Kifahamu kikundi cha udukuzi mtandaoni kiitwacho Anonymous Hackers mwanzo mwisho

Kifahamu kikundi cha udukuzi mtandaoni kiitwacho Anonymous Hackers mwanzo mwisho

.
FB_IMG_15749613052978103.jpeg
 
Kwanza fahamu kikundi hiki hakina makao makuu na hawatambuani wote labda hua wanakutana kimya kimya kama member wa JF kwa njia wanazojua wao, hawana vitambulisho kitu kitakacho kufahamisha kua wewe ni member ni kuvaa ile mask yenye sura ya Guy Fawkes inayofahamika kama Anonymous hackers mask. So kama unahitaji kujiunga wewe agiza online hiyo mask kisha chagua kitu unachotaka kufanya sehemu ulipo kwenye upande wa udukuzi elimu inayohitajika uwe unajua Computer Programing. Popote ulipo unaweza kua member ila huwezi kukuta kwamba wanauongozi au mikutano.
Our main motive is freedom on the internet. We want every citizen of the world to have equal rights to speak. If you want any kind of help related to cyber securities or any other topic, visit anonymous contact us page. If your request accepted one of our representatives will contact you very soon. Or you can drop us the mail at annymoushackers.net@gmail.com.
Expect us.


NB: Mualiko sio kwa kila mtu, wengine watabaki mashabiki tu!. US DoD yenyewe imewanyooshea mikono hawa wahuni!.

 
Our main motive is freedom on the internet. We want every citizen of the world to have equal rights to speak. If you want any kind of help related to cyber securities or any other topic, visit anonymous contact us page. If your request accepted one of our representatives will contact you very soon. Or you can drop us the mail at annymoushackers.net@gmail.com.
Expect us.


NB: Mualiko sio kwa kila mtu, wengine watabaki mashabiki tu!. US DoD yenyewe imewanyooshea mikono hawa wahuni!.

Ahsante sana mkuu kwa kuongeza nyama.. Hivi unadhani kweli hawa jamaa hawafahamiani? Hua hawapangi plan za kuataki huko huko mitandaoni
 
Ahsante sana mkuu kwa kuongeza nyama.. Hivi unadhani kweli hawa jamaa hawafahamiani? Hua hawapangi plan za kuataki huko huko mitandaoni
Unaweza Sema Ni kikundi kumbe Ni mtu mmoja tu ndio anaanzisha yote hayo.
Ingekuwa Ni kikundi Cha watu weng wangefahamika mapema Sana. Kungekuwa na usaliti mkubwa na kuwafanya wawe exposed kirahisi.
 
Hapa Tz hakuna hackers wa maana
Hackers wapo wa kutosha tu, sema kwa taratibu zetu mambo yanaisha kiujambazi zaidi. Hatuna utaratibu wa kutangaza tukipata tatizo, tunawatafuta kimyakimya ili tumalizane nao kimyakimya!.
Unakumbuka Membe alisema kuna dogo alikuwa anajikatia tiketi za ndege, unadhani alikuwa US yule!?. Halafu hackers wengi wapo vyuoni, wanaangusha sana website za vyuo kuvuruga matokeo!.
 
Hackers wapo wa kutosha tu, sema kwa taratibu zetu mambo yanaisha kiujambazi zaidi. Hatuna utaratibu wa kutangaza tukipata tatizo, tunawatafuta kimyakimya ili tumalizane nao kimyakimya!.
Unakumbuka Membe alisema kuna dogo alikuwa anajikatia tiketi za ndege, unadhani alikuwa US yule!?. Halafu hackers wengi wapo vyuoni, wanaangusha sana website za vyuo kuvuruga matokeo!.
Hivi hakuna hackers wa kibongo wanaovamia serikali au mifumo ya benki?
 
Back
Top Bottom