Kifo cha Hayati Magufuli kilivyosababisha Stevev Makigo bosi wa Mayanga Construction azimie mara tatu

Kifo cha Hayati Magufuli kilivyosababisha Stevev Makigo bosi wa Mayanga Construction azimie mara tatu

SAWA.
Ila picha iliyojengeka kuhusu ule uwanja, ilinipa makisio ya juu zaidi kuliko hiyo bilioni 53 unayoeleza hapa.
Kuhusu jengo ule uwanja hauna jengo la maana ni kajumba tu ka kawaida sana,to my suprise wakakaita mfugale tower wakati sio ghorofa
Uwanja kuwa international wanaangalia urefu wa running way kama unakidhi ndege kubwa na pia kuwa na facilities za kupokea ndege toka nje ya nchi moja kwa moja,Chato hata Bidden ndege yake inatua,
 
Labda ndogo ndogo kwenye halmashauri,kumwaga molam barabarani na kuziba viraka vya lami iliyoharibika
Kuna la kujadili hapa.
Kama kampuni haikuwa inajihusisha na makosa, kwa nini isipewe tenda kama uwezo/ufundi inao?

Hii ni kampuni ya kiTanzania, inaajiri waTanzania. Inatakiwa kujengewa uwezo zaidi.

Yasije yakawa yale yale ya kivuko cha Magogoni kupewa tenda kampuni ya nje na kuwaacha Songoro kwenye mataa bila ya sababu zinazoeleweka.
 
Billion 53 pesa za walipa kodi ni pesa kidogo?!
Duh!

Wewe bhwanah ni msimulizi mzuri sana wa stori. Ninakushauri uendeleze kipaji hicho, na uwe mwandishi na mtunzi mzuri wa vitabu.

Hapana, sihoji usahihi au la, wa stori yako hapa, bali nimevutiwa na uwasilishaji wake.

Hata hivyo, kama takwimu zako ni sahihi, kwamba ule uwanja wa ndege ni Tsh. bilioni 53, basi kumbe haikuwa hela ndefu sana; hata kama matumizi yake hayakufuata taratibu. Binafsi nilidhani ni pesa kubwa sana kutokana na sifa ya uwanja wenyewe ulivyokuwa ukielezewa humu JF na kwingineko.

Pole zake Steve, lakini stori ingenoga zaidi ungetoa mrejesho wa hali yake ilivyo sasa hivi.
Au pengine hiyo ni sura inayofuata katika kitabu chako?
 
Kuhusu jengo ule uwanja hauna jengo la maana ni kajumba tu ka kawaida sana,to my suprise wakakaita mfugale tower wakati sio ghorofa
Uwanja kuwa international wanaangalia urefu wa running way kama unakidhi ndege kubwa na pia kuwa na facilities za kupokea ndege toka nje ya nchi moja kwa moja,Chato hata Bidden ndege yake inatua,
Hakuna uwiano kabisa katika haya mawili unayoyasema hapa.
Kama 'runway' inakidhi kiwango cha ndege kubwa kutua; halafu pasiwepo na 'adequate' "facilities" za kuhudumia hayo mandege makubwa; maana ya kujenga 'runway' hiyo ipo wapi sasa?
 
Hakuna uwiano kabisa katika haya mawili unayoyasema hapa.
Kama 'runway' inakidhi kiwango cha ndege kubwa kutua; halafu pasiwepo na 'adequate' "facilities" za kuhudumia hayo mandege makubwa; maana ya kujenga 'runway' hiyo ipo wapi sasa?
Facilities sio jengo tu,facilities zipo
 
Binafsi nimemshanga kuona bulion 53 siyo kitu mm tu milion 500 Ni pesa nyingi mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unatumia akili ya kijijini ndiyo maana.
Huna picha ya kukuwezesha kujenga uwiano na kitu kinachozungumziwa hapa; uwanja wa ndege wa kimataifa.
Ninaelewa sana kwamba maelezo haya bado yatakupa shida kuyaelewa.
 
Picha gani ilijengeka kuhusu huo uwanja zaidi ya kwamba ulijengwa kama Gbadolite tu bila kuwa na manufaa yoyote ya kiuchumi?!
Usipoteze 'context'; picha iliyojengeka kuhusu uwanja huo.
Hata Tsh 1000 ya kodi za wananchi ni pesa kubwa sana kuchezewa.
 
Kuna mzee mmoja alikuwa na nyumba mbovumbovu mitaa ya kariakoo mtaa wa Congo mkabala na ilipokuwa Club ya Nyota Nyekundu,tuliozaliwa mjini miaka hiyo tunapaelewa.

Yule mzee majirani zake waliuza vile viwanja kwa mamilioni kadhaa cha chini ilikuwa bilioni moja
Ghafla afya ya yule mzee ikaanza kutetereka ,watoto wakaona hapa ndio muda wa kutajirika ,wakawa hawamuhudumii na wanamoaushauri mbovu ili afe wauze wagawane hela.

Yule mzee akawastukia kile kiwanja akakitoa wakfu kwa Bakwata,kwamba akifa ile ni mali ya waislam sio yao,muda si muda akakata kamba.watoto hawakuambulua kitu.leo kuna ghorofa la mwekezaji akiwa na ubia na Bakwata

Steve Makigo boss wa Mayanga Construction alipewa tenda ya kujenga uwanja wa Chato kwa mabilioni ya shilingi.bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa bilioni 18 ila npaka unakamilika zilitumika bilioni 53

Makigo alikuwa best wa Hayati tangu Secondary ,walisoma pamoja na kuna kaundugu kakaibuka hapo baada ya mmoja kuoa kwenye ukoo wa mwenzake.

Siku chache kabla ya hayati kuitwa alitoa maagizo kuwakiasi cha bilioni kadhaa zihamishwe kutoka akaunti ya Mayanga Construction kwa kazi maalumu na zingerudishwa soon.zilihamishiwa kwenye akaunti fulani sitaitaja leo

Kabla hela hazijarudishwa simu ya mheshimiwa kwa wiki mbili haipatikani hakukuwa na mawasiluani ya Steve na John.
Punde taharifa radmi kuwa John hayupo.
Kilichofuata ni Steve kuzimia kuzinduka,kuzimia kuzinduka,mara tatu.

Sasa najiuliza kuzimia huko ni upendo wa dhati aliokuwa nao Steve kwa John au ni kuwaza zile bilioni kadhaa zilizohamishwa toka Mayanga Construction.
Mmmh
Naona kama kulikuwa na mchezo wa back to back uliotekelezwa kiustadi na watu kaliba ya Bashite to GSM
 
Kuna mzee mmoja alikuwa na nyumba mbovumbovu mitaa ya kariakoo mtaa wa Congo mkabala na ilipokuwa Club ya Nyota Nyekundu,tuliozaliwa mjini miaka hiyo tunapaelewa.

Yule mzee majirani zake waliuza vile viwanja kwa mamilioni kadhaa cha chini ilikuwa bilioni moja
Ghafla afya ya yule mzee ikaanza kutetereka ,watoto wakaona hapa ndio muda wa kutajirika ,wakawa hawamuhudumii na wanamoaushauri mbovu ili afe wauze wagawane hela.

Yule mzee akawastukia kile kiwanja akakitoa wakfu kwa Bakwata,kwamba akifa ile ni mali ya waislam sio yao,muda si muda akakata kamba.watoto hawakuambulua kitu.leo kuna ghorofa la mwekezaji akiwa na ubia na Bakwata

Steve Makigo boss wa Mayanga Construction alipewa tenda ya kujenga uwanja wa Chato kwa mabilioni ya shilingi.bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa bilioni 18 ila npaka unakamilika zilitumika bilioni 53

Makigo alikuwa best wa Hayati tangu Secondary ,walisoma pamoja na kuna kaundugu kakaibuka hapo baada ya mmoja kuoa kwenye ukoo wa mwenzake.

Siku chache kabla ya hayati kuitwa alitoa maagizo kuwakiasi cha bilioni kadhaa zihamishwe kutoka akaunti ya Mayanga Construction kwa kazi maalumu na zingerudishwa soon.zilihamishiwa kwenye akaunti fulani sitaitaja leo

Kabla hela hazijarudishwa simu ya mheshimiwa kwa wiki mbili haipatikani hakukuwa na mawasiluani ya Steve na John.
Punde taharifa radmi kuwa John hayupo.
Kilichofuata ni Steve kuzimia kuzinduka,kuzimia kuzinduka,mara tatu.

Sasa najiuliza kuzimia huko ni upendo wa dhati aliokuwa nao Steve kwa John au ni kuwaza zile bilioni kadhaa zilizohamishwa toka Mayanga Construction.
Maweee!

Makonda yeye anagombania viwanja, alipewa hati za viwanja vya kudhulumu azitunze. Majuzi alitifuana na GSM
 
Hakuna uwiano kabisa katika haya mawili unayoyasema hapa.
Kama 'runway' inakidhi kiwango cha ndege kubwa kutua; halafu pasiwepo na 'adequate' "facilities" za kuhudumia hayo mandege makubwa; maana ya kujenga 'runway' hiyo ipo wapi sasa?
Ule uwanja ulikua na kazi moja tu,, kumrudisha boss home bila kupita mwanza airport, hasa awapo na mizigo isiyotaka masuali mengi.. (money)😁😁
 
Kuna la kujadili hapa.
Kama kampuni haikuwa inajihusisha na makosa, kwa nini isipewe tenda kama uwezo/ufundi inao?

Hii ni kampuni ya kiTanzania, inaajiri waTanzania. Inatakiwa kujengewa uwezo zaidi.

Yasije yakawa yale yale ya kivuko cha Magogoni kupewa tenda kampuni ya nje na kuwaacha Songoro kwenye mataa bila ya sababu zinazoeleweka.
Awamu iliyopo sasa kuna watendaji walafi sana wa mali za umma na ili wafanikiwe lazima wajifiche kwenye makampuni ya kigeni wasijulikane mapema ila ikiondoka kwanza sheria ya kinga itaondolewa na aliyebariki ndiye atakaangwa kama ngisi
 
Back
Top Bottom