Kifo cha hayati Magufuli kilikuwa cha kujitakia?

MZEE ALIKUWA ANAPENDA MADARAKA AFYA YAKE ALIIJUA TOKA MIAKA YA 1998 LAKINI TAMAA YA MADARAKA
 
Acheni kupoteza muda bure. Hakuna mtu anayeweza KUFA (natural au non natural kama msemavyo) kama Mungu ajaweka SAINI yake. Huyu muzee aliuwawa na Mungu mwenyewe baada ya kuji equate na Mungu na kumbukeni Mungu ni Mungu mwenye wivu ambaye hashei utukufu wake na mwanadamu yeyote. Waliosaidia kumruhusu Mungu kumwondoa ni yule babu Propesa aliyeleta dawa feki ya Korona; yule Shehe wa Town; na yule Kenge wa Mwibara; na wengine wote waliomfananisha na Mungu. Alipofananishwa alipaswa kuwakemea yeye akakaa kimya; maanake alijitwalia utukufu wa BWANA. Period!
 
Hahaha
 
Baada ya kuona ana justify afya yake kwa kupiga pushap wakati wa kampeni nikajua 10 hatoboi.
Aendelee kupumzika panapomstahili kulingana na matemdo yake.
 
Asilimia zaidi ya tisini ya watu waliokufa kwa Corona ni waliokuwa na haya magonjwa yasiyoambukiza kama vile magonjwa ya moyo, kisukari, pumu nk. sasa yeye alijijua ana tatizo la moyo hala fu akailetea dharau corona ikamfyekelea mbali.
 
Ukimuona mtu anaumia sana kuona watu masikini wanapata taabu na shida ilihali yeye ni mtu mkubwa ujue huyo mtu ni wa Mungu !

Maana watu wakubwa na wenye uwezo ni sawa na Ndege wafananao huruka pamoja πŸ˜³πŸ™„ !

Au nasema uongo ndugu zanguni ???!!! πŸ˜…πŸ˜‚πŸ€¦πŸ½β€β™‚οΈ
 
Mtawala mbovu kuwahi kutokea
watu walishazoea uovu ghafla tu uwazuie,watatafutia Kila njia ili upishe,baada ya kubana akajenga Dom,reli,stigira,hospitali Kila Kanda,Kila wilaya,masoko,huko nyuma tuliambiwa uchumi hauruhusu,RIP Mwamba umeipeleka nchi hii hatua kubwa sana Kwa muda mfupi sana,kama nchi tumedhulmika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…