Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Masharti yake ya kuzikwa na hela bado yananishangaza na kuniaminisha ule utajiri wake NI Mali za ndagu.
Watu Wana shida wewe unatoa wosia uzikwe na hela zako.
Unadhani kwa mungu kuna maduka ya Gucci?
 
Jamaa ana sura ngumu kama matajiri wakinga wa makete
Mimi nahisi macho yangu yapo tofauti na wenzangu,naona watu wakilalamika marehem ana sura ngumu Mie namuona freshhhhhh kabisa sura ya kiume tu
Mkuu, Joannah halafu mbaya zaidi ni kwamba wanaolalamika wengi ni wanaume.
Ninapoona mwanaume analalamika kisa sura ya mwanaume mwenzie ambaye amafanikiwa kiFedha (multi-millionaire in US dollars), Hapo huwa nashindwa kuelewa, je ni Wivu ama nini?

Vijana tutafute pesa tuache jealous za kipuuzi kwa matajiri. Na utajiri (US$ million) siyo kama ngozi ya mwili kwamba kila mtu atakuwa nao.
 

RIP Ginimbi. Huyu Kijana alikuwa mtafutaji na Mpiganaji dhidi ya Umaskini. Alihustle huku na kule na akajaliwa kupata vya haja ya Moyo wake. Akavifurahia na kutuonesha Mafanikio yake. Akavitumia Kwa Raha zake na Wenzie wa Standard yake. Alijua kuvaa akapendeza Nguo na Viatu Kwa Style yake. Jumba la Kifahari. Mmiliki wa Company na Mengineyo ndani ya only 36 years. Alizaliwa 1984 school drop out.
Utajiri siyo Uchawi wala Majoka bcoz Wachawi nao Wangekuwa Matajiri. Zimbabwe na South Africa kuna Madini ya Almasi ukiwa smart na connection waweza kujihusisha na Business yake ya Halali au panya route ukajipatia Midola ya kutosha. Wenzetu wanatumia fursa na wamefanikiwa not Uchawi. Kafa Kifo cha Hadi yake kama Wengine. Alikuwa anaendesha Gari amelewa na alitoka kustarehe huko Club. Ni kama alivyokufa James Dandu
🙌🏾🙌🏾 you have nailed it!!
 
Hivi kwanini hawa ma young Billionaire/Millionaire wengi wanakufa wakiwa bado vijana sana...?
 
Kutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..

Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..

Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Machangu wa Dar (kina Mobetto, Wema, Tunda, Diva Bawse Lady na wengineo wadangaji) hawajamuona huyu jamaa na kuomba urafiki kabla ya kifo chake?
 
Hivi kwanini hawa ma young Billionaire/Millionaire wengi wanakufa wakiwa bado vijana sana...?
Ukiwa na utajiri fake mwisho wake ni mbaya sana. Subiri tu ushuhudie vijana wa kibongo fleva hapa Bongo uone vifo vyao. Si unakumbuka kuna wengine walikuwa wanaletwa wakiwa maiti toka huko South? Hawa jamaa wana mengi mazito nyuma ya utajiri wao.
 
Ukiwa na utajiri fake mwisho wake ni mbaya sana. Subiri tu ushuhudie vijana wa kibongo fleva hapa Bongo uone vifo vyao. Si unakumbuka kuna wengine walikuwa wanaletwa wakiwa maiti toka huko South? Hawa jamaa wana mengi mazito nyuma ya utajiri wao.
kwa hiyo wataka kusema masikini siye huwa hatufariki tukiwa vijana?
Kumbe kifo kinaangalia umri (ujana) na fedha eeh?
Mkuu, mbona umejaa imani potofu za kiduanzi hivyo.?
Nakuuliza hivi, Je mtu akiwa tajiri ndiyo huwa hastahili kufa akiwa bado kijana??
Acha wivu wa kiduanzi, tafuta hela!!
 
Mimi nahisi macho yangu yapo tofauti na wenzangu,naona watu wakilalamika marehem ana sura ngumu Mie namuona freshhhhhh kabisa sura ya kiume tu

Shoga angu ebu nisaidie , mi wanaume kama ginimbi Ndo wananipa hamu ya kufanya ngono, yan he is manly [emoji817] , very attractive gentleman , Sasa Sijui wanazengo anataka awe na sura kama ya hemed au vip[emoji16]
 
Sasa warumi kama unapenda pesa na unasema tetesi ni kwamba jamaa alikua na joka si uende ukalichukue nawewe uwe billionaire???

Vinginevyo namie naungana na mwamba Nyani Ngabu kwamba hizi ni changamsha genge tu.

Kama joka lilikua lina sababisha ukwasi wote huo inamaana biashara za kusambaza gas ilikua ni hadaa na hiyo pesa inachanganywa na zinazoletwa na joka au hizo ni miamala tofauti?

Nikachukue wapi Sasa mbona unaongea kama tahira, wangekua wanapatikana kirahis wote humu Im sure tungeenda, Tatizo connection

Kuna utajiri mwingine huwez kuufikia bila kuhusisha nguvu za Giza , Kijana mwenyew ukimuangalia tu usoni unajua huyu sio binadam wa kawaida
 
kwa hiyo wataka kusema masikini siye huwa hatufariki tukiwa vijana?
Kumbe kifo kinaangalia umri (ujana) na fedha eeh?
Mkuu, mbona umejaa imani potofu za kiduanzi hivyo.?
Nakuuliza, Hivi mtu akiwa tajiri ndo hastahili kufa akiwa bado kijana??
Acha wivu wa kiduanzi, tafuta hela!!
Hivi una akili wewe? Pole kwa kujichanganya.
 
1605252394000.png
Joka kama la GINIMBI
 
Nikachukue wapi Sasa mbona unaongea kama tahira, wangekua wanapatikana kirahis wote humu Im sure tungeenda, Tatizo connection

Kuna utajiri mwingine huwez kuufikia bila kuhusisha nguvu za Giza , Kijana mwenyew ukimuangalia tu usoni unajua huyu sio binadam wa kawaida

Huyo aliyeachwa anaenda wapi?
 
Hilo joka nitalipataje mkuu na Mimi nifanye Fuji Instagram
 
Mbona ginimbi handsome tu Jaman , halafu ana sura ya kiume, au mlitaka awe na sura kama nuhu mziwanda au richmitindo, mi wanaume kama hawa ndo wananilowesha chupi sio weupe watoto wa mama[emoji23][emoji23]
Mbona unataka kuamsha midude
 
Back
Top Bottom