Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Sasa huyo anayenunua gunia kwa 70,000 na kuuza kwa 42,000 ANAPATA wapi faida yake?
Inawezekana zisiwe halali.

Lakini habari za kwamba kuna majoka yanatema hela, hizo ni fiksi.

Hayo majoka huwa yanazitengeneza hizo hela tumboni halafu ndo yanazitema?

[emoji1787][emoji1787]
 
Hahahaha tapeli wetu sie tunaemwaminia Tanzania [emoji1241] ni dude juzi Kati alipata ajari ya boda boda unakuwaje tapeli unapata ajari soo cheap matapeli wa mbele wapo smart hao hata kutoka nje Wana check uwezekano wa mvua kunyesha kwenye utabiri wa Hali ya hewa
 
Nasikia na ile Ferari imeshika moto na kuteketea...
 
Usd 400k sindio 1Billion Tsh mkuu? Ila sjajua kwa pesa ya Zimbabwe au South Africa.
 
Wee jamaa bana🤣🤣🤣🤣
 
Unampenda mimi tu binamu si ndiyo, katika familia yetu hii,

ila binamu all in all pesa za giza watu wengi wanatumia sana dar, Arusha ndiyo usiseme zipo sana tu, kuna yule mwana dada wa Arusha alietoa siri ya mume wake kuwa ana utajiri wa kishirikina na ni baada ya mume wake kumwambia huyu dada kafara inayofuata ni wamtoe mtoto wao dah hapo yule dada akaona haiwezekani shida ikaanzia hapo na mwanadada huyo kumuanika mume wake kuwa anatumia giza kupata utajiri
 
Hahahaa
I wish wangekuwepo hiyo family humu
Mbona wasingekuacha salama[emoji23][emoji23]
 
Wanaume wenyewe matapeli bora niolewe na binamu yangu mie nimpe utamu[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimeona mazishi leo wala hakukua na hyo White’s kama alivyosema marehemu , watu wanalia balaa
Tulitegemea utuletee updates ziko wap sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…