Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Tanzania ni nchi inayofuata Utawala wa Sheria, ni Nchi ya kidemokrasia, Viongozi wetu wana amini katika haki na usawa.

Kuna matukio yanatokea, yanaumiza saana, yanasikitisha saana, tukio la kuuwawa kikatili kwa mtoto Asimwe Novart tena mhusika akiwa ni baba mzazi ambaye alipaswa kuwa mlinzi wa huyu Malaika, kea kweli kuna muda unatamani Sheria ziwekwe pembeni na maumivu aliyopitia huyu mtoto wapitie hao wote waliohusika kukatisha uhai wa huyu Malaika.

Fikiria wakati Asimwe Novart akiwa anahitaji msaada mbele ya Wanaume katili, hakuweza hata kujitetea zaidi ya macho ya huruma alionyesha kuomba huruma kwa Wanaume hawa katili, Alihitaji upendo wa baba, lakini baba alimuangamiza.

Inauma, inaumiza kuona hawa watu waliotenda unyama huu, kwa sababu ya Tanzania kuwa nchi ya Utawala wa Sheria wanapelekwa mahakamani tena kwa gari, Kuna muda unatamani ungekuwa na whisk ushudie ule ukatili waliotenda wakitendewa wao waexperience maumivu aliyopitia Asimwe Novart.

Pumzika kwa Amani Asimwe Novart

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Wewe umemuona baba mzazi tu, kuna hadi paroko wa kanisa katoliki
 
Unachekesha na kufurahi sana ,thibitisha unayo yasema.
Mkuu amini nakuambua , kiini cha kila tatizo huwa kiko katika hali ya mtu kuchukua nafasi ya mtu mwingine au mtu mwingine nafasi yake kuchukuliwa na mwingine.

Mfano labda Mungu alimpangia mtu awe na nafasi ya kuwa mhudumu wa ndege halafu huyu mtu akalazimisha kuchukua nafasi ya urais . Hii nafasi ya urais siyo yake kiasili , ataikalia lakini atasababisha matatizo maana hatoshi kuendana na mpango wa Mungu kwake . Mtu huyu anaweza kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya mhudumu wa ndege lakini hawezi kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya urais.

Mfano Mungu alimpangia mtu awe na nafasi ya kuwa mwalimu halafu mtu huyu akalazimisha kuwa spika wa bunge labda . Hii nafasi ya spika wa bunge sio yake kiasili , ataikalia lakini atasababisha matatizo maana hatoshi kuendana na mpango wa Mungu kwake. Mtu huyu anaweza kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya kuwa mwalimu lakini hawezi kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya kuwa spika wa bunge.

Mfano Mungu alimpangia mtu awe na nafasi ya kuwa mwanajeshi halafu mtu huyu akalazimisha kuwa mchungaji au padre . Hii nafasi ya mchungaji au padre sio yake kiasili, ataikalia lakini atasababisha matatizo maana hatoshi kuendana na mpango wa Mungu kwake. Mtu huyu anaweza kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya kuwa mwanajeshi lakini hawezi kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya kuwa mchungaji au padre.

Mifano ipo mingi .
 
Mkuu amini nakuambua , kiini cha kila tatizo huwa kiko katika hali ya mtu kuchukua nafasi ya mtu mwingine au mtu mwingine nafasi yake kuchukuliwa na mwingine.

Mfano labda Mungu alimpangia mtu awe na nafasi ya kuwa mhudumu wa ndege halafu huyu mtu akalazimisha kuchukua nafasi ya urais . Hii nafasi ya urais siyo yake kiasili , ataikalia lakini atasababisha matatizo maana hatoshi kuendana na mpango wa Mungu kwake . Mtu huyu anaweza kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya mhudumu wa ndege lakini hawezi kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya urais.

Mfano Mungu alimpangia mtu awe na nafasi ya kuwa mwalimu halafu mtu huyu akalazimisha kuwa spika wa bunge labda . Hii nafasi ya spika wa bunge sio yake kiasili , ataikalia lakini atasababisha matatizo maana hatoshi kuendana na mpango wa Mungu kwake. Mtu huyu anaweza kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya kuwa mwalimu lakini hawezi kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya kuwa spika wa bunge.

Mfano Mungu alimpangia mtu awe na nafasi ya kuwa mwanajeshi halafu mtu huyu akalazimisha kuwa mchungaji au padre . Hii nafasi ya mchungaji au padre sio yake kiasili, ataikalia lakini atasababisha matatizo maana hatoshi kuendana na mpango wa Mungu kwake. Mtu huyu anaweza kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya kuwa mwanajeshi lakini hawezi kuwa na utu akiwa kwenye nafasi ya kuwa mchungaji au padre.

Mifano ipo mingi .
Kwa hyo Mungu anampangia mtu kila kitu?
 
Tanzania ni nchi inayofuata Utawala wa Sheria, ni Nchi ya kidemokrasia, Viongozi wetu wana amini katika haki na usawa.

Kuna matukio yanatokea, yanaumiza saana, yanasikitisha saana, tukio la kuuwawa kikatili kwa mtoto Asimwe Novart tena mhusika akiwa ni baba mzazi ambaye alipaswa kuwa mlinzi wa huyu Malaika, kea kweli kuna muda unatamani Sheria ziwekwe pembeni na maumivu aliyopitia huyu mtoto wapitie hao wote waliohusika kukatisha uhai wa huyu Malaika.

Fikiria wakati Asimwe Novart akiwa anahitaji msaada mbele ya Wanaume katili, hakuweza hata kujitetea zaidi ya macho ya huruma alionyesha kuomba huruma kwa Wanaume hawa katili, Alihitaji upendo wa baba, lakini baba alimuangamiza.

Inauma, inaumiza kuona hawa watu waliotenda unyama huu, kwa sababu ya Tanzania kuwa nchi ya Utawala wa Sheria wanapelekwa mahakamani tena kwa gari, Kuna muda unatamani ungekuwa na whisk ushudie ule ukatili waliotenda wakitendewa wao waexperience maumivu aliyopitia Asimwe Novart.

Pumzika kwa Amani Asimwe Novart

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Mkuu Jamii yetu bado ina amini katika nguvu za giza katika kujipatia kipato. Binadamu tumeishiwa utu, Binadam tunadhamini Pesa kuliko uhai wa mtu.

Hawa watu walipaswa kuuwawa kwa kunyongwa tena live na kipindi kinarushwa TBC, ITV, STAR TV ili kiwafikie wengi.

Unamuua malaika huyo, malaika hana hatia mbele ya Mungu kisa tu ufanikiwe mambo yako sijui uwe tajiri au uwe maarufu kisiasa.

Rais wetu Zuia waganga wote wa Kienyeji/wajadi hawa do chanzo cha mauaji haya.

Watu wanapenda Maisha ya Miujiza, Binadam wengi hatuna subira, Watu wanataka kufanikiwa kwa siku Moja kwa kumwanga Damu za wenzao.

Nakushukuru Mungu wangu kwa kile nilichonacho sababu ni Mali yangu ya Halali.

Viongozi wa Nchi wekeeni sheria kalii zidi ya Unyama huu. Watu wanadhurumiwa haki yao ya Kuishi kisa Pesa.

Usione Mtu ana Mali Mingi, asilimia kubwa watu hao wamemwanga Damu za watu, Watu hao wamedhurumu maisha ya watu, wamedhurumu haki za watu.

Kama hutoaminii, Tafuta stori ya Tajiri wa Kanda ya Ziwa (Bariadi) PAUL MWANI.
 
Tanzania ni nchi inayofuata Utawala wa Sheria, ni Nchi ya kidemokrasia, Viongozi wetu wana amini katika haki na usawa.

Kuna matukio yanatokea, yanaumiza saana, yanasikitisha saana, tukio la kuuwawa kikatili kwa mtoto Asimwe Novart tena mhusika akiwa ni baba mzazi ambaye alipaswa kuwa mlinzi wa huyu Malaika, kea kweli kuna muda unatamani Sheria ziwekwe pembeni na maumivu aliyopitia huyu mtoto wapitie hao wote waliohusika kukatisha uhai wa huyu Malaika.

Fikiria wakati Asimwe Novart akiwa anahitaji msaada mbele ya Wanaume katili, hakuweza hata kujitetea zaidi ya macho ya huruma alionyesha kuomba huruma kwa Wanaume hawa katili, Alihitaji upendo wa baba, lakini baba alimuangamiza.

Inauma, inaumiza kuona hawa watu waliotenda unyama huu, kwa sababu ya Tanzania kuwa nchi ya Utawala wa Sheria wanapelekwa mahakamani tena kwa gari, Kuna muda unatamani ungekuwa na whisk ushudie ule ukatili waliotenda wakitendewa wao waexperience maumivu aliyopitia Asimwe Novart.

Pumzika kwa Amani Asimwe Novart

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Dkt. Gwajima D
 
Yaani umuelimishe mzazi asiue mwanawe?.. dooh!.. mimi huyo muelimishaji akija kwangu kwanza naanza na yeye!... shenzy... unielimishe mimi? Si matusi ya nguoni kabisa hayo?
Huyu mzazi ni katili, sidhani kama kuna Elimu inahitajika ya kutomfanyia ukatili mtoto wako.
Anyway may be kuna umuhimu Jamiii ikumbushwe upendo Tour De France
 
Tanzania ni nchi inayofuata Utawala wa Sheria, ni Nchi ya kidemokrasia, Viongozi wetu wana amini katika haki na usawa.

Kuna matukio yanatokea, yanaumiza saana, yanasikitisha saana, tukio la kuuwawa kikatili kwa mtoto Asimwe Novart tena mhusika akiwa ni baba mzazi ambaye alipaswa kuwa mlinzi wa huyu Malaika, kea kweli kuna muda unatamani Sheria ziwekwe pembeni na maumivu aliyopitia huyu mtoto wapitie hao wote waliohusika kukatisha uhai wa huyu Malaika.

Fikiria wakati Asimwe Novart akiwa anahitaji msaada mbele ya Wanaume katili, hakuweza hata kujitetea zaidi ya macho ya huruma alionyesha kuomba huruma kwa Wanaume hawa katili, Alihitaji upendo wa baba, lakini baba alimuangamiza.

Inauma, inaumiza kuona hawa watu waliotenda unyama huu, kwa sababu ya Tanzania kuwa nchi ya Utawala wa Sheria wanapelekwa mahakamani tena kwa gari, Kuna muda unatamani ungekuwa na whisk ushudie ule ukatili waliotenda wakitendewa wao waexperience maumivu aliyopitia Asimwe Novart.

Pumzika kwa Amani Asimwe Novart

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Hili tukio limeniuma sana sana
 
Msemaji wa jeshi la Polisi kachemka na kwenye hili litamgharimu.
Aliyekamatwa siyo Paroko msaidizi na wala siyo Padre.
Ni mraibu ambaye Paroko msaidizi alisoma naye na aliamua kumchukua Parokiani ili aweze kusaidiwa.
Hivyo kumtaja kama Baba Padre ni watu kutokutimiza majukumu yao katika kufuatilia mambo .
Paroko anaitwa Deodatus Tibakwasa na msaidizi ni Fr.Mathias.
Kifupi.
 
Mkuu Jamii yetu bado ina amini katika nguvu za giza katika kujipatia kipato. Binadamu tumeishiwa utu, Binadam tunadhamini Pesa kuliko uhai wa mtu.

Hawa watu walipaswa kuuwawa kwa kunyongwa tena live na kipindi kinarushwa TBC, ITV, STAR TV ili kiwafikie wengi.

Unamuua malaika huyo, malaika hana hatia mbele ya Mungu kisa tu ufanikiwe mambo yako sijui uwe tajiri au uwe maarufu kisiasa.

Rais wetu Zuia waganga wote wa Kienyeji/wajadi hawa do chanzo cha mauaji haya.

Watu wanapenda Maisha ya Miujiza, Binadam wengi hatuna subira, Watu wanataka kufanikiwa kwa siku Moja kwa kumwanga Damu za wenzao.

Nakushukuru Mungu wangu kwa kile nilichonacho sababu ni Mali yangu ya Halali.

Viongozi wa Nchi wekeeni sheria kalii zidi ya Unyama huu. Watu wanadhurumiwa haki yao ya Kuishi kisa Pesa.

Usione Mtu ana Mali Mingi, asilimia kubwa watu hao wamemwanga Damu za watu, Watu hao wamedhurumu maisha ya watu, wamedhurumu haki za watu.

Kama hutoaminii, Tafuta stori ya Tajiri wa Kanda ya Ziwa (Bariadi) PAUL MWANI.
Kweli kuna umuhimu wa kutunga Sheria kali kuhusu hawa Waganga wa kienyeji, wamekuwa tatizo, maumivu makali amepitia huyu malaika itmanager
 
Back
Top Bottom