Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Baba paroko siyo padre,wamesema ni kijana alikua mlevi akachukuliwa na kanisa kulelewa ili aache pombe,siyo Kwamba na yeye ni paroko

ACHENI kulichafua kanisa, before hamjafanya utafiti

Tulia basi kwanza, lete hiyo taarifa kinzani. Kwa sasa taarifa ya geshi letu ra porisi ni baba paroko ndio muhusika.
 
Kua vizuri kupambana na uhalifu ni kuhakikisha vitendo vya uhalifu havitokei kiholela kwa kuimalisha ulinzi na upelelezi mnene kabla ya matukio yenyewe, sio kumalizia watu Jera wengine wakishapoteza maisha, Alaaah.

Yani tangu May moaka June mtu kapotea mnasema mpo vizuri, Shwain.
Yani waziri katamba sana kana kwamba alizuia tukio ,asijipe umaarufu kupitia tukio ambalo limetuumiza sana mioyo yetu 😩
 
Paroko wa Kanisa la Roman Catholic huko Misenyi Kagera ametiwa mbaroni na Polisi pamoja na wenzake wanna akiwemo Baba mzazi wa mtoto albino aliyeuwawa.

Inadaiwa Bwana Paroko Kwa jina la Epidius Rwegishora alimfuata Baba mzazi wa mtoto albino aliyeuwawa na kumshawishi eti wafanye biashara ya viungo.

View: https://www.instagram.com/p/C8Zj-FcNzue/?igsh=MWFjZmdxcHZ2ZHh5MQ==

My Take
Hayo ndio Makanisa yenu na hao ndio Viongozi wenu mnaodai wanawawekea mikono ya Baraka.

Hakuna watu Wana kashfa za uhayawani na unyama ikiwemo uchawi kama Viongozi wa dini mlizoletewa na Wazungu na Waarabu kuanzia usenge(Ushoga) Hadi kulawiti Watoto.Very sad.

R.I.P mtoto.

Acha kukashifu kanisa kanisa halijamtuma paroko ni yeye mwenyewe na uwendawazimu wake ata hivyo bado hajahukumiwa ni hadi mahakama itoe hukumu hapo ndio vizuri kumjudge sasa..
 
Hao wakabidhiwe wananchi wawaue taratibu kwa siku zaidi ya mia 600 wanapaswa wafe kwa uchungu mkali sana

Niliumia sana sana toka siku ya kwanza tu huyo mtoto alivyotoweka ,nilisali sn mtoto apatikane lkn haikuwa mapenzi ya Mungu ,nilipata taarifa jana nikiwa naelekea kazini ...kiukweli nilifika kazini na nikaondoka pasipo kumiaga yeyote yule kutokana na uchungu mzito mno niliokuwa nao

Niliwaza sana mtoto mdg kama yule anakutazama pasipo kujua nini kinatokea baada ya muda si mrefu
Unawezaje kuua mtoto kama yule yaani huna chembe yeyote ile ya huruma

Naomba kualikwa kutoa mateso makali sana kwa hao wendawazimu
 
Paroko wa Kanisa la Roman Catholic huko Misenyi Kagera ametiwa mbaroni na Polisi pamoja na wenzake wanna akiwemo Baba mzazi wa mtoto albino aliyeuwawa.

Inadaiwa Bwana Paroko Kwa jina la Epidius Rwegishora alimfuata Baba mzazi wa mtoto albino aliyeuwawa na kumshawishi eti wafanye biashara ya viungo.

View: https://www.instagram.com/p/C8Zj-FcNzue/?igsh=MWFjZmdxcHZ2ZHh5MQ==

My Take
Hayo ndio Makanisa yenu na hao ndio Viongozi wenu mnaodai wanawawekea mikono ya Baraka.

Hakuna watu Wana kashfa za uhayawani na unyama ikiwemo uchawi kama Viongozi wa dini mlizoletewa na Wazungu na Waarabu kuanzia usenge(Ushoga) Hadi kulawiti Watoto.Very sad.

R.I.P mtoto.

Kwahiyo, mabaya yako uliyowahi kuyafanya hapa duniani, ukoo wako ndo ulaumiwe? Kanisa la RC siyo la mtu mmoja. Kama angekuwa ametumwa na kanisa kufanya hayo, sawa. Ila kama hajatumwa, kuwa kwake padre hakumaanishi kila anachokifanya katumwa na kanisa
 
mama-pic.jpg

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema kuwa tayari Jeshi la Polisi limewakamata watu wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya mtoto mwenye ualbino Asimwe Novath (2).
Mei 30, 2024 Asimwe anadaiwa alichukuliwa na wattu wasiojulikana nyumbani kwao Muleba mkoani Kagera na juhudi za kumtafuta hazikuxzaa matunda hadi hapo Juni 17, 2024 mwili wake ulipopatikana ukiwa katika mfuko wa sandarusi huku baadhi ya viungo vikiwa vimenyofolewa.
Waziri Masauni amesema watuhumiwa hao wamekamatwa wakiwa na vithibiti vya kutendea kosa hilo na kufafanua kuwa hawajabahatisha katika kuwakamaa watu hao.
“Hakuna hata mmoja ambaye amehusika na mauaji ya binti huyu malaika wa Mungu atakayrepona, tumefikia pazuri na kitakachofanyika itakuwa fundisho kwa wahalifu wengine,, tupo vizuri katika kukabiliana na uhalifu na ndiyo maana hakuna mtu atakayefanya uhfifu asipatikane,” amesema Masauni

Credit: Bongo 5
Kwa spidi hii-bila kuwa na hata camera za barabarani , wanatakiwa kupongezwa sana.
 
Je vipi kama sio wao na wahusika wakuu hawajapatikana? Tuwahukumu ivo ivo kwa kutumia emotion zetu?
Sijawazungumzia hao waliokamatwa wala mtu yeyote specific ila nimezungumzia tukio kwa ujumla na uvumi unaosemwa kwamba matukio hayo husukumwa zaidi na imani za kishirikina ili mtu kujipatia utajiri au madaraka,hayo ndiyo masikitiko yangu.
 
Back
Top Bottom