Kifo cha Lowassa kuombolezwa kwa Siku 5 kuanzia leo

mwendo umeumaliza mzee wetu pumzika kwa amani sasa, Mungu amekuchukua kwa wakati ulio sahihi kwake, nakumbuka ulivodhihakiwa.
 
Anastahili sana.
Kuanzia leo naomboleza kwa kumuweka kwenye maombi maalum.apumzike kwa amani.
 
Hatutaenda kazini au?
 
Hawakujua dunia mapito walipolimbikiza Mali za wizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…