Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..

Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..

Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Chai
 
mi mwenyewe pia ninashindwa kuamini, kama hayo majoka yanafyatua (yanatoa) pesa, yanazitoa wapi?

imagine joka moja linakufyatulia bilion 300 unaziingiza kwenye mzunguko

na wengine wakafyatuliwa wakaziingiza kwnye mzunguko wa fedha.. mbona italeta inflation ya hatari sana!

ni sawa na BOT wakafyatua pesa nyingi waziingize kwenye mzunguko
Nnacho ona unawaza kisayansi ya kizungu, wkt hii story ina sayansi ya giza utachanganyikiwa
 
Dunia tunapita, play humble 🙄
Kauli za watu masikini hizi...
mara hoo! dunia tunapita......!!!
mara hoo hata uwe na hela vp utakufa....
kwani nani hajui hizi reality
tafuteni hela na mle bata kisawa sawa sh.enz type...
manake ukikaa kizembe unaweza kujikuta duniani unapigika......
na motoni unaingia vile vile....
what a loss....
 
Hahahaaa.

Ni kweli alikuwa bilionea au neno ‘bilionea’ limekuwa ni metaphor tu ya mtu anayeonekana ana pesa?

Halafu, hilo joka lilikuwa linazitoa wapi hizo pesa?

Hilo joka na lenyewe ni li bilionea?

Hizi stori za majoka na pesa nimeshazisikia sana.

Hazina ukweli wowote. Ila zinachekesha sana.
We bwana w kama mtu ana gari zaidi ya ishirini ambazo bei zake kwa kila moja sio chini ama zinakaribiana na dola laki nne kwanini asiwe bilionea kuwa na adabu....
 
Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..

Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..

Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
RIP Ginimbi. Huyu Kijana alikuwa mtafutaji na Mpiganaji dhidi ya Umaskini. Alihustle huku na kule na akajaliwa kupata vya haja ya Moyo wake. Akavifurahia na kutuonesha Mafanikio yake. Akavitumia Kwa Raha zake na Wenzie wa Standard yake. Alijua kuvaa akapendeza Nguo na Viatu Kwa Style yake. Jumba la Kifahari. Mmiliki wa Company na Mengineyo ndani ya only 36 years. Alizaliwa 1984 school drop out.
Utajiri siyo Uchawi wala Majoka bcoz Wachawi nao Wangekuwa Matajiri. Zimbabwe na South Africa kuna Madini ya Almasi ukiwa smart na connection waweza kujihusisha na Business yake ya Halali au panya route ukajipatia Midola ya kutosha. Wenzetu wanatumia fursa na wamefanikiwa not Uchawi. Kafa Kifo cha Hadi yake kama Wengine. Alikuwa anaendesha Gari amelewa na alitoka kustarehe huko Club. Ni kama alivyokufa James Dandu
 
Kauli za watu masikini hizi...
mara hoo! dunia tunapita......!!!
mara hoo hata uwe na hela vp utakufa....
kwani nani hajui hizi reality
tafuteni hela na mle bata kisawa sawa sh.enz type...
manake ukikaa kizembe unaweza kujikuta duniani unapigika......
na motoni unaingia vile vile....
what a loss....
Very true
 
Sasa warumi kama unapenda pesa na unasema tetesi ni kwamba jamaa alikua na joka si uende ukalichukue nawewe uwe billionaire???

Vinginevyo namie naungana na mwamba Nyani Ngabu kwamba hizi ni changamsha genge tu.

Kama joka lilikua lina sababisha ukwasi wote huo inamaana biashara za kusambaza gas ilikua ni hadaa na hiyo pesa inachanganywa na zinazoletwa na joka au hizo ni miamala tofauti?
 
Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..

Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..

Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Kumbe nchi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi ni hatari sana?
 
Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..

Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..

Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Utajiri wa ki diamond diamond huu
 
Back
Top Bottom