nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Umeshajiita mchizi hivyo husumbui vichwa vya watu hakikaNimejifunza Zilaili hashindwi kumwaga pombe iwe mataputapu au kangala
Haikusaidii kitu na wala hutowasidia kitu kaa na maisha yako ya kinafikiSijamuona Jugen Magufuli leo na Jesca au mi ndo siwajui
Ulitaka wasikamatwe kwa walichokifanya ambacho ninuchocheziAcha kubisha bisha jambo usilolijua...
Kama kitu hujui haimaanishi kwamba hakipo...
Watu 8 wamekamatwa huko manyara kwa kusheherekea magu kufa.
Tusidharau sayansiPoleni watanzania wenzangu kwa kifo cha Mpendwa wetu Hayati JPM, Apumzike kwa Amani.
Hakika kifo chake kimemgusa kila mtu, watu wote wa rika zote.
sijawahi kuona kiongozi analiliwa kama huyu, nyuso za watu wengi zimejawa na huzuni kubwa.
viongozi tuliobaki hai kuna jambo la kujifunza hapa, ni wazi kabisa Hayati Magufuli enzi za uhai wake alifanya kazi yake kwa nguvu zake zote na kwa masilahi ya watanzania,
Amepambana bila kuchoka hadi umauti umempumzisha!!
viongozi tuliobaki tunamambo yafuatayo ya kujifunza;
1. Kila kiongozi ktk nafasi yake ana wajibu wa kufanya kazi kwa uadilifu na kwa bidii kwa masilahi ya watanzania.
tuwajali na tuwatetee wananchi wanyonge.
2. Tupambane kulinda Rasilimali zetu haswa madini.
3. Lazima tupige vita dhidi ya mafisadi na wala rushwa,
Kifo cha Dr. JPM kamwe kisiwe ndio kufunguliwa kwa mafisadi, wala rushwa, wabadhirifu, kujuana, kubebana, wapiga dili, mikataba mibovu, ukwepaji kodi, wauza madawa ya kulevya, wakwepa kodi, majambazi, vibaka n.k
wananchi wa Tanzania tunataka kuona yale yote aliyo yasimamia Hayati Magufuli yanasimamiwa kwa nguvu zote bila kuoneana muhali.
Watanzania wanatarajia kuona heshima na utiifu ulio onekana kwa JPM pia unaonekana akipatiwa Rais wa sas Samia Suluhu.
wananchi wanatarajia kuona watendaji wote wa vyombo vyote wana fanya kazi kwa bidii na kwa uadilifu kama ilivyo kuwa wakati wa JPM, hatutegemei kuwa ona mawaziri na watendaji wengine waki relax.
Huwezi kuwa kiongozi Mwadilifu kama huna hofu ya Mungu. Magufuli alikuwa ni Kiongozi mwenye hofu kubwa kwa Mungu.
viongozi mlio baki kuweni na hofu kwa Mungu, hofu ya kweli ili Muwatendee watanzia haki.
Viongozi tuache tamaa ya kujilimbikizia mali na kuwa na Tamaa ya madaraka.
4. Hayati JPM alijenga Imani kwa wananchi, alisema na kutenda, ukiharibu tu hajili wewe ni rafaki yake lazima akutumbue, hakuna mambo ya kujuana mbele ya kazi ya watanzania.
5. Watanzania hawategemei kuona wala kusikia hujuma ya maendeleo kwa taifa letu.
Tumpe ushirikiano wa kweli sio wa kinafiki Rais wetu Mama Samia Suluhu ili nchi yetu iendelee kuwa na heshima.
Pumzika kwa Amani JPM, mwanga wa milele ukuangazie.
nashangaa mimi nikifata fundisho lake la kusema ukweli kuwa mimi sijahuzunika alivyokufa watu wana mindviongozi mliobaki jufunzeni kusema ukweli hata kama ni mchungu, msiwe wanafiki.
JPM ametufundisha kusema ukweli hata kama hauwafurahishi baadhi ya watu.
Jasiri asiye yumba wala hakubali kuyumbishwa.
kiongozi ambaye hakufikiria tumbo lake bali watanzania wote.
kiongozi ambaye alisimamia sheria bila uoga wala aibu.
Kiongozi aliye fikiria masilahi ya watanzania kwanza kabla ya wengine. alitetea madini yetu na kubadilisha sheria kandamizi ili kulinda na kunufaika na madini yetu.
Kiongozi aliye chukuia kudanganywa na hivyo alitumia kila mbinu kuujua ukweli wa jambo kwa ufasaha na uhakika. mfano makinikia yaliyo kamatwa bandarini n.k
kiongozi ambaye hakubali kupokea majungu na fitina bila kwanza kujiridhisha.alibaini viongozi wengi waliachishwa kazi au kusimamishwa kazi kwa hila na kisha kuwarudisha.
aliwapenda sana watanzania wabunifu na wachapa kazi. aliamini kuwa kufanya kazi kwa bidiii ndio msingi wa maendeleo.
aliye dhamiria kujitegemea zaidi kuliko kuwa tegemezi.
aliye toa elimu buree kwa watanzania wote kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
aliye boresha na kujenga vituo vya afya vingi zaidi karibu kila wilaya.
aliye iunganisha mikoa yote na wilaya zote za tanzania kwa Lami.
aliye fanikiwa kusambaza umeme hadi vijijini.
iliye boresha huduma ya maji safi.
Wasukuma wenzake. Nikiwataja hapa utashangaaAliyependelewa ni nani kama siyobuchochezi?
amenTumshukuru Mungu kwa maisha na utumishi wa JPM, yale mema mengi tuyaenzi na madhaifu machache tuyapotezee.
AMINA!Poleni watanzania wenzangu kwa kifo cha Mpendwa wetu Hayati JPM, Apumzike kwa Amani.
Hakika kifo chake kimemgusa kila mtu, watu wote wa rika zote.
sijawahi kuona kiongozi analiliwa kama huyu, nyuso za watu wengi zimejawa na huzuni kubwa.
viongozi tuliobaki hai kuna jambo la kujifunza hapa, ni wazi kabisa Hayati Magufuli enzi za uhai wake alifanya kazi yake kwa nguvu zake zote na kwa masilahi ya watanzania,
Amepambana bila kuchoka hadi umauti umempumzisha!!
viongozi tuliobaki tunamambo yafuatayo ya kujifunza;
1. Kila kiongozi ktk nafasi yake ana wajibu wa kufanya kazi kwa uadilifu na kwa bidii kwa masilahi ya watanzania.
tuwajali na tuwatetee wananchi wanyonge.
2. Tupambane kulinda Rasilimali zetu haswa madini.
3. Lazima tupige vita dhidi ya mafisadi na wala rushwa,
Kifo cha Dr. JPM kamwe kisiwe ndio kufunguliwa kwa mafisadi, wala rushwa, wabadhirifu, kujuana, kubebana, wapiga dili, mikataba mibovu, ukwepaji kodi, wauza madawa ya kulevya, wakwepa kodi, majambazi, vibaka n.k
wananchi wa Tanzania tunataka kuona yale yote aliyo yasimamia Hayati Magufuli yanasimamiwa kwa nguvu zote bila kuoneana muhali.
Watanzania wanatarajia kuona heshima na utiifu ulio onekana kwa JPM pia unaonekana akipatiwa Rais wa sas Samia Suluhu.
wananchi wanatarajia kuona watendaji wote wa vyombo vyote wana fanya kazi kwa bidii na kwa uadilifu kama ilivyo kuwa wakati wa JPM, hatutegemei kuwa ona mawaziri na watendaji wengine waki relax.
Huwezi kuwa kiongozi Mwadilifu kama huna hofu ya Mungu. Magufuli alikuwa ni Kiongozi mwenye hofu kubwa kwa Mungu.
viongozi mlio baki kuweni na hofu kwa Mungu, hofu ya kweli ili Muwatendee watanzia haki.
Viongozi tuache tamaa ya kujilimbikizia mali na kuwa na Tamaa ya madaraka.
4. Hayati JPM alijenga Imani kwa wananchi, alisema na kutenda, ukiharibu tu hajili wewe ni rafaki yake lazima akutumbue, hakuna mambo ya kujuana mbele ya kazi ya watanzania.
5. Watanzania hawategemei kuona wala kusikia hujuma ya maendeleo kwa taifa letu.
Tumpe ushirikiano wa kweli sio wa kinafiki Rais wetu Mama Samia Suluhu ili nchi yetu iendelee kuwa na heshima.
Pumzika kwa Amani JPM, mwanga wa milele ukuangazie.
Acha uzushi wataje,so ulihitaji akupendelee wewe kama nani na awaache aliokaribu nao?Wasukuma wenzake. Nikiwataja hapa utashangaa
Mpaka mwaka?Hivi mtu akikwambia kuwa siku moja utakufa anakuwa amekutabiria kifo wakati kufa kwako ni lazima?
Wapi ? Chanzo cha habari ni kipi?Mikoani Kuna taarifa za watu kukamatwa wakishangilia kifo chake. Hakika ameumiza wengi
Povuu halibadilishi ukweli. Magufuli alikuwa mbaguzi full stop.Acha uzushi wataje,so ulihitaji akupendelee wewe kama nani na awaache aliokaribu nao?
Alikufahamu?
Sidhani kama kunampumbavu kama wewe anayeweza kuwagawia mkate watoto wa jirani kwanza kabla ya watoto wake kisa eti anaogopa kusema anapendelea.
Hoja ni marehemu haongelewi vibaya wazee [emoji16]Hawa wapiga zumari wa jiwe wanataka tumsifu tuu bila kuongelea uovu na ushetani wake.
Wapi nimesena mimi nnavotaka iww? Soma vizuriUlitaka wasikamatwe kwa walichokifanya ambacho ninuchochezi
Hii sasa kali hivi swala la binadamu kufa nalo linahitaji utabiri au ndo ukweli wenyewe?kwani kuna atakaebaki?ukiniambia mimi ntakufa hata nikikasirika lakini ni kazi bure kwa sababu ni kweli lazima itafika siku nitakufa nitake nisitake.Inatukumbusha God bless lema ni mtabiri na nabii wa kweli! Alimtabilia!