Mazingira
JF-Expert Member
- May 31, 2009
- 1,833
- 301
Mkuu,
makampuni mengi ya Mabasi hayana maisha marefu. Nikiwa Moshi nakumbuka kulikuwa na Makampuni yalivuma kama Lang'ata, Ngorika, Yellow, TAMT nk. Lakini yote sasa hivi Kwishnei.
Wafanyabiashara karibu wote wa mabasi huendeka sana ushirikina. Na ushirikina huo huambatana na masharti ya hali ya juu ya kishetani. Kwahiyo huwa si rahisi kuya-maintain na kisha hufilisika kwani ibilisi anachukua chake.