donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Huu nimeuskiaKama haujui sema haujui..
Kuna mpaka utajri wa funza wanabadilika wanakuwa hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu nimeuskiaKama haujui sema haujui..
Kuna mpaka utajri wa funza wanabadilika wanakuwa hela.
Huu nimeuskia
Nisawasawa na watu wanavyo wasema wakinga ila hawajui wanakotoka wamewekeza kwenye misitu ile mbayaRIP Ginimbi. Huyu Kijana alikuwa mtafutaji na Mpiganaji dhidi ya Umaskini. Alihustle huku na kule na akajaliwa kupata vya haja ya Moyo wake. Akavifurahia na kutuonesha Mafanikio yake. Akavitumia Kwa Raha zake na Wenzie wa Standard yake. Alijua kuvaa akapendeza Nguo na Viatu Kwa Style yake. Jumba la Kifahari. Mmiliki wa Company na Mengineyo ndani ya only 36 years. Alizaliwa 1984 school drop out.
Utajiri siyo Uchawi wala Majoka bcoz Wachawi nao Wangekuwa Matajiri. Zimbabwe na South Africa kuna Madini ya Almasi ukiwa smart na connection waweza kujihusisha na Business yake ya Halali au panya route ukajipatia Midola ya kutosha. Wenzetu wanatumia fursa na wamefanikiwa not Uchawi. Kafa Kifo cha Hadi yake kama Wengine. Alikuwa anaendesha Gari amelewa na alitoka kustarehe huko Club. Ni kama alivyokufa James Dandu
HeeeehKuna mwingine tajiri anaingiliwa na jini kila ijumaa.hata Kama ni mwanaume .
Fala Tu huyu mwamba hana lolote , amekufa kipimbi Sana , naskia hata mama yake alimshusha ahera kizembe zembe Sana , haya walimwengu wamemsifu , amepata nin asa ....mara magar yake yanaungua Tu Moto sa hv randomly ...aaaah kifo kwel kitatukuta wote lakn cha kujihakikishia hv Mimi hamna ,....Yasemekana washikaji zake alikuwa akikutana nao ktk hii waloiita WHITE PARTY ambayo waliifanya Mara kwa Mara na haijulikani ilikuwa inawakilisha nini!View attachment 1626439
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu comment yako imenibariki sanaRIP Ginimbi. Huyu Kijana alikuwa mtafutaji na Mpiganaji dhidi ya Umaskini. Alihustle huku na kule na akajaliwa kupata vya haja ya Moyo wake. Akavifurahia na kutuonesha Mafanikio yake. Akavitumia Kwa Raha zake na Wenzie wa Standard yake. Alijua kuvaa akapendeza Nguo na Viatu Kwa Style yake. Jumba la Kifahari. Mmiliki wa Company na Mengineyo ndani ya only 36 years. Alizaliwa 1984 school drop out.
Utajiri siyo Uchawi wala Majoka bcoz Wachawi nao Wangekuwa Matajiri. Zimbabwe na South Africa kuna Madini ya Almasi ukiwa smart na connection waweza kujihusisha na Business yake ya Halali au panya route ukajipatia Midola ya kutosha. Wenzetu wanatumia fursa na wamefanikiwa not Uchawi. Kafa Kifo cha Hadi yake kama Wengine. Alikuwa anaendesha Gari amelewa na alitoka kustarehe huko Club. Ni kama alivyokufa James Dandu
Count on me Mkuu 😂Hilo joka kwa sasa lipo wapi?
Tunaweza kupata picha ya hilo joka, hasa wakati likimpa pesa?!
Halafu kama kuna uwezekano wa kulipata, ninalihitaji nina kazi nalo...
UmenibarikiWanasema pesa,nyumba na magari vinapita.
Ila Mimi nasema hakikisha vinapitia kwako
Kama alivyokuwa anasema mwenyewe ukiwa Maskini nobody asks or finds why you are Poor. Ukitajirika tuuu kila mtu atataka kujua Source ya Utajiri Wako. Mara Freemason oh pesa za kafara oh pesa za Majoka ohho pesa za Majini. Ifike mahali tufurahie Mafanikio ya Wenzetu Kwa kuappreciate Juhudi zao na mahangaiko.Nisawasawa na watu wanavyo wasema wakinga ila hawajui wanakotoka wamewekeza kwenye misitu ile mbaya
Kuna mwingine tajiri anaingiliwa na jini kila ijumaa.hata Kama ni mwanaume .
Afrika kila utajiri lazima atajwe shetani nyuma yakeKutokana na kifo cha utata cha mfanyabiashara Billionare kutoka pande za Zimbabwe, Genius ginimbi, Habari za chini ya Kapeti zinadai, Tajiri huyo alikua anafuga joka kubwa sana nyumbani kwake, ambalo Ndilo lililokua likimpatia pesa za kutosha, ambapo Ginimbi alikua akibadilishana nae kwa Damu za binadamu..
Either rafiki wa Karibu na ginimbi anasema . Haina haja ya kupekua kuwa marehemu alikua anafanya biashara gani kama wangetaka ukweli wangemuuliza wakati yupo hai na si sasa wakati amefariki..
Either ginimbi atazikwa jumamosi hii na maburungutu ya dollars za kutosha kwenye kaburi lake View attachment 1625023
View attachment 1625024
View attachment 1625025
View attachment 1625027
Mkuu hyo mitego nishapita ndug , nothing new kwangu hapo , but it is the https://jamii.app/JFUserGuide-ing shit to do so....!!Uuze nafsi yako kwa shetani au usiuze kifo ni lazima, ukishakua mkubwa na kukomaa kiakili utaelewa nini maana ya maisha na utaacha kuhukumu wengine
Mkuu hyo mitego nishapita ndug , nothing new kwangu hapo , but it is the ****-ing shit to do so....!!
Hayo ni maneno.. hakuna hela ya uchawi.. jamaa alikuwa ni mjasiriamali mpambanajiView attachment 1625042
Utaweza kukaa nalo binamu? Msidhan pesa zinapatikana kirahis[emoji23][emoji23][emoji23]
UmeshasemaNilitaka kusema kafanana na Fred vunja bei