Kifo cha Dkt. Magufuli tunajifunza nini?

Acha kubisha bisha jambo usilolijua...


Kama kitu hujui haimaanishi kwamba hakipo...

Watu 8 wamekamatwa huko manyara kwa kusheherekea magu kufa.
Ulitaka wasikamatwe kwa walichokifanya ambacho ninuchochezi
 
Aliwachukia watu wa Kaskazini na haswa Wachaga, sijui walimfanya nini?

Tuishi kwa upendo, ukipewa uongozi usiwabague watu kwa rangi, kabila, jinsia wala dini.

Tenda mema, na kwa Wakristo unapaswa kufuata Amri 10 za Mungu ikiwemo usiue.

Sent from my HTC U12 life using JamiiForums mobile app
 
Tusidharau sayansi
 
nashangaa mimi nikifata fundisho lake la kusema ukweli kuwa mimi sijahuzunika alivyokufa watu wana mind
 
AMINA!
 
Wasukuma wenzake. Nikiwataja hapa utashangaa
Acha uzushi wataje,so ulihitaji akupendelee wewe kama nani na awaache aliokaribu nao?

Alikufahamu?

Sidhani kama kunampumbavu kama wewe anayeweza kuwagawia mkate watoto wa jirani kwanza kabla ya watoto wake kisa eti anaogopa kusema anapendelea.
 
Usijifanye bora kuliko binadamu wengne ova.
 
Acha uzushi wataje,so ulihitaji akupendelee wewe kama nani na awaache aliokaribu nao?

Alikufahamu?

Sidhani kama kunampumbavu kama wewe anayeweza kuwagawia mkate watoto wa jirani kwanza kabla ya watoto wake kisa eti anaogopa kusema anapendelea.
Povuu halibadilishi ukweli. Magufuli alikuwa mbaguzi full stop.
Alienjoy sana watu kuonewa na kuumizwa. Ndiyo maana wale wa Mwanza alisema wasivunjiwe. Kina Luena wameuwawa hamna waliokamatwa.
Ndiyo maana hata leo wanaoshangilia kufa kwake wanakamatwa sababu ya legacy yake mbaya. Hamuwezi kutulazimisha tulie na nyie. Kila mtu apambane na hali yake. Na hakuna tena msukuma atakuwa rais wa tz maisha.

Swallow your pride
 
Hakika Hayati Magufuli alikuwa Kipenzi cha watanzania wengi.
mwenye macho hambiwi tazama.
mambo yanajionyesha yenyewe.

kwa maombi, sala na machozi ya watanzania hawa wanao mlilia na kumuomba basi hakika Mungu atapokea sala zao.
 
hakuwa mnafiki, alikuwa msema kweli, ukiharibu alikuwa hakopeshi anakuchana hapo hapo live au anakupa makavu live.

alionyesha kwa vitendo kuwa cheo ni dhamana.

ktk kipindi chake kwa mara ya kwanza tulishuhudiwa viongozi wakiwajibishwa kwa uzembe au kushindwa kwao kutimiza wajibu wao.
 
Inatukumbusha God bless lema ni mtabiri na nabii wa kweli! Alimtabilia!
Hii sasa kali hivi swala la binadamu kufa nalo linahitaji utabiri au ndo ukweli wenyewe?kwani kuna atakaebaki?ukiniambia mimi ntakufa hata nikikasirika lakini ni kazi bure kwa sababu ni kweli lazima itafika siku nitakufa nitake nisitake.
Kwa hiyo lema hakutabiri bali alisema ukweli na sasa ni kweli siku yake magu imefika amekufa pamoja na kuhangaika kutafuta sababu.
Sasa kama yeye ni mtabiri mzuri atutabirie kifo chake au tuseme hata kama ni cha mshikaji wake mbowe au vipi?[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…