Pompeo Trump
Member
- Jul 14, 2019
- 60
- 54
Aisee Ginimbi ndo basi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nahisi macho yangu yapo tofauti na wenzangu,naona watu wakilalamika marehem ana sura ngumu Mie namuona freshhhhhh kabisa sura ya kiume tuJamaa ana sura ngumu kama matajiri wakinga wa makete
Jamaaa kwa hela hizo alikuwa kitombiiii mnoooo
Wakinga nao hizo skendo za manyoka wanazo sana
ChaiKutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..
Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..
Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Nnacho ona unawaza kisayansi ya kizungu, wkt hii story ina sayansi ya giza utachanganyikiwami mwenyewe pia ninashindwa kuamini, kama hayo majoka yanafyatua (yanatoa) pesa, yanazitoa wapi?
imagine joka moja linakufyatulia bilion 300 unaziingiza kwenye mzunguko
na wengine wakafyatuliwa wakaziingiza kwnye mzunguko wa fedha.. mbona italeta inflation ya hatari sana!
ni sawa na BOT wakafyatua pesa nyingi waziingize kwenye mzunguko
Kauli za watu masikini hizi...Dunia tunapita, play humble 🙄
Wivu tu kwa wakingaJamaa ana sura ngumu kama matajiri wakinga wa makete
We bwana w kama mtu ana gari zaidi ya ishirini ambazo bei zake kwa kila moja sio chini ama zinakaribiana na dola laki nne kwanini asiwe bilionea kuwa na adabu....Hahahaaa.
Ni kweli alikuwa bilionea au neno ‘bilionea’ limekuwa ni metaphor tu ya mtu anayeonekana ana pesa?
Halafu, hilo joka lilikuwa linazitoa wapi hizo pesa?
Hilo joka na lenyewe ni li bilionea?
Hizi stori za majoka na pesa nimeshazisikia sana.
Hazina ukweli wowote. Ila zinachekesha sana.
Benki kuu ZimbabweHilo joka limeajiriwa wapi mpaka linapata pesa za kumpa huyo ginimbi mabilioni 😀
RIP Ginimbi. Huyu Kijana alikuwa mtafutaji na Mpiganaji dhidi ya Umaskini. Alihustle huku na kule na akajaliwa kupata vya haja ya Moyo wake. Akavifurahia na kutuonesha Mafanikio yake. Akavitumia Kwa Raha zake na Wenzie wa Standard yake. Alijua kuvaa akapendeza Nguo na Viatu Kwa Style yake. Jumba la Kifahari. Mmiliki wa Company na Mengineyo ndani ya only 36 years. Alizaliwa 1984 school drop out.Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..
Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..
Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Very trueKauli za watu masikini hizi...
mara hoo! dunia tunapita......!!!
mara hoo hata uwe na hela vp utakufa....
kwani nani hajui hizi reality
tafuteni hela na mle bata kisawa sawa sh.enz type...
manake ukikaa kizembe unaweza kujikuta duniani unapigika......
na motoni unaingia vile vile....
what a loss....
Kumbe nchi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi ni hatari sana?Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..
Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..
Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Utajiri wa ki diamond diamond huuKutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..
Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..
Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027