Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hawakawii kusema kuwa yule waliyemuita kwenye kamati ya maadili ndo amewatuma..!! Time will tell.Wawataje waliowatuma ili kukomesha kabisa tabia hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakawii kusema kuwa yule waliyemuita kwenye kamati ya maadili ndo amewatuma..!! Time will tell.Wawataje waliowatuma ili kukomesha kabisa tabia hiyo
Vipi kama ni wanawake? Vivutwe vi-beans?Hao watuhumiwa waanze kuminywa pu*mbu wataje kila aliyehusika.
Natamani waundiwe kamati ya kuwapa mateso, Yani hizo kende zibanwe na plaizi kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunataka kuona kideoni wakihasiwa live..maana hawana uchungu na watoto...
Je vipi kama sio wao na wahusika wakuu hawajapatikana? Tuwahukumu ivo ivo kwa kutumia emotion zetu?Unaua mtu asiye na hatia kwa sababu ya mali,pesa au madaraka! Inasikitisha sana.
Wee umejuaje km walianza kutoa viungo kabla ya kumuua?Mbaya kabisa walimtoa viungo ndo wakamuua mtoto asimwe.ni maumivu makali sana mtoto alipitia kwa wauaji hawa!
Hakika wanyongwe!
Yote hayo watayafanya bila hata kuwakumbusha, ndo kazi yao hasa,Kwann wasipelelezwe kujua nani mteja wao hatua kwa hatua mpaka kuwapata wanunuzi..
Sema mnajua ni nyinyie wanasiasa ndo wateja wakubwa hivyo mtakomaa wanyogwe ili msijulikane 😡😡
Lakini pia kwa kupenda umaarufu hamshidwi kutengeneza story mmewakamata kumbe ni geresha tu
Kabisa mzee.walichek lain kwenye system siku wanaend muiba mtt wakazi trace wakawakamata kama kuku.Kuwakamata hao wahalifu ilikuwa ni kazi nyepesi sana kwa polisi.
Watu wanaoamini ushirikina huwa ni wajinga hawanaga akili ya kupanga tukio bila kuacha trace.
Nina uhakika kipindi wanamuiba mtoto walikuwa na simu zao mfukoni. Na hata kipindi wanamuua mtoto simu zilikuwepo.
Polisi hawajatumia hata nguvu ya kuwajua na hata kuwatafuta. Wamecheza na simu zao tu
Yani vivutwe hadi kizazi kitoke nje.Vipi kama ni wanawake? Vivutwe vi-beans?
Kama wakati gani ???kwann waziri amekuja mbio mbio kusema wamewakamata na sio police wa eneo husika nyie ni wazuri sana kwa kuiba na kusema uwongo hizi zimekuwa silaha zenu kuu aibu itaambatana nanyi na vizazi vyenu mpaka hatma yenu...Yote hayo watayafanya bila hata kuwakumbusha, ndo kazi yao hasa,
Hao wateja wa viungo vya albino watakamatwa tu
We bisha tu ila jua serikali ina nguvu ikimtaka mhalifu ni dakika ashadakwa.Kama wakati gani ???kwann waziri amekuja mbio mbio kusema wamewakamata na sio police wa eneo husika nyie ni wazuri sana kwa kuiba na kusema uwongo hizi zimekuwa silaha zenu kuu aibu itaambatana nanyi na vizazi vyenu mpaka hatma yenu...
Usikute hata walienda kwanza kwa mganga kujizindika ili wakifanya uhalifu wasikamatwe. Hamna watu wajinga na hatari kama waamini ushirikina. Uhatari wao unatokana na ujinga wao.Kuwakamata hao wahalifu ilikuwa ni kazi nyepesi sana kwa polisi.
Watu wanaoamini ushirikina huwa ni wajinga hawanaga akili ya kupanga tukio bila kuacha trace.
Nina uhakika kipindi wanamuiba mtoto walikuwa na simu zao mfukoni. Na hata kipindi wanamuua mtoto simu zilikuwepo.
Polisi hawajatumia hata nguvu ya kuwajua na hata kuwatafuta. Wamecheza na simu zao tu
Hili nalo lingine tena, isiishie tuWamekamatwa kweli au ni siasa?