Kidini Kajala ni mke wa mtu, Harmonize atamuoaje?

Kufinyia ndani sahv ndy fashion
Haha...kuna mtu nmemuacha hko mtwara kakabidhiwa mradi barabara
Ana mtoto anamfinyia ndani
Huo mradi sjui kma utaisha

Ova

Hapo ni delaying za certificate hadi vifusi viwe kama mawe
 
Ukikutana na demu mjini na anapambana na maisha yake, mwanaume kuwa makini sana unapofika uamuzi wa kutaka kuoa vinginevyo wewe piga tu ile niaje kupunguza mingali
 
Inawezekana.

Wachungaji / Mapadri huwa wanahongwa.

I am speaking from a very personal experince kanisani kwetu.

Wachungaji walipinga pinga ndoa ya kigwiji fulani kwa vigezo vizito na vya wazi, mara tanaona ndoa inafungwa. Kumbe bana familia ya bwana harusi imedondosha dau ambalo wanasema "hata wewe usingeliweza kukataa."
 
Kuolewa ni hiari ya mtu na hiari inashinda vyeti. Mmoja wa mwenza akikataa tayari ndoa haipo, achana na sheria za kanisa. Anaweza olewa hata kihindu maadamu tu uwe na pesa.
 
Konde kafa kwa kahaba....jamaa wa UN anavuta..anaweka ndan week..masanja anapozwa na 600k...kweli tembo kawa fisi...
Muziki bila kiki auendi,konde anasaka scendo in town Ili auze muziki.
Bila hivyo muziki hauendi.
 
Hiyo trending yao na Harmo atakayekuja kuumia ni Harmo... Kajala yupo kwa ajili cash na sivinginevyo
Hamo anafata nyota ya k Ili awe juu kimuziki na kajala maisha ya mjini magumu bila mfadhili.
Hamo ndo ATM yake. ATM inapendwa na KILA mtu.
 
Kama imewezekana kwa Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania Dayosisi ya Konde, hilo ni jambo dogo sana. Atafunga ndoa tu mama Paula
Hiyo dayosisi ina watu wenye mapepo?
Mbona kuna visanga visivyoisha kila siku .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…