Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Okay.....hicho cheti kinatengenezwa stationary, enzi hizo ada matumizi yanatoka huko huko sahivi hakuna ada hiyo garama nani atalipa???Kuna haja gani kulipia cheti ili hali hii tuzo kutokana na gharama ambazo mwanafunzi anakuwa ameshalipia ikiwa ni pamoja na kukaa darasani miaka minne, nakumbuka kipindi cha nyuma kulikuwa na hela ya mtihani wa taifa kwa sasa sina uhakika kwa kuwa nimesomesha zaidi private ambako nadhani hizo gharama hujumuishwa huko huko
Umesoma enzi za mkoloni mambo yalikua yanaeleweka😁Basi Cha kwangu sikumbuki kama nililipia aisee 😂
Sijaona cha ajabu hapo elimu ni gharama ndugu kama umeamua kusomesha lipa hiyi hela.Wadau Eid Mubarak,
Niende kwenye mada nina mtoto wa mdogo wangu ambaye nimekuwa nikimsuport katika elimu yake ya Sekondari. Huyu binti anasoma shule moja SIJUI niite ya serikali au ya kijamii, ni shule zile amabazo zilijengwa mahususi kwa ajili ya jamii za kifugaji ili kuisaidia ukuaji wa elimu kwenye maeneo husika.
Binti huyu mwanzo alifaulu kwenda shule ya kata maeneo ya kijijini kwetu kutokana na mazingira nikaona nifanye ninavoweza kumtoa maeneo yale na akiwa kidato cha kwanza nilifanikiwa kumuamishia shule ya bweni, ilikuwaje hii si mada ya leo.
Kifupi hii shule ina michango mingi sana nadhani Headmaster anakula kutokana na urefu wa kamba. Sasa shule zilivofungwa kwa ajili ya likizo fupi kidato cha nne hawakufunga. Leo ndo nimetumiwa mahitaji kwa ajili ya kumalizia miezi michache iliyobaki. Mojawapo ya michango iliyonistua ni kama ifuatavyo:-
1. Kitambulisho shilingi 10,000/= (Hiki wakati mtoto anaanza fomu one alilipa na hakijawahi tolewa mpaka leo)
2. Project ambayo haitajwi shilingi 30,000/=
3.Remedial 20,000/=
4. Cheti shilingi 8,000/=
5. Mahafari ya shule 20,000/=
6. Mahafari ya dini 10,000/=
7. Bima ya afya 10,000/= hii bima nikauliza kuna bima ya elfu 10? jibu nikwamba wanaunganishwa watoto watano. Hapo pia sijaelewa.
Hivi umeona hizo gharama zilizowekwa hapo? Ukizitafakari vizuri bila mhemuko unaweza kupata kitu.Okay.....hicho cheti kinatengenezwa stationary, enzi hizo ada matumizi yanatoka huko huko sahivi hakuna ada hiyo garama nani atalipa???
Au basi usilipe kataa
Maisha kizungumkuti ndugu,ukisikia ile maaana ya kua uyaone mwanangu ndiyo hiyo🤔Wadau Eid Mubarak,
Niende kwenye mada nina mtoto wa mdogo wangu ambaye nimekuwa nikimsuport katika elimu yake ya Sekondari. Huyu binti anasoma shule moja SIJUI niite ya serikali au ya kijamii, ni shule zile amabazo zilijengwa mahususi kwa ajili ya jamii za kifugaji ili kuisaidia ukuaji wa elimu kwenye maeneo husika.
Binti huyu mwanzo alifaulu kwenda shule ya kata maeneo ya kijijini kwetu kutokana na mazingira nikaona nifanye ninavoweza kumtoa maeneo yale na akiwa kidato cha kwanza nilifanikiwa kumuamishia shule ya bweni, ilikuwaje hii si mada ya leo.
Kifupi hii shule ina michango mingi sana nadhani Headmaster anakula kutokana na urefu wa kamba. Sasa shule zilivofungwa kwa ajili ya likizo fupi kidato cha nne hawakufunga. Leo ndo nimetumiwa mahitaji kwa ajili ya kumalizia miezi michache iliyobaki. Mojawapo ya michango iliyonistua ni kama ifuatavyo:-
1. Kitambulisho shilingi 10,000/= (Hiki wakati mtoto anaanza fomu one alilipa na hakijawahi tolewa mpaka leo)
2. Project ambayo haitajwi shilingi 30,000/=
3.Remedial 20,000/=
4. Cheti shilingi 8,000/=
5. Mahafari ya shule 20,000/=
6. Mahafari ya dini 10,000/=
7. Bima ya afya 10,000/= hii bima nikauliza kuna bima ya elfu 10? jibu nikwamba wanaunganishwa watoto watano. Hapo pia sijaelewa.
Au ndio maana yule headmaster bado ananiulizia mpaka leo? Usikute niliidhurumu shule 😂😂😂Umesoma enzi za mkoloni mambo yalikua yanaeleweka😁
Kwa nini isubiri leo wakati ambapo mtoto amebakiza miezi mitano ya kukaa shule?Sijaona cha ajabu hapo elimu ni gharama ndugu kama umeamua kusomesha lipa hiyi hela.
Kuhusu bima za elfu 10 ndio ipo ni ile Chf wanaunganisha watu 10 wanatengenezewa bima.
sasa huyo mkuu wa shule mahafali ya dini yanamuhusu nini? kuhusu hela ya cheti ni sawa maama NECTA hawatengenezi vyeti wanatuna tu soft copy veti vinapakuliwa wanapeleka stationary.Wadau Eid Mubarak,
Niende kwenye mada nina mtoto wa mdogo wangu ambaye nimekuwa nikimsuport katika elimu yake ya Sekondari. Huyu binti anasoma shule moja SIJUI niite ya serikali au ya kijamii, ni shule zile amabazo zilijengwa mahususi kwa ajili ya jamii za kifugaji ili kuisaidia ukuaji wa elimu kwenye maeneo husika.
Binti huyu mwanzo alifaulu kwenda shule ya kata maeneo ya kijijini kwetu kutokana na mazingira nikaona nifanye ninavoweza kumtoa maeneo yale na akiwa kidato cha kwanza nilifanikiwa kumuamishia shule ya bweni, ilikuwaje hii si mada ya leo.
Kifupi hii shule ina michango mingi sana nadhani Headmaster anakula kutokana na urefu wa kamba. Sasa shule zilivofungwa kwa ajili ya likizo fupi kidato cha nne hawakufunga. Leo ndo nimetumiwa mahitaji kwa ajili ya kumalizia miezi michache iliyobaki. Mojawapo ya michango iliyonistua ni kama ifuatavyo:-
1. Kitambulisho shilingi 10,000/= (Hiki wakati mtoto anaanza fomu one alilipa na hakijawahi tolewa mpaka leo)
2. Project ambayo haitajwi shilingi 30,000/=
3.Remedial 20,000/=
4. Cheti shilingi 8,000/=
5. Mahafari ya shule 20,000/=
6. Mahafari ya dini 10,000/=
7. Bima ya afya 10,000/= hii bima nikauliza kuna bima ya elfu 10? jibu nikwamba wanaunganishwa watoto watano. Hapo pia sijaelewa.
Yaani una maanisha ni hovyo kabisa?!Elimu ya bure ni BURE.
Mie naelewa.....pole sanaHivi umeona hizo gharama zilizowekwa hapo? Ukizitafakari vizuri bila mhemuko unaweza kupata kitu.
Mahafari ya dini si huwa yanakuwa managed na vikundi vyao vya dini... shule inaingilia ya nini. Hiyo ya dini na cheti usilipie wakikuulize nijulisheWadau Eid Mubarak,
Niende kwenye mada nina mtoto wa mdogo wangu ambaye nimekuwa nikimsuport katika elimu yake ya Sekondari. Huyu binti anasoma shule moja SIJUI niite ya serikali au ya kijamii, ni shule zile amabazo zilijengwa mahususi kwa ajili ya jamii za kifugaji ili kuisaidia ukuaji wa elimu kwenye maeneo husika.
Binti huyu mwanzo alifaulu kwenda shule ya kata maeneo ya kijijini kwetu kutokana na mazingira nikaona nifanye ninavoweza kumtoa maeneo yale na akiwa kidato cha kwanza nilifanikiwa kumuamishia shule ya bweni, ilikuwaje hii si mada ya leo.
Kifupi hii shule ina michango mingi sana nadhani Headmaster anakula kutokana na urefu wa kamba. Sasa shule zilivofungwa kwa ajili ya likizo fupi kidato cha nne hawakufunga. Leo ndo nimetumiwa mahitaji kwa ajili ya kumalizia miezi michache iliyobaki. Mojawapo ya michango iliyonistua ni kama ifuatavyo:-
1. Kitambulisho shilingi 10,000/= (Hiki wakati mtoto anaanza fomu one alilipa na hakijawahi tolewa mpaka leo)
2. Project ambayo haitajwi shilingi 30,000/=
3.Remedial 20,000/=
4. Cheti shilingi 8,000/=
5. Mahafari ya shule 20,000/=
6. Mahafari ya dini 10,000/=
7. Bima ya afya 10,000/= hii bima nikauliza kuna bima ya elfu 10? jibu nikwamba wanaunganishwa watoto watano. Hapo pia sijaelewa.
Fanya reasoning alafu ndo ucoment, nimeuliza swali make sijawahi sikia hii kitu na nimesomesha wanangu wanne, mmoja amesoma alimaliza form four Mzumbe ni ya Serikali sikusikia hizi gharama za vyeti wengine ndo nikasema labda kwa kuwa walisoma private. Ok fine cheti kinalipiwa hapo kuna malipo yanatajwa kama PROJECT Tshs 30K, Kwa nini hicho cheti kisiingie huko? Yawezekana Project ni kwa kuwa watoto walibaki shule naona chenga chenga tu sielewi hata moja haposasa huyo mkuu wa shule mahafali ya dini yanamuhusu nini? kuhusu hela ya cheti ni sawa maama NECTA hawatengenezi vyeti wanatuna tu soft copy veti vinapakuliwa wanapeleka stationary.
Kama wewe ni mtata mwambie huyo mkuu wa shule hiyo elfu nane ya cheti ni kubwa snana hutoi maama na wewe una stationary hivyo utasubili vyeti vikija utaenda kuchukua hicho cheti uka print kwenye stationary yako.
Mkuu ndo nimeshajulishaMahafari ya dini si huwa yanakuwa managed na vikundi vyao vya dini... shule inaingilia ya nini. Hiyo ya dini na cheti usilipie wakikuulize nijulishe
Ni halali ama urefu wa kamba?Nadhani shuleni leaving certificates zipo softcopy, so, walimu hujaza details za mtoto, wanaprint na kugonga muhuri.
Sasa hapo kwenye kuprint na kujaza details za mwanafunzi ndo unakuta watu wanakula cha juu.
So, kaa kwa kutulia.
MKuu elimu bure naletewa bajet ya 177K na hii nikuanzia tu mwezi huu, acha January Rim Paper box 2 na makolo kolo kibaolipia mkuu acha ubahili
Usikute na wewe ni mzazi mtarajiwa!sasa huyo mkuu wa shule mahafali ya dini yanamuhusu nini? kuhusu hela ya cheti ni sawa maama NECTA hawatengenezi vyeti wanatuna tu soft copy veti vinapakuliwa wanapeleka stationary.
Kama wewe ni mtata mwambie huyo mkuu wa shule hiyo elfu nane ya cheti ni kubwa snana hutoi maama na wewe una stationary hivyo utasubili vyeti vikija utaenda kuchukua hicho cheti uka print kwenye stationary yako.
duh polee sana au dogo itakuwa kuna vitabu alipoteza shuleniMKuu elimu bure naletewa bajet ya 177K na hii nikuanzia tu mwezi huu, acha January Rim Paper box 2 na makolo kolo kibao