Sijui levo yako ya uelewa kuhusu biblia,Mungu n yesu,sijui pia uelewa wako kuhusu utatu mtakatifu(father,son and holy spirit)na kuhusu huyo yesu pia,sijui uelewa wako kuhusu umungu mwana wake,sijui kama huwa wailewa Ile yohana 1-...,Kwa kifupi nahisi huelewi mengi kuhusu hiyo dhana uloiandika hapo,hakuna maandiko yoyote yanayosema Ili kitu kiwe kafara lazima kipotee kabisa kama vile hakuna maandiko yoyote yanayosema kitu chochote anachokalia mtu ni kiti,hizo zote ni perceptions(opinion) tulizokaa nazo muda mrefu na sio fact,kifupi ukisoma yohana 1---,utagundua yesu ni Mungu,yesu ni mwana wa Mungu,yesu ni roho(neno) na yesu pia ni mwanadamu,hivyo basi Mungu na neno haviwezi kufa,ila huo ubinadamu ndo ulikufa,maana maandiko yanasema kupitia adamu dhambi iliingia hivyo ilihitajika mwili wa nyama(mwana Adam) kutoa hiyo dhambi, kasome yohana 1---uongeze kufikiria Kwa kutumia ubongo na sio kamasi.