mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sasa huyo anayenunua gunia kwa 70,000 na kuuza kwa 42,000 ANAPATA wapi faida yake?
Inawezekana zisiwe halali.
Lakini habari za kwamba kuna majoka yanatema hela, hizo ni fiksi.
Hayo majoka huwa yanazitengeneza hizo hela tumboni halafu ndo yanazitema?
[emoji1787][emoji1787]