Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Kuwakamata hao wahalifu ilikuwa ni kazi nyepesi sana kwa polisi.

Watu wanaoamini ushirikina huwa ni wajinga hawanaga akili ya kupanga tukio bila kuacha trace.

Nina uhakika kipindi wanamuiba mtoto walikuwa na simu zao mfukoni. Na hata kipindi wanamuua mtoto simu zilikuwepo.

Polisi hawajatumia hata nguvu ya kuwajua na hata kuwatafuta. Wamecheza na simu zao tu
Tuombe Mungu sana Mahakama isije waachia kwa technicalities kama wahalifu wengine wanavyo kwepa mkono wa sheria kwa hizo mbinu,hasa wakipata mawakili wa utetezi kama akina Kibatala!!
 
Kuwakamata hao wahalifu ilikuwa ni kazi nyepesi sana kwa polisi.

Watu wanaoamini ushirikina huwa ni wajinga hawanaga akili ya kupanga tukio bila kuacha trace.

Nina uhakika kipindi wanamuiba mtoto walikuwa na simu zao mfukoni. Na hata kipindi wanamuua mtoto simu zilikuwepo.

Polisi hawajatumia hata nguvu ya kuwajua na hata kuwatafuta. Wamecheza na simu zao tu
Kwa vipi mkuu?
 
Hao watuhumiwa waanze kuminywa pu*mbu wataje kila aliyehusika.

Natamani waundiwe kamati ya kuwapa mateso, Yani hizo kende zibanwe na plaizi kwanza.
Wamtaje mganga na tajiri aliyewatuma na wote wanyongwe ili iwe fundisho
 
“Hakuna hata mmoja ambaye amehusika na mauaji ya binti huyu malaika wa Mungu atakayrepona, tumefikia pazuri na kitakachofanyika itakuwa fundisho kwa wahalifu wengine,, tupo vizuri katika kukabiliana na uhalifu na ndiyo maana hakuna mtu atakayefanya uhfifu asipatikane,” amesema Masauni

Credit: Bongo 5
Nampa ruhusa waziri Masauni kuirudia kauli hii hata mara mia, na ikija kwenye utekelezaji iwe zaidi ya hapo.

Ningeshangaa kama ningesikia kauli za eti watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Hawa ni wa kuwanyofoa viungo kikatili sana, wakifa wafufuliwe halafi waendelee kunyofolewa tena.
 
Tuwampogeze vyombo vya usalama Kwa kuwakamata wakatili hawa.
Natamani wawekeze zaidi kwenye kuzuia uhalifu usitokee tena.
Maana kama mtoto alipotea trh 30 akaja kupatikana trh 17 me nadhani ni siku nyingi labda wangeweka jitihada wangemwokoa kutoka Kwa makatili
 
Kama kwelii watuambie hivi viungo vipo wapi na ni nani mteja wao..??
Lakini najua hizi ni siasa tu za kupooza watu watuhumiwa wa geresha 🤣🤣
Nakwambia hakuna ufumbuzi wowote jeshi la police watakuja nao mana kwenye medani ya uchunguzi ni 0 labda uwe unakosoa serikali wakubambikie kesi...
 
Tuombe Mungu sana Mahakama isije waachia kwa technicalities kama wahalifu wengine wanavyo kwepa mkono wa sheria kwa hizo mbinu,hasa wakipata mawakili wa utetezi kama akina Kibatala!!
Kwann wasipelelezwe kujua nani mteja wao hatua kwa hatua mpaka kuwapata wanunuzi..
Sema mnajua ni nyinyie wanasiasa ndo wateja wakubwa hivyo mtakomaa wanyogwe ili msijulikane 😡😡

Lakini pia kwa kupenda umaarufu hamshidwi kutengeneza story mmewakamata kumbe ni geresha tu
 
Back
Top Bottom