Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Tuombe Mungu sana Mahakama isije waachia kwa technicalities kama wahalifu wengine wanavyo kwepa mkono wa sheria kwa hizo mbinu,hasa wakipata mawakili wa utetezi kama akina Kibatala!!
 
Kwa vipi mkuu?
 
Hao watuhumiwa waanze kuminywa pu*mbu wataje kila aliyehusika.

Natamani waundiwe kamati ya kuwapa mateso, Yani hizo kende zibanwe na plaizi kwanza.
Wamtaje mganga na tajiri aliyewatuma na wote wanyongwe ili iwe fundisho
 
Nampa ruhusa waziri Masauni kuirudia kauli hii hata mara mia, na ikija kwenye utekelezaji iwe zaidi ya hapo.

Ningeshangaa kama ningesikia kauli za eti watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Hawa ni wa kuwanyofoa viungo kikatili sana, wakifa wafufuliwe halafi waendelee kunyofolewa tena.
 
Tuwampogeze vyombo vya usalama Kwa kuwakamata wakatili hawa.
Natamani wawekeze zaidi kwenye kuzuia uhalifu usitokee tena.
Maana kama mtoto alipotea trh 30 akaja kupatikana trh 17 me nadhani ni siku nyingi labda wangeweka jitihada wangemwokoa kutoka Kwa makatili
 
Kama kwelii watuambie hivi viungo vipo wapi na ni nani mteja wao..??
Lakini najua hizi ni siasa tu za kupooza watu watuhumiwa wa geresha 🤣🤣
Nakwambia hakuna ufumbuzi wowote jeshi la police watakuja nao mana kwenye medani ya uchunguzi ni 0 labda uwe unakosoa serikali wakubambikie kesi...
 
Tuombe Mungu sana Mahakama isije waachia kwa technicalities kama wahalifu wengine wanavyo kwepa mkono wa sheria kwa hizo mbinu,hasa wakipata mawakili wa utetezi kama akina Kibatala!!
Kwann wasipelelezwe kujua nani mteja wao hatua kwa hatua mpaka kuwapata wanunuzi..
Sema mnajua ni nyinyie wanasiasa ndo wateja wakubwa hivyo mtakomaa wanyogwe ili msijulikane 😡😡

Lakini pia kwa kupenda umaarufu hamshidwi kutengeneza story mmewakamata kumbe ni geresha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…