Kidonda kina siku 12 hakikauki na kupona, natumia dawa

Kidonda kina siku 12 hakikauki na kupona, natumia dawa

Mkuu unanitesha Tena ntakua nimepata tetenas au

Yes. Kama kilikuwa waz na ulikuwa hukiwekei dawa ni rahisi kupata tetanus.. anyway usitishike... ungekuwa porini na hakuna means ya kupata dawa kweli ingekuwa a scary situation maana ingekupa hadi homa.. ila hapa mjini tetanus inatibika fasta..

Fact.. kuna mtu wangu wa karibu alipata kidonda kama chako exactly kwenye kidole maeneo hayo.. alijiumiza kidogo akaona kawaida kitapona.. a week later kikaweka ganda ila ndani. Kina maji na usaha..akasafisha na methanol na kuanza kuweka dawa ila baada ya siku 3 akaona kinachimbika na kidole kinaanza kuvimba.. ingawa kinatengeza ganda. Ikabid aende hosptal wakamkuta na maambukizi ya tetenus akapigwa sindano ya tetanus akapewa special antibiotic cream ya kuweka kwenye kidonda (sio kunywa) siku 3 baadae kikaanza kufunga na kupona.. alikuwa anasafisha na ku apply hiyo cream tu.
 
Yes. Kama kilikuwa waz na ulikuwa hukiwekei dawa ni rahisi kupata tetanus.. anyway usitishike... ungekuwa porini na hakuna means ya kupata dawa kweli ingekuwa a scary situation maana ingekupa hadi homa.. ila hapa mjini tetanus inatibika fasta..

Fact.. kuna mtu wangu wa karibu alipata kidonda kama chako exactly kwenye kidole maeneo hayo.. alijiumiza kidogo akaona kawaida kitapona.. a week later kikaweka ganda ila ndani. Kina maji na usaha..akasafisha na methanol na kuanza kuweka dawa ila baada ya siku 3 akaona kinachimbika na kidole kinaanza kuvimba.. ingawa kinatengeza ganda. Ikabid aende hosptal wakamkuta na maambukizi ya tetenus akapigwa sindano ya tetanus akapewa special antibiotic cream ya kuweka kwenye kidonda (sio kunywa) siku 3 baadae kikaanza kufunga na kupona.. alikuwa anasafisha na ku apply hiyo cream tu.
Alienda hospital gani mkuu..nakipimo kipi kinapima tetenas
 
Katafute kidonge cha ukoma alafu ukipondeponde unga wake uweke kwenye kidonda hapo utakuwa umesolvetatizo
 
Pole Sana Mkuu Ila Kwa Kuangalia Hicho Kidonda mbona Hakina Shida Kubwa Sana..
Na Naona Basement ya Kidonda kuna Healing tissue kabisa Sema Inaonekana Unakiacha Bacteria Wanakishambulia..

Sasa Unaweza ukafanya Hivi..
Kisafishe Kidonda na Antiseptic Kwa Hali ilivyo nina Prefer Utumie Povidone Iodine (Fanya kama Painting usikwangue Ngozi)..

Halfu kaa kama Dakika 30 hivi Futa Hiyo Povidone Iodine kwa Kutumia Normal Saline halafu Paka Dawa Mebo Cream.. then Kifunge Kidonda..

Kesho ukianza anza kwa Kufuta Dawa hiyo kwa Kutumia Normal Saline then Paka Iodine then Mebo..

Na Endelea Mpaka Siku tano..

Kwakuwa Kimekaa Muda Mrefu Ninge Recomend Usikifunge Kiache Kipone kwa Secondary Healing method..
Vip kuhusu tetenas sijachoma
 
Mh!
Basi ndio maana hakijapona mpaka leo siku 12, bacteria hawauwawi kwa kuchoma bali kwa dawa za kupaka au za kumeza.

Ukikichoma ina maana unaweka jeraha jipya na hata uchafu unaingia. Hata kinapokauka haishauriwi kulibandua lile gamba mapema kabla halijaanza kujiachia lenyewe.

Kama mbinu hiyo ya kuchoma ndiyo anayoitumia (kukichoma) kwa kweli safari itakuwa ndefu sana. Hakuna haja ya kukichoma ni usafi tu ndiyo ilihitajika basi, lakini kwa sasa inabidi akisafishe na kupaka hiyo dawa aliyopewa na kukifunika kwa pamba safi wala asisumbuke kuchoma.
Hapo itakuwa anahudumia jeraha la moto na sio fresh wound?
 
Habari wakuu

Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.

Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.

Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.

Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%

Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo

Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?

View attachment 3151499
Pole sana
 
Unataka Kuchoma? Kwa maelezo yako Sidhani kama Ni muhimu sana Japo kama Unataka Uhakika zaidi wa Afya yako Unaweza kuchoma..

Mara ya Mwisho ulichoma lini Tetanus?
Mda mrefu yapita miaka2 nlichoma yakwanza skuendelea dozi ya pili
 
Alienda hospital gani mkuu..nakipimo kipi kinapima tetenas

Anaishi kigamboni so alienda hospital za huko.. kupima tetanus naamin ni hospital nyingi zinapima... ila ukifika
Kwa daktar we mwambia mchakato
Mzima yeye atajua akupime nini.. sababu hata jamaa ni Dr ndio alimwambia wapime tetanus baada ya kumpa historia ya kidonda
 
Habari wakuu

Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea.

Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano mfululizo Kila siku mara Saba.

Unaweka dawa ktk kidole hapo Kisha inachomwa inaungulia kidolea hadi iishe. Ilichomwa siku moja tu nikakataa kurudia Tena.

Sasa eneo hilo limeacha kidonda sasa naona hakiponi maana nilikuwa siweki dawa ya aina yoyote, mpaka kufika juzi nikaenda hospitali wakanipa dawa ya FLUCAMOX na tupe ya MUPIROCIN OINTMENT bp 2%

Leo siku ya tatu Sasa kidonda kama kinataka kukauka ila kinakua na usaha kidogo

Wakuu nauliza Kuna dawa ya kukausha kidonda?

View attachment 3151499

Tumia mkojo wako kupakojolea angalau mara nne kwa siku. Fanya hivyo kwa siku kadhaa, patakakuka na kupona haraka, hutoamini.
 
Mkuu hii sehemu nikama imejaa maji kwa ndani inakama maji nahisi ni usaha nawaza nitoboe utoke maana ndo panakua panawasha
Mkuu hii sehemu imejaa kwa ndani nkiminya minya nikama maji alafu hapo kidonda kimefunga funga . Sasa hapo panapojaa nahisi usaha nawaza kutoboa nasindano yatoke
Basi sawa Japo sina Uhakika Kama Una Uhitaji mkubwa saba wa TT injection
 

Attachments

  • IMG_20241116_140836.jpg
    IMG_20241116_140836.jpg
    248.4 KB · Views: 5
  • IMG_20241116_140836.jpg
    IMG_20241116_140836.jpg
    248.4 KB · Views: 5
Mkuu hii sehemu imejaa kwa ndani nkiminya minya nikama maji alafu hapo kidonda kimefunga funga . Sasa hapo panapojaa nahisi usaha nawaza kutoboa nasindano yatoke
Kunywa Antibiotics Tu, Kitakaa sawa Usitoboe toboe Kidonda Unakiingizia Uchafu..
 
Back
Top Bottom