Kifo cha hayati Magufuli kilikuwa cha kujitakia?

Hatari sn
 
Wakati mwingine najiuliza kama inawezekana kuzima heart pacemaker (betri ya moyo) kwa kutumia remote device.
Ukiwekewa kifaa hiki busara ni kupumzika na kuishi bila misongo.
 
Na yeye alikuwa miongoni mwa wahuni wa nchi hii pia.

Mungu kaamua ugovi.
 
Wakati mwingine najiuliza kama inawezekana kuzima heart pacemaker (betri ya moyo) kwa kutumia remote device.
Ukiwekewa kifaa hiki busara ni kupumzika na kuishi bila misongo.
Kama Israel wameweza kulipua watu kutumia simu zao za mkononi,pager,hakuna kinachoshindikana
 
🤣🤣
 
Watu wameongea sana huku kuhusu tabia za hovyo na kikatili kuhusu yule mzee.

Leo matendo yake ya kuuwa watu kwa mikono yake yanaanza kusemwa watu wanatoka mapovu humu. Kweli ujinga kipaji kwa Watanzania
 
Watu wameongea sana huku kuhusu tabia za hovyo na kikatili kuhusu yule mzee.

Leo matendo yake ya kuuwa watu kwa mikono yake yanaanza kusemwa watu wanatoka mapovu humu. Kweli ujinga kipaji kwa Watanzania
Wanaotoka mapovu watuonyeshe alipo Ben
 
Kuna habari kwamba Magufuli aliamua kuacha siasa na kurudi Chato kustaafu, ila figisu za kambi za CCM zilipokosa usuluhishi, wengine wakamwaga ugali, wengine wakamwaga mboga, Magufuli akafuatwa na kuombwa agombee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…