Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Kifo cha David Balali: Kauli mbalimbali toka kwa watanzania

Sister girl, you are my favorite person. My frustration on this whole thing is not aimed at you. Afterall, how can I do that to my future sister in law? That's a no no!! My beef is with whoever led you and others to think that he's dead while some of the records that establish a persons death contradict with what we've been told. So my question is still: Which is which? Najua uko makini sana na huwezi tu kukurupuka bila sababu. Na sababu hapa umeilezea vizuri kabisa na hata mimi mwenyewe najiuliza maswali hayo hayo unayojiuliza wewe (great minds think alike....kwikwikwiii). Kwa hiyo bibie, frustration zangu zinaelekezwa kwa chanzo au vyanzo vya habari hii. Na kama Balali ndiye chanzo, then yeye ndiye wa kulaumiwa and you better believe I'll jump on him like never before.

Ngabu I agree with you..

Na kama unakumbuka ile conversation yetu tuliyofanya nilikuambia kwa nini nilikuwa nabadili mawazo kwenye hii issue ya kifo cha Ballali. I am glad to have a future brother in law who can stand by me ....thanks!

Ukweli ni kuwa, maelezo yanayotolewa kuhusu records hizi yanaongeza zaidi maswali kuhusu majibu. Ukisikia jibu kuwa inawezekana Ballali alitumia jina la bandia kwenye matibabu unapata maswali zaidi (ingawa inaeleweka kwa nini aliamua kufanya hivyo)

Ukisikia ni kwa nini kulikuwa na conflicting story za alifia wapi na lini unazidi kupata maswali zaidi. kinachotia utata zaidi ni kutokuwepo kwa independent and reliable confirmation (toka office ya CME - DC) as of today ya kifo cha Ballali. Inawezekana kweli Ballali amekufa lakini habari hizi zina mchanganyo mkubwa sana wa kuziamini.

Mengine mengi tuko pamoja na ile safari ya Carribean bado ipo kama tulivyopanga as a family......... as longer as you are not gonna fake your death... kwi kwi kwi kwi....
 
You are coping out, and you are making it worse.

Because you are trying to imply that MFWK is just a gullible sponge who absorbs whatever is thrown at her. I thought she gave absolutely independent reasons as to why she is a non-believer.

You're in hole, stop digging!

I'm not exactly sure what you're talking about...
 
Mwafrika wa Kike,
Naungana kabisa na wewe katika kudiriki kukataa kifo cha Balalli, pamoja na kwamba kwa kufanya hivi nitakuwa naumiza na kuongeza majonzi kwa familia husika.
1. Kwa wadhifa aliokuwa nao Balalli, nashindwa kuamini kwa kweli amefariki kutokana na jinsi mambo yalivyopelekwa. Hivi kweli Balalli akasirike kiasi hicho hata asitake watu kuhudhuria mazishi yake? Asitake hata mama yake kushuhudia mwili wake naye apate closure, kuwa mwanae amefariki. Mh!!!!!
2. Hivi ni kweli familia ya Balalli na ya mkewe ni ndogo hivyo kiasi kwamba msiba huo umekuwa ni kama mtu asiye na watu. Pamoja na kuendelea na privacy issues bado haiingiii kwa namna ilivyopelekwa. Ni ugonjwa gani wa siri hivyo? Ni mtu gani angependa kuuguza kwa muda mrefu kiasi hicho bila hata kutaka sympathy ya waliomzunguka? Kweli Balali alikuwa mgonjwa kutokutaka kabisa kuonwa na ndugu, jamaa au marafiki?
3. Kwa nafasi aliyokuwa nayo Balalli hata kama angekuwa halipiwi na serikali nina hakika kwa kiasi kikubwa kuna taarifa zake ambazo zingepatikana. Kwa namna taarifa zilivyokuwa zinatolewa naona kuna utata.
4. Mwanzoni nilitaka kuamini ni mapungufu yetu ya kiutendaji kwa kutokufuatilia mambo, hasa ubalozi nikifikiria wana wajibu wa kujali rai wao wakiwa hai au wafu, lakini kila nikifikiri naondoa fikira hiyo si sahihi. Taarifa ya kifo USA be it in Boston or DC ichukue
siku 3 au zaidi. Bado taarifa hizo haijulikani ni ipi ni sahihi.
5. Ni kwanini watu wazuiwe kushiriki msiba wake huko Boko kama tu zilivyo mila na desturi zetu? Yaani familia ya Balali imebadilika kiasi hicho na kuwa na utamaduni wa kigeni kabisa na kwa ghafla? Mh!!! Hivi ndivyo kweli alivyotaka mama yake Balali, ndugu zake au yeye mwenyewe? Mbona waliomchafulia jina kama kweli limechafuliwa, wala hawana uchungu naye, kwanini amuumize mama yake mzazi kama ni kweli amefariki?
6. Kulikuwa na tetesi siku za nyuma kuwa yuko Malta, hivi hili liliishia wapi?

Sijui nikikutana naye itakuwaje.

Benoir,

nina share frustrations zako na ninatumaini kuwa familia ya Ballali ambao wengi ni ndugu na marafiki zangu wanatuelewa kwenye hili. Taratibu yote yatajulikana!
 
You are coping out, and you are making it worse.

Because you are trying to imply that MFWK is just a gullible sponge who absorbs whatever is thrown at her. I thought she gave absolutely independent reasons as to why she is a non-believer.

You're in hole, stop digging!

ize ize ize... i dont think ngabu has done any of this! He is rather more to my side (of questions and frustrations) than the other side (of just letting it go)
 
Okay.. lemi get some facts from you!..

Well this is the first world where everything is open....

1. Do you know when Ballali died?
2. Do you know where he died (home or hospital)?
3. Do you know why there are no records of his death?



Mhh..

Mimi nimechunguza na sikupata uthibitisho wowote wa kujitegemea wa kifo cha Ballali. Call this a spin or anything but wewe ndio una burden ya kuthibitisha hiki kifo. Inaonekana unaona kuwa investigation yako yaweza kuwa bora kuliko ile iliyofanyika. Mbona usilete uthibitsho wa dunia ya kwanza hapa? jina la hospital, tarehe ya kifo, aliyethibitisha kifo, record za kifo, nk?

Let me put this way; a public figure like Ballali and a man of that intelligence level cannot choose to fake death in US of America; he knows the consequence of such doing. The president of Tanzania, (if the Gov of Tanzania also participated in faking this death) will never choose to do so in the US of America; they are clever, they are not so stupid like us in this JF forum.
And if for sure the government agent gave him to swallow that arsenic or pollonimu pill then now they are dancing because they got us in JF discussing issues which are a waste of time!
 
Let me put this way; a public figure like Ballali and a man of that intelligence level cannot choose to fake death in US of America; he knows the consequence of such doing. The president of Tanzania, (if the Gov of Tanzania also participated in faking this death) will never choose to do so in the US of America; they are clever, they are not so stupid like us in this JF forum.

Being intelligent is another reason to make fool of all of us ....including themselves (if any)!

And if for sure the government agent gave him to swallow that arsenic or pollonimu pill then now they are dancing because they got us in JF discussing issues which are a waste of time!

There are still alot of new songs in the making right now! just get your dancing shoes ready for the new kinda dance!
 
Let me put this way; a public figure like Ballali and a man of that intelligence level cannot choose to fake death in US of America; he knows the consequence of such doing. The president of Tanzania, (if the Gov of Tanzania also participated in faking this death) will never choose to do so in the US of America; they are clever, they are not so stupid like us in this JF forum. And if for sure the government agent gave him to swallow that arsenic or pollonimu pill then now they are dancing because they got us in JF discussing issues which are a waste of time!

BTW, I dont know why you think that we (JF members) are stupid!
 
Kwa kadri nijuavyo mimi, katika majimbo mengi kama si yote, kuzaliwa, kifo, ndoa, talaka, kukamatwa na polisi, na mengine mengi ni public records. Sasa kama hakuna sehemu yoyote ile iwe kwa Clerk of court, coroner n.k. jina la Balali lipo kama marehemu na kwa wakati huo huo tunaambiwa kafa...sasa kwa nini hakuna rekodi zozote za kifo chake popote pale? Mimi nipo hewani....sijui hata niamini nini.

Mwenzenu hapa juzi juzi tu mimi na fiance wangu (mdogo wake na Mwafrika wa Kike) tulipoenda courthouse kuchukua marriage licence keshokutwa yake majina yetu yakatokea gazetini. Hiyo ni kwa sababu mambo kama hayo ni public record.....sasa kifo cha mtu jamani kisiwe popote pale...zaidi ya jamiiforums na magazeti ya bongo wakati kimetokea Marekani......hhhhmmmmmm
 
Nawashangaa sana wadogo zangu.

Mnataka tuamini balali kafa, sawa amekufa,

Ila mbona mnatumia nguvu nyingi kutuaminisha?

Mmemfukuza jmushi1 kwa matusi, eti kwa kuwa anatujuza

Nimegundua ninyi mnaotetea kuwa baba yetu kafa mnalo la ziada.

Mkutane na mkono wa bwana wetu.
 
Nawashangaa sana wadogo zangu.

Mnataka tuamini balali kafa, sawa amekufa,

Ila mbona mnatumia nguvu nyingi kutuaminisha?

Mmemfukuza jmushi1 kwa matusi, eti kwa kuwa anatujuza

Nimegundua ninyi mnaotetea kuwa baba yetu kafa mnalo la ziada.

Mkutane na mkono wa bwana wetu.

wewe nawe,

nani amemfukuza mushi?
 
wewe nawe,

nani amemfukuza mushi?


Kama si kumfukuza ni nini basi? watu wanaanza kutoa matusi ili iweje jamani?
sote tunaamini kuwa hapa ni sehemu kutoa hisia zetu
nimekuwa nikifuatilia mjadala ktk thread hii uliyoileta hapa nimegundua watu wengine wanalazimisha moja iwe mbili
 
Kama si kumfukuza ni nini basi? watu wanaanza kutoa matusi ili iweje jamani?
sote tunaamini kuwa hapa ni sehemu kutoa hisia zetu
nimekuwa nikifuatilia mjadala ktk thread hii uliyoileta hapa nimegundua watu wengine wanalazimisha moja iwe mbili

Watu kibao hapa wanatukanwa na life inaendelea kama kawaida. hakuna mtu anayekimbia fight eti kwa vile kuna watu wamemtukana. Hiyo ingekuwa kesi wengi wetu tusingekuwa hapa leo hii.
 
Watu kibao hapa wanatukanwa na life inaendelea kama kawaida. hakuna mtu anayekimbia fight eti kwa vile kuna watu wamemtukana. Hiyo ingekuwa kesi wengi wetu tusingekuwa hapa leo hii.


Mwk

Hebu inafikia wapi mtu mzima amtukane mwenzake? tena asiyemjua? lakini hii mada inaonekana kama ina nguvu ya hoja, kwani mtu kama Jasusi kutoa lugha chafu si vema hata kidogo.

Mwk tushike wapi sasa,kwani hatuana huhakika wa jambo hili, mijamaa imeshatupiga bao, Daaaaaaa!!!! hii si hatari ndugu yangu?

watoto wetu wataendelea kukosa panadol kwa sababu yao, eeee!!!!! Mungu tusaidie.
 
Mwenzenu hapa juzi juzi tu mimi na fiance wangu (mdogo wake na Mwafrika wa Kike) tulipoenda courthouse kuchukua marriage licence keshokutwa yake majina yetu yakatokea gazetini. Hiyo ni kwa sababu mambo kama hayo ni public record.....sasa kifo cha mtu jamani kisiwe popote pale...zaidi ya jamiiforums na magazeti ya bongo wakati kimetokea Marekani......hhhhmmmmmm

Gazeti gani hilo? Local Parish Newsletter au The County Times?
 
Mwk

Hebu inafikia wapi mtu mzima amtukane mwenzake? tena asiyemjua? lakini hii mada inaonekana kama ina nguvu ya hoja, kwani mtu kama Jasusi kutoa lugha chafu si vema hata kidogo.

Mwk tushike wapi sasa,kwani hatuana huhakika wa jambo hili, mijamaa imeshatupiga bao, Daaaaaaa!!!! hii si hatari ndugu yangu?

watoto wetu wataendelea kukosa panadol kwa sababu yao, eeee!!!!! Mungu tusaidie.

Hii issue ni very emotional kwa mtu kama Jasusi. Kama ni kweli ndugu yake amekufa na sisi hapa tunatoa haya maneno na wengine hata kuulizia huo uhusiano wa Ballali na mkewe ulianza vipi inaweza kuwa inamuumiza sana.

Sitetei ila sishangai kwa vile alivyofikia kusema alichosema. Jasusi na wengine wanaoamini kifo cha Ballali hawana kosa lolote kueleza msimamo wao hapa JF. Jasusi tumetoka naye mbali na si mtu wa kutoa lugha kama hiyo aliyotoa hapa.

Having said that, usidhani kuwa kupotea au kufa kwa Ballali ni mwisho wa yote yaliyotokea BoT. Kina Mramba na Mgonja wote siku zao zinakuja na sio tu kwamba sasa wamemwaga mafuta kwenye moto, wao wenyewe wamejimwagia super premium grade gas na ni suala la muda kabla hawajachomeka.
 
...unaweza ku-opt info zako zisiwe public!!
...kwasababu ya umbea wa wabongo ktk smalltown nilokuwa nikiishi, nilipoenda kortini kuchukua cheti cha ndoa yangu ya "ghafla" nili-opt isiwekwe gazetini na hivyo kutokuwa public....nikapewa papers to sign na bila shaka ndoa yangu ikabaki siri yangu na mwolewaji!!! kwikwikwi kulikuwa na 'mzaramo' mmoja kazi yake ilikuwa kununua "gazeti la leo" kila siku, ilikujua nani kawowa.....kazi kwelikweli!!.

mtu kama ana ubavu na kesi ya maana, akafunge kesi kwenye county alofia jamaa(allegedly)...kama ushahidi upo wa why? na kama zipo basi Pilato atazianika hadharani. lakini hii mambo ya kung'ang'ania kwamba ni lazima ziwe "public" no strings attached ni BS....yes, yamemshinda Kichaka na "database" yake.....ndio maana kuna ACLU, halllllllooow!!!

kuna mtu hapa alisema ati, wali-hire PI!!! woooow, PI gani huyo anakuja na majibu within few dayz toka mtu "afe" ktk kesi complicated namna hii?? LOL, huyo PI lazima awe 'Gangwe Manyara' a.k.a superman!!.

uvumilivu ndio silaha ya maana hapa....pupa, na kutaka majibu ya haraka haraka ndio tatizo letu nambari wani sie wabongo!! yaaay...goodluck!.

Mkuu YNIM, kwa mujibu wa CME office ya DC, Habari ya kifo chenye mazingira ya Ballali ni open to the public kama zikiombwa na yeyote yule na hazihitaji any court order to get them.

Ni kweli kuwa si lazima ziwe gazetini lakini kokote zilipo ni public information na zinaweza kuombwa kutolewa. Uthibitisho wa kuwa kifo kimetokea au la hauitaji amri ya judge na wala hauhitaji kuchukua wiki kibao ili kuthibitisha. Kutaka kujua ni nini kilimuua ndio inaweza kuhitaji kupitia process.

So far kilichofanyika kwenye uchunguzi hapa ni kujua kama kuna records za kifo au la. Hilo la kujua nini kimemuua halikuwa sehemu ya uchunguzi.
 
Let me put this way; a public figure like Ballali and a man of that intelligence level cannot choose to fake death in US of America; he knows the consequence of such doing. The president of Tanzania, (if the Gov of Tanzania also participated in faking this death) will never choose to do so in the US of America; they are clever, they are not so stupid like us in this JF forum.
And if for sure the government agent gave him to swallow that arsenic or pollonimu pill then now they are dancing because they got us in JF discussing issues which are a waste of time!

Hapa Uk mpaka mbunge alishafake kifo ndio awe Ballali? Labda utaambie hata UK ni Banana republic.

Kwa case ya Ballali ni rahisi zaidi kwasababu hakuna anayemtafuta. TZ iliyotakiwa kumtafuta ndio wahusika kwenye kumpoteza.

Watu huku majuu wamefake vifo mpaka kulipwa na insurance companies, kama ingelikuwa ngumu hivyo basi watu wa mwisho kulipa mapesa wangekuwa hao insurance companies.
 
MWK,
kimsingi umepigia mstari point nilotengeneza, kwamba si public na mpaka ziombwe!!! je kuna mtu kathubutu kuziomba? na hayo mazingira unayozumngumzia wewe ni yapi? kwani ilikuwa ni homicide, suicide, suspicious in any way au kitu gani? umejuaje kuhusu mazingira hayo........mtafute Parco the PI, achunguze hii kesi mie nitachangia vijisenti!! vinginevyo hili ni gumzo tu kama mengi mengine hapa bodini!!.

Mazingira ninayozungumzia hapa ni haya yaliyotolewa kuwa Ballali alifia nyumbani kwake (yamewekwa hapa na ndugu zake Ballali) .... Soma hiki ambacho kinaileta office ya CME kwenye kifo cha Ballali:

Investigates and certifies all deaths in the District of Columbia that occur as the result of violence (injury) as well as those that occur unexpectedly, without medical attention, in custody, or pose a threat to public health
.

Hiyo ni kwa mujibu wa office ya CME. Asante kwa offer ya senti za kusaidia kwenye hili mkuu. Ikihitajika kuwa tutumie PI kujua hili basi nitakuambia. Kwa sasa nasubiri kuona labda kutakuwa na update ya report za kifo cha Ballali ili kuthibitisha kifo chake kwenye independent na reliable sources - Govt offices
 
...lakini hicho kipengele ulichonukuu kama ndicho pekee unachotegemea ku-justify kwamba info za msiba wa Jamaa lazima ziwe public nadhani upo wrong!! kwasababu tunajua(assume) kwamba haikuwa violent death, hajafa kwa ngwengwe, ebola au whatever. pia tunajua kwamba huko nyumbani au kuwa nyumbani haimaanishi kwamba mtu hana medical attention around the clock kwani ndio maana kuna VN (visiting nurses) kwa ajili hiyo.........kwahiyo ukiangalia deep hapa na kama familia imeomba tena kupitia ma-lawyer, kuwa habari zake ziwe mbali na public basi nadhani itakuwa hivyo..mpaka pale atakapotokea mtu wa kufight tena kupitia courts ili iwe vinginevyo!!

Parco the PI anaishi NYC.......

Soma tena yaliyoandikwa na familia ya Ballali uone kuwa ilisemwa kuwa Ballali alikuwa anaishi DC kwenye walking distance ya hospitali ili apate matibabu hospitali. Hayo ya visiting nurse yote nayajua ila ninayachukulia maneno ya familia ya Ballali.

Kama Ballali alikuwa kwenye walking distance ya hospitali, basi inamaanisha kuwa alikuwa akienda hospitali kutibiwa na kama unakumbuka ile habari ya Ballali kuwa na life support nyumbani kwake ilipingwa hapa JF. Ohh kumbuka pia kuwa imesemwa hapa kuwa lilitumika jina fake kwa usalama wake.

Mtu yeyote akifia nyumbani bila medical attention (kwa mujibu wa habari za kifo cha Ballali zilizotolewa hapa) inabidi kifo chake kithibitishwe na hii office ya CME kwa DC (inajulikana kama coroner office au whatever kwenye States zingine). Ok, nilichochunguza mimi na kupata ni nothing kwenye records au reports za kifo cha Ballali kwenye office ya serikali inayohusika.

Kumbuka kuwa kama hii story ya Ballali itabadilika (kama ambavyo imekuwa inabadilika hapa JF) na kusema vingine kuhusu mazingira ya kifo chake basi na mimi nitaadjust mbinu zangu za ufuatiliaji. So far wamesema kuwa alifia home baada ya kuzidiwa na sio hospitali - kitu ambacho kinamuhitaji CME kuthibitisha kifo chake - kama hospitali au dakitari wake hajafanya hili.

Natumaini wewe utajua zaidi process ya kuita kifo cha mtu (make a call of the death, time and day) zinazofanywa kwenye sekta ya afya kama mmoja wa wataalamu kwenye hilo.
 
Back
Top Bottom