QUOTE=Mchapaji;Walianza kwa kufunga ofisi zao za Kampala, wakaja za Nairobi then wakahamia za TZ huko Dodoma, Morogoro na Mbeya juzi juzi na final Zambia.
Wale wa Dodoma wanadai kampuni imeuzwa na mnunuzi ana mpango wa kubadili jina...
Ofisi zimefungwa kwa matumizi ya Scandinavia Express,hazijauzwa bali zimekodishwa kwa kampuni nyingine. Dar zinatumiwa na kampuni ya Green Star Express, Dodoma zinatumiwa na Al Saedy Express,Iringa zinatumiwa na Sumry. Morogoro na Arusha zimefungwa tu. Lakini izo zote zinazotumiwa na kampuni zingine pamoja na zilizofungwa,bado zimeandikwa jina la Scandinavia Express!