatarajia nikukujibu tena, nimeuliza kulipia cheti ni halal, ndo utaratibu wa sasa? 2020 mwnangu wa pili alimaliza mzumbe kaenda kibaha sikuwahi kusikia kulipia cheti, mwingine kasoma private sikuwahi kusikia cheti, mara project, remedial nk.
Nashukuru umetambua huamisho unaweza kupatokana kwa Kibali maalum ama kinyume chake, si mada ya leo
 
vyuoni wanafanya research sasa kama unajua research vile inafanywa kuna pahala hela itatumika.

sasa secondary wao wanafanya project, umeuliza project gani?
Hata mkuu wa shule hajui ni project gani mwanao labda anajua title ya project atakayofanya muulize maama yeye ndo anayechagua title (project wanafanya in groups)

Kuhusu hiyo elfu30 ya project mimi sioni sababu ya mkuu wa shule kukusanya hela wakati hafanyi yeye hiyo project, lakini pia kama elf30 ni kubwa mwambie mwanao afanye project ambayo bajeti yake ni ndogo inawezekana akatumia angalau elfu10 kila mmoja wakafanya project ikakamilika.
Project kwa level hiyo imekaa kipigaji, naunga mkono hoja ,
 
Umeuliza cheti kinacholipiwa TZS 8,000/- ni cheti gani?

Nenda shule. Piga simu ujue.
 
Eti wanaunganishwa watoto watano,urefu wa kamba hiyo.
 
Sijaona cha ajabu hapo elimu ni gharama ndugu kama umeamua kusomesha lipa hiyi hela.
Kuhusu bima za elfu 10 ndio ipo ni ile Chf wanaunganisha watu 10 wanatengenezewa bima.
Ichf ni 30k,so kunatakiwa watoto sita kutengeneza familia moja ambapo kila mmoja atachangia 5k(inakubalika)
 
Nadhani shuleni leaving certificates zipo softcopy, so, walimu hujaza details za mtoto, wanaprint na kugonga muhuri.

Sasa hapo kwenye kuprint na kujaza details za mwanafunzi ndo unakuta watu wanakula cha juu.

So, kaa kwa kutulia.
Si kweli, leaving certificates zinatolewa na baraza now days. Ila wanatoa soft copy hivyo ni jukumu la shule kuziprint kwa gharama zao na kwa masharti maalumu yanayotolewa na baraza. Ila baraza hawatoi pesa za kuziprint.

Kwahiyo hapo mkuu atakuwa kajiongeza maana hii elimu bure ni kizungumkuti. Pamoja na kwamba pesa inayotolewa haikidhi kabisaaa mahitaji ya shule, bado mara miezi mitatu ipite bila pesa za elimu bure kutolewa na ikija kutolewa itolewe ya mwezi mmoja!!
 
vyuoni wanafanya research sasa kama unajua research vile inafanywa kuna pahala hela itatumika.

sasa secondary wao wanafanya project, umeuliza project gani?
Hata mkuu wa shule hajui ni project gani mwanao labda anajua title ya project atakayofanya muulize maama yeye ndo anayechagua title (project wanafanya in groups)

Kuhusu hiyo elfu30 ya project mimi sioni sababu ya mkuu wa shule kukusanya hela wakati hafanyi yeye hiyo project, lakini pia kama elf30 ni kubwa mwambie mwanao afanye project ambayo bajeti yake ni ndogo inawezekana akatumia angalau elfu10 kila mmoja wakafanya project ikakamilika.
Sioni hata sababu ya kuhoji ni project gani? Kwa level ya elimu ya sekondari kwa Tanzania hakuna kitu kinaitwa project au mafunzo kwa njia ya vitendo, huenda hii itakuwepo kwa baadhi ya shule mbeleni huko hasa hizi ambazo zimechaguliwa kuendesha elimu ya ufundi zamani zikiifahamika kama TECHNICAL SECONDARY SCHOOLS,
Hizi ni shule ambazo kwa mwaka huu zimeanza rasimi masomo hayo ambapo mtoto anachagua aina ya ufundi anaoutaka.
 
Sioni hata sababu ya kuhoji ni project gani? Kwa level ya elimu ya sekondari kwa Tanzania hakuna kitu kinaitwa project au mafunzo kwa njia ya vitendo, huenda hii itakuwepo kwa baadhi ya shule mbeleni huko hasa hizi ambazo zimechaguliwa kuendesha elimu ya ufundi zamani zikiifahamika kama TECHNICAL SECONDARY SCHOOLS,
Hizi ni shule ambazo kwa mwaka huu zimeanza rasimi masomo hayo ambapo mtoto anachagua aina ya ufundi anaoutaka.
Project zipo miaka yote wala hazijaanza leo, kidato cha nne/sita wanafanya project supervisor atasimamia kila hatua na mwisho kutoa alama,
inaonekana ulikuwa hujui mambo za projects sababu siku hizi waalimu wengi hawajisumbui na izo mambo yaani projects hazifanyiki ila kila mwanafunzi anajaziwa alama za project wakati haijafanyika.
 
Back
Top Bottom