Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hatari snwatu walishazoea uovu ghafla tu uwazuie,watatafutia Kila njia ili upishe,baada ya kubana akajenga Dom,reli,stigira,hospitali Kila Kanda,Kila wilaya,masoko,huko nyuma tuliambiwa uchumi hauruhusu,RIP Mwamba umeipeleka nchi hii hatua kubwa sana Kwa muda mfupi sana,kama nchi tumedhulmika sana.