B Barbiedoll JF-Expert Member Joined Apr 7, 2023 Posts 772 Reaction score 2,150 Apr 26, 2023 #61 Numbisa said: Alikufa nyerere na nchi ikabaki na amani. Alifariki tupac,bob Marley,lucky dube music bado upo on sembuse chai jaba Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣 eti chai jaba🤣🤣🤣🤣
Numbisa said: Alikufa nyerere na nchi ikabaki na amani. Alifariki tupac,bob Marley,lucky dube music bado upo on sembuse chai jaba Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣 eti chai jaba🤣🤣🤣🤣
Mkereketwa_Huyu JF-Expert Member Joined Feb 19, 2011 Posts 9,836 Reaction score 7,231 Apr 26, 2023 #62 Jamani mbona Diamond ni Msangi tu wa kawaida tena na sasa kapitwa na vijana wengi tu. Akifa yeye HAKUNA kitakachobadilika hapa Bongo, wamekufa wanamuziki wa kweli sembuse huyu msanii tu?
Jamani mbona Diamond ni Msangi tu wa kawaida tena na sasa kapitwa na vijana wengi tu. Akifa yeye HAKUNA kitakachobadilika hapa Bongo, wamekufa wanamuziki wa kweli sembuse huyu msanii tu?
Bzero Member Joined Jul 29, 2022 Posts 86 Reaction score 180 Apr 26, 2023 #63 Aliegundua mziki dunian kafa na mzik bado upo sa kama huyo diamond ndo mwanzilishi wa mziki afe tuone kama na mzik utaisha
Aliegundua mziki dunian kafa na mzik bado upo sa kama huyo diamond ndo mwanzilishi wa mziki afe tuone kama na mzik utaisha