Chief Mtangi
Member
- May 11, 2020
- 73
- 119
Bila shaka Panya mabaka alimaliza mchezoPanya walifanya kikao....namna gani tumzuie paka asiendelee kutula Kila siku.....
Mjumbe mmoja kwenye kikao akasema ili paka asitusumbue Basi afungwe Kengele ili akiwa anakuja tumsikie.
Wajumbe wote walipenda Hilo wazo ila mzee mmoja akainuka akauliza panya wenzie......NANI WA KUMFUNGA PAKA KENGELE????????
Hadi leo panya wanaulizana swali Hilo.
Yataje kwa majina... mashirika ya haki za binadamu yapo kimya ...
Alokuwa anawafanya wakemee ndo katenda kwa sasaTokea tukio la kikatili na kibaguzi lililopelekea kifo cha George Floyd, mashirika ya haki za binadamu yapo kimya sana tofauti na ilivyo upande wa mataifa ya kiafrika.
Tumezoea kuona mashirika haya yakikemea vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi za ki-Africa lakini leo hii yamekuwa kimya sana hata ile nguvu wanayoitumia kupiga kelele mara kwa mara imekuwa tofauti.
Je, yanaiogopa marekani na kuhofia kupata misaada ama kuna sababu nyingine?
Amnesty international wamekosoa mbonadronedrake,
Yeah, Amnesty international and Human rights watch yote hayapigi kelele kama wafanyavyo kwetu huku, watajifanya kuongea kinafki ili kuua soo ila sio kama wanavyobwatuka kwa nchi za ki-Africa!
Walaani nini wakati ili ni ukatili uliofanywa na matakwa binafsi na sio sera za nchi.Wallaani nn wakati hatua zimeshachukuliwa? Wanalaani Africa sababu polisi anayo haki ya kuuwa ili kumfurahisha mtawala na akaendelea na kazi bila kuchukuliwa hatua.So wangelaani USA Kama hatua zisingechukuliwa.Tokea tukio la kikatili na kibaguzi lililopelekea kifo cha George Floyd, mashirika ya haki za binadamu yapo kimya sana tofauti na ilivyo upande wa mataifa ya kiafrika.
Tumezoea kuona mashirika haya yakikemea vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi za ki-Africa lakini leo hii yamekuwa kimya sana hata ile nguvu wanayoitumia kupiga kelele mara kwa mara imekuwa tofauti.
Je, yanaiogopa marekani na kuhofia kutopata misaada ama kuna sababu nyingine?
Sababu Africa Hakuna Hali za binadamu Bali zipo za watawaladronedrake,
Yeah, Amnesty international and Human rights watch yote hayapigi kelele kama wafanyavyo kwetu huku, watajifanya kuongea kinafki ili kuua soo ila sio kama wanavyobwatuka kwa nchi za ki-Africa!