macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Sehemu hiyo ni ngumu kupona haraka kwa sababu ni sehemu ya mkunjo (kifundo). Yaani unakuwa unakunja na kukunjua kidole na pia hiyo sehemu imejaa kitu kama nyama yenye mafuta. Rudi hospital kama unaona hakiponi. BTW hizo hosptal za wakorea huko uwe makini sana. Dunia imebadilika hii watu wanajali fedha tu.Usafi wa namna gani..naje kinakaa wazi hivi hvi au
Hapo sawa. NimekupataMhh, mimi sio mtaalamu wa kiswahili lakini fungu hapana.
Namaanisha kitunguu kizima.
Habari wakuu
Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.
Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.
Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.
Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%
Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo
Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?
View attachment 3151499
Haki Tena nimekoma siwezi kuja Rudi mambo ya wakorea au wengine wote ntakua nihospital tuSehemu hiyo ni ngumu kupona haraka kwa sababu ni sehemu ya mkunjo (kifundo). Yaani unakuwa unakunja na kukunjua kidole na pia hiyo sehemu imejaa kitu kama nyama yenye mafuta. Rudi hospital kama unaona hakiponi. BTW hizo hosptal za wakorea huko uwe makini sana. Dunia imebadilika hii watu wanajali fedha tu.
Normal saline nikitu ganiPole Sana Mkuu Ila Kwa Kuangalia Hicho Kidonda mbona Hakina Shida Kubwa Sana..
Na Naona Basement ya Kidonda kuna Healing tissue kabisa Sema Inaonekana Unakiacha Bacteria Wanakishambulia..
Sasa Unaweza ukafanya Hivi..
Kisafishe Kidonda na Antiseptic Kwa Hali ilivyo nina Prefer Utumie Povidone Iodine (Fanya kama Painting usikwangue Ngozi)..
Halfu kaa kama Dakika 30 hivi Futa Hiyo Povidone Iodine kwa Kutumia Normal Saline halafu Paka Dawa Mebo Cream.. then Kifunge Kidonda..
Kesho ukianza anza kwa Kufuta Dawa hiyo kwa Kutumia Normal Saline then Paka Iodine then Mebo..
Na Endelea Mpaka Siku tano..
Kwakuwa Kimekaa Muda Mrefu Ninge Recomend Usikifunge Kiache Kipone kwa Secondary Healing method..
Nikipaka mebo cream nakifunga kidonda naninPole Sana Mkuu Ila Kwa Kuangalia Hicho Kidonda mbona Hakina Shida Kubwa Sana..
Na Naona Basement ya Kidonda kuna Healing tissue kabisa Sema Inaonekana Unakiacha Bacteria Wanakishambulia..
Sasa Unaweza ukafanya Hivi..
Kisafishe Kidonda na Antiseptic Kwa Hali ilivyo nina Prefer Utumie Povidone Iodine (Fanya kama Painting usikwangue Ngozi)..
Halfu kaa kama Dakika 30 hivi Futa Hiyo Povidone Iodine kwa Kutumia Normal Saline halafu Paka Dawa Mebo Cream.. then Kifunge Kidonda..
Kesho ukianza anza kwa Kufuta Dawa hiyo kwa Kutumia Normal Saline then Paka Iodine then Mebo..
Na Endelea Mpaka Siku tano..
Kwakuwa Kimekaa Muda Mrefu Ninge Recomend Usikifunge Kiache Kipone kwa Secondary Healing method..
Soma Maelezo tena Mkuu Taratibu kabisaNikipaka mebo cream nakifunga kidonda nanin
Sasa maji ntayaepukaje nani mkono wakushoto chooni ntajisafishajeSafisha kidonda kwa maji ya kusafishia vidong " Usol", kabla ya hapo andaa: fragile 2, PNV 2, Ampiciline 2, vidonge uvisage pamoja vilainike sana, kisha changanya na hiyo ampiciline, ukiwq umeshasafisha kidonda, weka hiyo dawa, usikifunge maana kitatoa maji mepesi, kikisha acha kutoa hayo maji unaweza kufunga, ila nashauri ukiache kiwe wazi tu, utaweka mara moja au mbili tu kwishaaaa. Dawa ikiwa kwa kidonda usiruhusu maji yakilowanishe, usiache kuleta ushuhuda hapa ukipona
Ok, pole sana.Yaan kidonda kilitokana nakupewa dawa ya bawasiri nawajapan ktk clinic zao hiyo dawa inawekwa ktk kidole hapo juu nlikua kidole kizima kabisa Sina donda ndo wakabia dawa Yao inawekwa juu ya kidole Kisha wanaichoma dawa inaungua Hadi iiishe ikiwa ktk kidole so ndio mwanzo wakidonda Sasa kutokea
paka alovera hapo lile jani kikate upake yale maji maji yake hapo chap kinakaukaUsafi wa namna gani..naje kinakaa wazi hivi hvi au
Kapime sukari pia check mazingara yako ya kaziHabari wakuu
Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.
Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.
Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.
Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%
Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo
Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?
View attachment 3151499
Kwa ushauri huu; wewe ni daktari wa ukweli! Humu watu wengi wanatumia majina na wasifu za bandia, hivyo inakuwa vigumu kujua nani ni mkweli kwa utambulisho wake. Angalau kwa uchangiaji wa mada kama hivi tunaweza kutambuana japo kwa taalumaPole Sana Mkuu Ila Kwa Kuangalia Hicho Kidonda mbona Hakina Shida Kubwa Sana..
Na Naona Basement ya Kidonda kuna Healing tissue kabisa Sema Inaonekana Unakiacha Bacteria Wanakishambulia..
Sasa Unaweza ukafanya Hivi..
Kisafishe Kidonda na Antiseptic Kwa Hali ilivyo nina Prefer Utumie Povidone Iodine (Fanya kama Painting usikwangue Ngozi)..
Halfu kaa kama Dakika 30 hivi Futa Hiyo Povidone Iodine kwa Kutumia Normal Saline halafu Paka Dawa Mebo Cream.. then Kifunge Kidonda..
Kesho ukianza anza kwa Kufuta Dawa hiyo kwa Kutumia Normal Saline then Paka Iodine then Mebo..
Na Endelea Mpaka Siku tano..
Kwakuwa Kimekaa Muda Mrefu Ninge Recomend Usikifunge Kiache Kipone kwa Secondary Healin
method..
Mkuu unanitesha Tena ntakua nimepata tetenas auKama ulikuwa hukiwekea dawa kuna uwezekano kimepata infection.. pengine hata ushapata tetenus..
Mwili Una uwezo wa kujitibu ukiona kidonda kidogo zaid ya siku 3 kinaanza kutengeneza maji na usaha ndani ujue kimepata infection
Sukar yangu asubuh nkiwa sijala inakua 5.4Kapime sukari pia check mazingara yako ya kazi
Nimesoma Tena nimeelewa vizur,mkuu vip kuhusu tetenas maaana sijachoma je ntakua ktk hatar ya tetenusSoma Maelezo tena Mkuu Taratibu kabisa
Diabetic umepima?Habari wakuu
Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.
Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.
Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.
Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%
Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo
Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?
View attachment 3151499
Mkuu nimepima ndio nanina vipimo vya sukari mwezi Jana tu nimepima kipimo kikubwa Cha sukar Cha hb1ac naikawa ipo 5.0...nasukar yakila siku nkiwa nimeamka asubuh inakua 5.4Diabetic umepima?
Inaweza But Sio sababu kubwa Sana ila inaweza Kuchangia Au kuslow Wound HealingDR Mambo Jambo ,vipi hii hali ya hewa ya joto haichangii kutokupona?? Nimetumia akili ya kuzaliwa!