min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Madhara ya kuwa na imani za kuwa uchawi upo , matokeo yake ndio haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madhara ya kuwa na imani za kuwa uchawi upo , matokeo yake ndio haya.
Mtu anaweza kuwa mchawi ila Paroko hapanaKwani Paroko hawezi kuwa mchawi?🐼
Mahakama itachunguza ukweli woteMurder case ni sensitive issue lazima mahakama ijiridhishe pasipo na shaka yoyote.
Watanzania sasa hivi ni wachawi sana kukupakazia kesi au kukuingiza matatizoni wao kwao siyo shida.
Inanipa shida huduma anazohudumiwa paroko eti afanye deal la mauwaji halafu ndio watafute mteja.
Kwa mtu mwenye akili timamu hili haliingii akilini.
Paroko ni cheo Cha kiutawala tu 😄Mtu anaweza kuwa mchawi ila Paroko hapana
Hakuna utu bila Mungu( Dini ) na mtu mwenyewe kusimama kwenye nafasi yake ipasavyo .HYo ni maneno ya kujifariji tu kuna watu wala hawana dini wala kuamini Mungu ila wana utu .
OkSafi sana jeshi la polisi.
Rais Samia angalau aache legacy ya mamlaka yake ya urais kwa case hii! Asiache kutia mkono wake watakaopatikana na hatia wanyongwe; ni jukumu lake la kikatiba.Wamtaje mganga na tajiri aliyewatuma na wote wanyongwe ili iwe fundisho
Hujui dunia weweMtu anaweza kuwa mchawi ila Paroko hapana
Kuna wazazi ni mashetaniRais Samia angalau aache legacy ya mamlaka yake ya urais kwa case hii! Asiache kutia mkono wake watakaopatikana na hatia wanyongwe; ni jukumu lake la kikatiba.
Binti Asimwe ametendewa ukatili sana - mzazi wake; kiongozi wa kiroho - angekimbilia wapi jamani kama waliopaswa kumlinda wamemtenda vile?
Binti, mtoto, mlemavu, yaani sifa zote za kulindwa alikuwa nazo ila ndio hivyo binadamu waliogeuka mashetani!
Paroko au wamekosea?Unaua mtu asiye na hatia kwa sababu ya mali,pesa au madaraka! Inasikitisha sana.
Remember Paroko is just a man possessing all human weakness and defects. Never trust a man 100%,trust God only.Mtu anaweza kuwa mchawi ila Paroko hapana
Paroko ndiye aliyekosea.Paroko au wamekosea?
Wote walikoseaParoko ndiye aliyekosea.
Ushirikina ni janga kubwa.Madhara ya kuwa na imani za kuwa uchawi upo , matokeo yake ndio haya.
Kwanza haupo ni imani tu za watu washamba .Ushirikina ni janga kubwa.
Ukiingia kwenye familia hakuna rangi mtaacha ona