Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo tarehe ni siku ya furaha kuu kwa watanzania baada ya Mungu kumpotezea kwa mbali aliyejiona kama MunguMtu kutoka ChatoTarehe 17.03.2021 ilipotangazwa kifo cha Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Watanzania walipata hasara ya karne ambayo haiwezi kufidiwa,
Katikati ya mjadala mkubwa wa bandari za Tanganyika kuuzwa kwa Waarabu,malalamiko ya Wananchi lakini ndio kwanza tunaonyeshwa ndege ya Rais inatua Dubai na baadae kupelekea Saudi Arabia lakini tunaambiwa kila Weekend Rais uwa anakwenda Dubai yaani anafanya safari huko huko kwa tunaowalalamikia,Rais wetu hatujali kabisa. Hana uzalendo wala uchungu wa lolote lile.
Kwa Sasa wananchi was Hali ya chini kuna mateso makubwa, mlo ni mara mbili Kwa wiki.
Baada ya kushindwa kuwaongezea maslahi watumishi hata shilling mtaani imekauka
Endeleeni tu na maombolezo yenu lkn sie twamshukuru sana Muumba wetu mwema kwa kutuondoshea balaa lileNi hasara mno, miaka itaenda, watapita watawala wengi lakini trh 17.3.2021 itabaki kuwa hasara kwa ukombozi wa pili wa Tanzania baada ya ukombozi wa mwalimu Nyerere
Lilikuwa shetani hatari sana lileMagufoool hakuongeza mshahara wala kupandisha madaraja miaka sita, bora aliuliwa kabla ya kuleta maafa makubwa.
Lilikuwa shetani hatari sana lile
Mtu yoyote akifa ni hasara ambayo haiwezi kufidiwa, ila kila mtu lazima afe, siku yake ikifika.Tarehe 17.03.2021 ilipotangazwa kifo cha Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Watanzania walipata hasara ya karne ambayo haiwezi kufidiwa,
Huu ni udaku na umbea!Katikati ya mjadala mkubwa wa bandari za Tanganyika kuuzwa kwa Waarabu,malalamiko ya Wananchi lakini ndio kwanza tunaonyeshwa ndege ya Rais inatua Dubai na baadae kupelekea Saudi Arabia lakini tunaambiwa kila Weekend Rais uwa anakwenda Dubai yaani anafanya safari huko huko kwa tunaowalalamikia,Rais wetu hatujali kabisa. Hana uzalendo wala uchungu wa lolote lile.
Kufa kwa mtu sio hasara ni faida maana ndiyo sheria ya kila kiumbe.Uzalendo ni nini?Na wale mnaosema wazalendo uzalendo wao ukowapi?Tarehe 17.03.2021 ilipotangazwa kifo cha Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Watanzania walipata hasara ya karne ambayo haiwezi kufidiwa,
Katikati ya mjadala mkubwa wa bandari za Tanganyika kuuzwa kwa Waarabu,malalamiko ya Wananchi lakini ndio kwanza tunaonyeshwa ndege ya Rais inatua Dubai na baadae kupelekea Saudi Arabia lakini tunaambiwa kila Weekend Rais uwa anakwenda Dubai yaani anafanya safari huko huko kwa tunaowalalamikia,Rais wetu hatujali kabisa. Hana uzalendo wala uchungu wa lolote lile.
"Mtanikumbuka"Wazee wa MIGA😅😅😅
Wewe ni mfuasi wa siasa za Chato acha uongoMimi hapa ninajuta. Nilifurahia kwakweli, lakini siyo kwa haya madudu yanayoendelea
Huo ukatili wake ndio unao mpa sifa mpk leo.Dikteta alikuwa vizuri tatizo lake ilikuwa ni ule ukatili wake