Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

City of David si ndiyo hiyo Jerusalem, David who never existed,and the fake, fictitious city as well, the bible is not history, but watawala wa dunia wameamua kupuuza history, na kuwanyima wapalestina haki yao kwa mujibu wa ngano
 
City of David si ndiyo hiyo Jerusalem, David who never existed,and the fake, fictitious city as well, the bible is not history, but watawala wa dunia wameamua kupuuza history, na kuwanyima wapalestina haki yao kwa mujibu wa ngano


Kwa nini haukuitwa mji wa goliati au delila? Kama ndio nchi yao? Wafilisti si ndio wapalestina kwa jina la kizazi kipya.
 
City of David si ndiyo hiyo Jerusalem, David who never existed,and the fake, fictitious city as well, the bible is not history, but watawala wa dunia wameamua kupuuza history, na kuwanyima wapalestina haki yao kwa mujibu wa ngano

Mkuu sikia na hapa:

2 Samuel 3:
Verses 9-10 THE LORD promised David that he would take the Kingdom away from Saul and his descendants and would make David King of both Israel and Judah, from one end of the country to the other....

Ona Mfalme Daudi alivyokuwa akiwafanyia Wafilisti.
Verse 14: And David also sent messengers to Ishbosheth to say, "Give me back my wife Michal. I paid a hundred Philistines foreskins in order to marry her." Sasa haya magovi mia ya Wafilisti sijui aliyakata wakiwa hai au wakiwa wamekufa.
 
Mkuu sikia na hapa:

2 Samuel 3:
Verses 9-10 THE LORD promised David that he would take the Kingdom away from Saul and his descendants and would make David King of both Israel and Judah, from one end of the country to the other....

Ona Mfalme Daudi alivyokuwa akiwafanyia Wafilisti.
Verse 14: And David also sent messengers to Ishbosheth to say, "Give me back my wife Michal. I paid a hundred Philistines foreskins in order to marry her." Sasa haya magovi mia ya Wafilisti sijui aliyakata wakiwa hai au wakiwa wamekufa.
Unanukuu kitabu hicho hicho cha ngano,hivi unaelewa maana ya ngano???
 
Inasikitisha kuona watu wanachangia vitu wasivoelewa kwa vigezo vya ushabiki wa kidini

Tuwe wanafunzi wazuri wa historia
Kwanza neno "Palestine" lilikuwepo toka enzi za kale
Ardhi wakaayo wayaudi Leo hii "iliitwa Palestine"

Hakukuwa na taifa lililoitwa Palestine (halijawahi kuwepo) tafuta vitabu vya historia za kale hata kimoja kituoneshe uwepo wa taifa LA Palestine)
Palestine never existed as a nation.haijawahi kuwa taifa

Hakuna watu wa asili ya Palestine isipokuwa watu wrote walioishi ardhi ya Palestine waliitwa wapalestina wayahudi wakijumuishwa humo.

Watu huchanganya Philistines and Palestine .. Hivi in vitu wiwili tofauti .

Hili taifa LA Palestine LA sasa ni pure propaganda
Infact jiulize maswali yafuatayo;
1.wanatumia lugha gani?
2.asili yao ni wapi?
3.general culture zao ni zipi?
Ànswers
Wa Palestine wengi wa Leo ni pure Arabs tena wa Iran,Syria quwait na Egypt
Wanaposes tamaduni za kiarabu pure hafu wanadanya ulimwengu wao ni taifa LA Palestine nahuku niwaamiaji tu wa nchi za karibu za kiarabu
Fact!
Ni taifa gani halina lugha ya asili (wanatumia kiarabu most)
Tamaduni zote ni za waarabu wa jirani.


Kubwa kuliko mwanaharakati wake na kiongozi mashuhuri
"Yassir Arafat " ni pure Egyptian then wanakuja kutuambia there is nation called Palestine.

Palestinian nation never exited, doesn't exist and will never exist
Zote hizi ni propaganda dhidi ya wayàhudi zinazoletwa na chuki binafsi za majirani zake (waarabu)


Ukitaka kujua chanzo cha mgogoro huu jaribuni kurudi nyuma kidogo hadi katika roman invasion ya 72.AD .ukisoma kwa undani utapata core concept ya hii confusion.

Note:
Mkiuchukulia mgogoro huu kiushabiki wa kidini kamwe hautokuja kuisha huo ndo ukweli
Tatizo ukweli mchungu.
 
Inasikitisha kuona watu wanachangia vitu wasivoelewa kwa vigezo vya ushabiki wa kidini

Tuwe wanafunzi wazuri wa historia
Kwanza neno "Palestine" lilikuwepo toka enzi za kale
Ardhi wakaayo wayaudi Leo hii "iliitwa Palestine"

Hakukuwa na taifa lililoitwa Palestine (halijawahi kuwepo) tafuta vitabu vya historia za kale hata kimoja kituoneshe uwepo wa taifa LA Palestine)
Palestine never existed as a nation.haijawahi kuwa taifa

Hakuna watu wa asili ya Palestine isipokuwa watu wrote walioishi ardhi ya Palestine waliitwa wapalestina wayahudi wakijumuishwa humo.

Watu huchanganya Philistines and Palestine .. Hivi in vitu wiwili tofauti .

Hili taifa LA Palestine LA sasa ni pure propaganda
Infact jiulize maswali yafuatayo;
1.wanatumia lugha gani?
2.asili yao ni wapi?
3.general culture zao ni zipi?
Ànswers
Wa Palestine wengi wa Leo ni pure Arabs tena wa Iran,Syria quwait na Egypt
Wanaposes tamaduni za kiarabu pure hafu wanadanya ulimwengu wao ni taifa LA Palestine nahuku niwaamiaji tu wa nchi za karibu za kiarabu
Fact!
Ni taifa gani halina lugha ya asili (wanatumia kiarabu most)
Tamaduni zote ni za waarabu wa jirani.


Kubwa kuliko mwanaharakati wake na kiongozi mashuhuri
"Yassir Arafat " ni pure Egyptian then wanakuja kutuambia there is nation called Palestine.

Palestinian nation never exited, doesn't exist and will never exist
Zote hizi ni propaganda dhidi ya wayàhudi zinazoletwa na chuki binafsi za majirani zake (waarabu)


Ukitaka kujua chanzo cha mgogoro huu jaribuni kurudi nyuma kidogo hadi katika roman invasion ya 72.AD .ukisoma kwa undani utapata core concept ya hii confusion.

Note:
Mkiuchukulia mgogoro huu kiushabiki wa kidini kamwe hautokuja kuisha huo ndo ukweli
Tatizo ukweli mchungu.
Safi sana,Israeli is a propaganda
 
Hoja dhaifu kabisa hizi

Kwahiyo hizi ndizo nguzo za uislamu?

Kwahiyo nikifuga mzuzu, na kuvaa kanzu, tayari nishakuwa muislamu?

WAYAHUDI MPAKA KESHO WANAVAA KANZU, WANAFUGA NDEVU, KWAHIYO NI WAISLAMU?

halafu hiz hoja zenu mufilisi muwadanganye watanzania hapa hapa, KWINGINE MTAPIGWA MAWE, kwa uongo
Hawajua kama zile zilikua tamaduni za jamaa ile ambayo Yesu alikua akiishi kati yao.
 
Hivi Trump ni msomi au mcheza sinema aiseeee
Mfuatilie. Utamjua vyema. Kabla hujamfuatilia jiridhishe usomi ni nini...!? Ila nachofahamu ana masters Degree na ni mtu aliyeitumia elimu yake vyema kufika alipofika .
 
Huu ugomvi ni wa kiroho zaidi hauwezi tatuliwa na siasa,
Ibrahim alipewa ahadi na Mungu hujakosea ni kweli kabisa lakin naomba nirejee Biblia yangu,

Israel na Palestina baba yao ni mmoja Ibrahim,
Palestina mama yao ni Hajiri ambaye alikuwa mjakazi,
Israel mama yao ni Sara ambaye ni mke wa wa Ibrahim

Ugomvi ulio kuwa hapo ni ardhiii
Hajiri alimzaa Ishamael
Sara alimzaa Isaka huyu Isaka ndiye ambaye.Mungu.alimwambia Ibrahim kuwa
Mwanzo 18:9
Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani
10 Akamwambia, hakika nitakurudia wakati uu huu mwakani, na tazama, Sara mkeo atapata mwana wa kiume.

##Mungu aliweka hicho kitu kwa sara na Ibrahim na sio kwa Hajiri

Turudi mwanzo 17:2-
Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana

5 wala jina lako hutaitwa tena Abraham, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.

6Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako

Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako

7 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele, nami nitakuwa Mungu wao.


15 Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwakuwa jina lake litakuwa sara,

16 Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, (ambaye ni Isaka ktk huyu alitoka wana wawil mmoja Yakobo ambaye ni Israel) nami nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake


##hapo juu pamejieleza, hizo ahadi za kumiliki Kanaani alipewa Ibrahim na uzao wake, na kwa mkewe Sara,
Na hilo agano lilifanyika imara kwa isaka na kuendelea na uzao wake Yakobo na kuendelea pia

Hata Ibrahim aliwaza kuhusu mtoto wake Ishmaeli,

Mwanzo 17:18
Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmael angeishi mbele yako.

I##I brahim anamwambia Mungu hapo juu kuhusu mtoto.wake Ishmael

##Tuone Mungu alivyo mjibu Ibrahim

19. Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwaajili ya uzao wake baada yake(ambao hapa tunampata Yakobo ambaye ni Israel, hapa hili ni.agano, na Mungu ni mtunza maagano,)

##sasa tuje.kwa Ishmael ambaye alizaliwa na Hajiri yule mjakazi

Mungu.alisema nini.juu yake turudi ktk maandiko

Mstari
20 Na kwa habari za Ishmael nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongezea sana sana .Atazaa maseyid kumi na mawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

Ishmael alibarikiwa pia lakini kubarikiwa kwake hakupewa baraka za agano ambazo ni kupewa moja ya baraka ni nchi ya Kaanani(Ardhi yenye rutuba ardhi yenye kila kitu, hii ilikuwa ahadi ya mtoto wa sarah na Ibrahim na sio Ibrahim na Hajiri.

Baba yao ni mmoja ndio na wakwanza kuzaliwa kimwili ni Ishamael lakini kwa Mungu.mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Isaka ambaye huyu ktk uzao wake alitoka Israel.

Turudi kwenye maandiko mstari wa
21 Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.

## tunaona hapo agano nani alipewa ni mtoto.wa.Sara ambaye alikuwa hata kuzaliwa bado, lakini Mungu alishamundaa kuwa wafalme watatoka kwake, agano imara linafanyika kwake
Na hakuna.awezaye kushindana na Mungu, hakuna anayeweza kuvunja.agano la Mungu.

Hii vita ya Israel na Palestina ni mtoto Hajiri na mtoto.wa Sara,

Lakini tuangalie pia maandiko.yanasemaje?

Mwana wa mjakazi hatorithi pamoja na mwanangu, Isaka (mwanzo 21:10)

Ukianzia kusoma juu kabisa yaan mstari.10
Sara alimwambia Ibrahim amfukuze Hajiri na mtoto.wake sababu walikuwa wanamfanyia dhihaka,
Kama baba Ibrahim aliumia sababu bado Ishmael ni mtoto.wake
Lakini Mungu.aliingilia kati akamwambia Ibrahim Neno hili.lisiwe baya machoni pako kwaajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara. Sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao.wako.utaitwa( mwanzo 21:10-12)
Unaona hapo juu Isaka ndiye aliyebeba jina la Ibrahim

Lakini pia Mungu.bado.hakumsahau Ishmael alipata (mstari)
13 Nate mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako

Sasa tunaona kabisa nani.alikuwa wa agano toka mwanzo, na ukiendelea kusoma Biblia utakuta mbele kabisa Mungu.aliwapa Israel hiyo ncho ya Kanani na mipaka yake aliwaambia, na sio Ishmael

Ishamel anabaraka zake.lakin yeye sicho kizazi alicho sema Mungu kuwa kitaenda utumwani na baada ya miaka 400 mwanzo.15:12-13)

Nasimama upande wa Israel wana haki hiyo, sababu vita yao ni ya kiroho na siyo ya mwilini
Na huu ugomvi hauishi kwa siasa
Kwa ufup ni hivyo
 
Na hii kupoteza ardhi yao ni kutokana na makosa yaliyo tendeka, Suleman, kuoa wanawake walio mgeuza moyo na kuanza kutumikia miungu mingine.
Mungu hapendi kuchanganywa, hii ilifanya wakatawanyika ktk nchi mbali mbali na Yerusalemu zilibaki kabila 2 ambazo Mungu aliziacha kwaajil ya agano alilo funga na Daudi kuwa hatokosa mtu wa kumiliki katika Israel hii inarudi nyuma pia ktk Ahadi Mungu aliyo weka kwa Ibrahim

Lakini pia waliambiwa wakitubu Mungu atawarejeza katika nchi yao,
Hii vita itaenda hadi mipaka yote waliyo ambiwa na Mungu irejeshwe, wanafuata maandiko Yaani Biblia, ndio maana wana nguvu ya kutetea haki yao, ndio maana hata ktk vita vikitokea angalia matokeo ya vita ilivyo,
Lazima waombe,
Wakishindwa ujue wamemkorofisha Mungu wao, sababu ukirejea Biblia Israel wakipigwa hiyo ni adhabu ambayo Mungu alikuwa anawapa kwa kumkorofisha na wao wanajua
Wakitubu wakirud vitan wanashinda, haijalishi idadi ya adui wapo wangapi, walio kuwa upande wao ni wengi kuliko walio upande wa adui
 
Kwahiyo kidini waislam pia wako sahihi wanavyoruhusiwa kukata vichwa ma kafir wote mjini?


Hakuna kitu kama hiko, waislam wanaendekeza tu ujinga kwani hata masheikh wanajuwa kwamba Mungu anakataza kuua watu, ila wajinga ndiyo wanatumia baadhi ya quotes (zinazopotosha ama kwa wenyewe kushindwa kuelewa) kwenda kuua watu eti kutetea dini. Mungu gani anaruhusu kitu kama hiki, Mungu si dini na dini wala si Mungu.
 
Divine Ibrahim alipewa ahadi ya nchi ya Kaanani kabla Ishmael na Isihaka hawajazakiwa. Na hii Kaanani ilikuwa na wakazi wake tayari ndio wazazi wskina Rahabu na Goliati.

Lakini Hajir alitokea Misri na alipoondoka na Ismael aliendaye naye Misri na kumpatia mke kati ya jamaa zake. Hapa unasemaje?



Huu ugomvi ni wa kiroho zaidi hauwezi tatuliwa na siasa,
Ibrahim alipewa ahadi na Mungu hujakosea ni kweli kabisa lakin naomba nirejee Biblia yangu,

Israel na Palestina baba yao ni mmoja Ibrahim,
Palestina mama yao ni Hajiri ambaye alikuwa mjakazi,
Israel mama yao ni Sara ambaye ni mke wa wa Ibrahim

Ugomvi ulio kuwa hapo ni ardhiii
Hajiri alimzaa Ishamael
Sara alimzaa Isaka huyu Isaka ndiye ambaye.Mungu.alimwambia Ibrahim kuwa
Mwanzo 18:9
Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani
10 Akamwambia, hakika nitakurudia wakati uu huu mwakani, na tazama, Sara mkeo atapata mwana wa kiume.

##Mungu aliweka hicho kitu kwa sara na Ibrahim na sio kwa Hajiri

Turudi mwanzo 17:2-
Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana

5 wala jina lako hutaitwa tena Abraham, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.

6Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako

Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako

7 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele, nami nitakuwa Mungu wao.


15 Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwakuwa jina lake litakuwa sara,

16 Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, (ambaye ni Isaka ktk huyu alitoka wana wawil mmoja Yakobo ambaye ni Israel) nami nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake


##hapo juu pamejieleza, hizo ahadi za kumiliki Kanaani alipewa Ibrahim na uzao wake, na kwa mkewe Sara,
Na hilo agano lilifanyika imara kwa isaka na kuendelea na uzao wake Yakobo na kuendelea pia

Hata Ibrahim aliwaza kuhusu mtoto wake Ishmaeli,

Mwanzo 17:18
Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmael angeishi mbele yako.

I##I brahim anamwambia Mungu hapo juu kuhusu mtoto.wake Ishmael

##Tuone Mungu alivyo mjibu Ibrahim

19. Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwaajili ya uzao wake baada yake(ambao hapa tunampata Yakobo ambaye ni Israel, hapa hili ni.agano, na Mungu ni mtunza maagano,)

##sasa tuje.kwa Ishmael ambaye alizaliwa na Hajiri yule mjakazi

Mungu.alisema nini.juu yake turudi ktk maandiko

Mstari
20 Na kwa habari za Ishmael nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongezea sana sana .Atazaa maseyid kumi na mawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

Ishmael alibarikiwa pia lakini kubarikiwa kwake hakupewa baraka za agano ambazo ni kupewa moja ya baraka ni nchi ya Kaanani(Ardhi yenye rutuba ardhi yenye kila kitu, hii ilikuwa ahadi ya mtoto wa sarah na Ibrahim na sio Ibrahim na Hajiri.

Baba yao ni mmoja ndio na wakwanza kuzaliwa kimwili ni Ishamael lakini kwa Mungu.mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Isaka ambaye huyu ktk uzao wake alitoka Israel.

Turudi kwenye maandiko mstari wa
21 Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.

## tunaona hapo agano nani alipewa ni mtoto.wa.Sara ambaye alikuwa hata kuzaliwa bado, lakini Mungu alishamundaa kuwa wafalme watatoka kwake, agano imara linafanyika kwake
Na hakuna.awezaye kushindana na Mungu, hakuna anayeweza kuvunja.agano la Mungu.

Hii vita ya Israel na Palestina ni mtoto Hajiri na mtoto.wa Sara,

Lakini tuangalie pia maandiko.yanasemaje?

Mwana wa mjakazi hatorithi pamoja na mwanangu, Isaka (mwanzo 21:10)

Ukianzia kusoma juu kabisa yaan mstari.10
Sara alimwambia Ibrahim amfukuze Hajiri na mtoto.wake sababu walikuwa wanamfanyia dhihaka,
Kama baba Ibrahim aliumia sababu bado Ishmael ni mtoto.wake
Lakini Mungu.aliingilia kati akamwambia Ibrahim Neno hili.lisiwe baya machoni pako kwaajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara. Sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao.wako.utaitwa( mwanzo 21:10-12)
Unaona hapo juu Isaka ndiye aliyebeba jina la Ibrahim

Lakini pia Mungu.bado.hakumsahau Ishmael alipata (mstari)
13 Nate mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako

Sasa tunaona kabisa nani.alikuwa wa agano toka mwanzo, na ukiendelea kusoma Biblia utakuta mbele kabisa Mungu.aliwapa Israel hiyo ncho ya Kanani na mipaka yake aliwaambia, na sio Ishmael

Ishamel anabaraka zake.lakin yeye sicho kizazi alicho sema Mungu kuwa kitaenda utumwani na baada ya miaka 400 mwanzo.15:12-13)

Nasimama upande wa Israel wana haki hiyo, sababu vita yao ni ya kiroho na siyo ya mwilini
Na huu ugomvi hauishi kwa siasa
Kwa ufup ni hivyo
 
ukisoma humu ndio utagunduakwa kiasi kikubwa watu walivyo majuha,wanatoa opinions wakidhani ni fact na wanakula likes za kutodha,waisrael wajanja sana wamefanikiwa kuufanya huu mgogoro kama wa kidini yaani ni wa waisla na wakristo japo wao hawako popote katika makundi hayo mawaili,wanaweza kuwepo popote kati ya hayo makundi hasa la wakristo kulingana na ujuha wa walio wengi wasio jua kinachoendelea duniani juu ya huu mgogoro
 
Inasikitisha kuona watu wanachangia vitu wasivoelewa kwa vigezo vya ushabiki wa kidini

Tuwe wanafunzi wazuri wa historia
Kwanza neno "Palestine" lilikuwepo toka enzi za kale
Ardhi wakaayo wayaudi Leo hii "iliitwa Palestine"

Hakukuwa na taifa lililoitwa Palestine (halijawahi kuwepo) tafuta vitabu vya historia za kale hata kimoja kituoneshe uwepo wa taifa LA Palestine)
Palestine never existed as a nation.haijawahi kuwa taifa

Hakuna watu wa asili ya Palestine isipokuwa watu wrote walioishi ardhi ya Palestine waliitwa wapalestina wayahudi wakijumuishwa humo.

Watu huchanganya Philistines and Palestine .. Hivi in vitu wiwili tofauti .

Hili taifa LA Palestine LA sasa ni pure propaganda
Infact jiulize maswali yafuatayo;
1.wanatumia lugha gani?
2.asili yao ni wapi?
3.general culture zao ni zipi?
Ànswers
Wa Palestine wengi wa Leo ni pure Arabs tena wa Iran,Syria quwait na Egypt
Wanaposes tamaduni za kiarabu pure hafu wanadanya ulimwengu wao ni taifa LA Palestine nahuku niwaamiaji tu wa nchi za karibu za kiarabu
Fact!
Ni taifa gani halina lugha ya asili (wanatumia kiarabu most)
Tamaduni zote ni za waarabu wa jirani.


Kubwa kuliko mwanaharakati wake na kiongozi mashuhuri
"Yassir Arafat " ni pure Egyptian then wanakuja kutuambia there is nation called Palestine.

Palestinian nation never exited, doesn't exist and will never exist
Zote hizi ni propaganda dhidi ya wayàhudi zinazoletwa na chuki binafsi za majirani zake (waarabu)


Ukitaka kujua chanzo cha mgogoro huu jaribuni kurudi nyuma kidogo hadi katika roman invasion ya 72.AD .ukisoma kwa undani utapata core concept ya hii confusion.

Note:
Mkiuchukulia mgogoro huu kiushabiki wa kidini kamwe hautokuja kuisha huo ndo ukweli
Tatizo ukweli mchungu.
mkuu nikuletee barua za Albert eistein zikiwa zimeaddressiwa palestine?,

ujue eneo hilo limejulikana palestine na British walipewa mandate ya kuitawala palestina na League of Nations baada ya vita vya pili vya dunia
 
Ni mpuuzi tu atakaekanusha kuwa wafilist hawahusiani na wapalestina,
japokuwa wapalestina ni mchanganyiko pia wa jamii mbalimbali za wakati huo mfano wa amori,wahittite,edomu etc.

Lakini wapalestina wa Gaza,wale ni pure wafilisti,
Gaza ni mji wa zamani kuliko jerusalem,nadhani kwa eneo hilo gaza utakuwa mji wa kale kuliko yote ukiachia damusca ambao umeendelea kuwepo,
kabla hawajaitwa wafilist hawa watu walikuja kutoka kisiwa cha ugiriki,kiitwacho krete,
na walijulikana kama sea peoples,
shughuli yao kuu ikiwa ni uvuvi samaki,mji wa Gaza ni miongoni mwa miji ya mwanzo waliyoestablish,
mpaka leo gaza shughuli kubwa wanayofanya ni uvuvi,
lakini jamii hii ya wafilisti ilikuwa na nguvu na ilijitanua na kuingia ndani ndani ya caanan,

hadi Abraham anakuja kutoka Harran,alikuta wafilisti walishaenea,
hata mtawala wa jerusalem,kipindi hicho ikiitwa Salem ama salum,yote hayo maana yake ni Salama ama Amani.mtawala wake akiitwa melchizedeki.
 
kwa huu ugomvi naona wameacha nguvu iamue izi propaganda hata azisaidi.kuna hawa jamaa The house of Rothschild wanahusika sana kwenye hii movement.
 
Back
Top Bottom