Kifo cha hayati Magufuli kilikuwa cha kujitakia?

Kifo cha hayati Magufuli kilikuwa cha kujitakia?

Tunaambiwa Hayati Magufuli alikuwa na tatizo la moyo,na tunafahamu kila ugonjwa una Masharti yake,sidhani kama mgonjwa wa moyo anatakiwa kubehave kama alivyobehave Hayati Magufuli.

Ningekuwa mimi baada ya kuchuma pesa za kuwa waziri kwa miaka yote zaidi ya ishirini
ningeachana na siasa nikaishi maisha ya wastaafu yasiyo na stress

Au ningekaimisha madaraka ya urais kwa wasaidizi wangu wakuu nikiwa zangu Chato na remote tu,kazi yangu ingekuwa ni kutumbua na kuteua nikiwa kwenye swimming pool.

Sasa kwa ugonjwa ule kutaka kuwa one man show mwisho wake lazima ufe tu maana nchi hii ina wahuni wengi sana

Kuna siku alikuwa anahutubia akawa anaeleza uozo wa taasisi fulani yaani unamuona amepatwa na hasira mpaka kuhema anahemea juu juu.

Narudia nchi ina wahuni hii hawachelewi kukuua kwa presha
MZEE ALIKUWA ANAPENDA MADARAKA AFYA YAKE ALIIJUA TOKA MIAKA YA 1998 LAKINI TAMAA YA MADARAKA
 
Acha kabisa. Halafu kuna vichaa 2020, baada ya wizi wa kura, walikua wanapiga kelele "Mzalendo, Jiwe, Aongezewe Muda, Kiongozi wa Malaika, Aongozewe Muda". Basi kila akisifiwa ndio akawa anazidisha aisee. Sheenz Kabisa!

Wakawa wanajitoa ufahamu jinsi raia walivokua wanaingiliwa mpaka uhuru wao wa kufanya starehe na maisha yao. Mara baa na kumbi za starehe (Hata kama kumbi za harusi) mwisho saa 6, mara mitandao ya kijamii ifungwe, mara internet ishushwe 2G, mara bando zipandishwe mara mbili bei n.k

Yaani raia tulikua tunapelekwa kama watoto wa chekechea! Amani ya moyo ilitoweka, mtu hujui kesho yako utaishia kolokoloni mahabusu au utakula ya uhujumu uchumi!
Acheni kupoteza muda bure. Hakuna mtu anayeweza KUFA (natural au non natural kama msemavyo) kama Mungu ajaweka SAINI yake. Huyu muzee aliuwawa na Mungu mwenyewe baada ya kuji equate na Mungu na kumbukeni Mungu ni Mungu mwenye wivu ambaye hashei utukufu wake na mwanadamu yeyote. Waliosaidia kumruhusu Mungu kumwondoa ni yule babu Propesa aliyeleta dawa feki ya Korona; yule Shehe wa Town; na yule Kenge wa Mwibara; na wengine wote waliomfananisha na Mungu. Alipofananishwa alipaswa kuwakemea yeye akakaa kimya; maanake alijitwalia utukufu wa BWANA. Period!
 
Tunaambiwa Hayati Magufuli alikuwa na tatizo la moyo,na tunafahamu kila ugonjwa una Masharti yake,sidhani kama mgonjwa wa moyo anatakiwa kubehave kama alivyobehave Hayati Magufuli.

Ningekuwa mimi baada ya kuchuma pesa za kuwa waziri kwa miaka yote zaidi ya ishirini
ningeachana na siasa nikaishi maisha ya wastaafu yasiyo na stress

Au ningekaimisha madaraka ya urais kwa wasaidizi wangu wakuu nikiwa zangu Chato na remote tu,kazi yangu ingekuwa ni kutumbua na kuteua nikiwa kwenye swimming pool.

Sasa kwa ugonjwa ule kutaka kuwa one man show mwisho wake lazima ufe tu maana nchi hii ina wahuni wengi sana

Kuna siku alikuwa anahutubia akawa anaeleza uozo wa taasisi fulani yaani unamuona amepatwa na hasira mpaka kuhema anahemea juu juu.

Narudia nchi ina wahuni hii hawachelewi kukuua kwa presha
Hahaha
 
Baada ya kuona ana justify afya yake kwa kupiga pushap wakati wa kampeni nikajua 10 hatoboi.
Aendelee kupumzika panapomstahili kulingana na matemdo yake.
 
Tunaambiwa Hayati Magufuli alikuwa na tatizo la moyo,na tunafahamu kila ugonjwa una Masharti yake,sidhani kama mgonjwa wa moyo anatakiwa kubehave kama alivyobehave Hayati Magufuli.

Ningekuwa mimi baada ya kuchuma pesa za kuwa waziri kwa miaka yote zaidi ya ishirini
ningeachana na siasa nikaishi maisha ya wastaafu yasiyo na stress

Au ningekaimisha madaraka ya urais kwa wasaidizi wangu wakuu nikiwa zangu Chato na remote tu,kazi yangu ingekuwa ni kutumbua na kuteua nikiwa kwenye swimming pool.

Sasa kwa ugonjwa ule kutaka kuwa one man show mwisho wake lazima ufe tu maana nchi hii ina wahuni wengi sana

Kuna siku alikuwa anahutubia akawa anaeleza uozo wa taasisi fulani yaani unamuona amepatwa na hasira mpaka kuhema anahemea juu juu.

Narudia nchi ina wahuni hii hawachelewi kukuua kwa presha
Asilimia zaidi ya tisini ya watu waliokufa kwa Corona ni waliokuwa na haya magonjwa yasiyoambukiza kama vile magonjwa ya moyo, kisukari, pumu nk. sasa yeye alijijua ana tatizo la moyo hala fu akailetea dharau corona ikamfyekelea mbali.
 
Ukimuona mtu anaumia sana kuona watu masikini wanapata taabu na shida ilihali yeye ni mtu mkubwa ujue huyo mtu ni wa Mungu !

Maana watu wakubwa na wenye uwezo ni sawa na Ndege wafananao huruka pamoja 😳🙄 !

Au nasema uongo ndugu zanguni ???!!! 😅😂🤦🏽‍♂️
 
Mtawala mbovu kuwahi kutokea
watu walishazoea uovu ghafla tu uwazuie,watatafutia Kila njia ili upishe,baada ya kubana akajenga Dom,reli,stigira,hospitali Kila Kanda,Kila wilaya,masoko,huko nyuma tuliambiwa uchumi hauruhusu,RIP Mwamba umeipeleka nchi hii hatua kubwa sana Kwa muda mfupi sana,kama nchi tumedhulmika sana.
 
Back
Top Bottom