mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh 🙄 !Bora umekiri aliuliwa maana kifo chake kiliibua sintofahamu kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh 🙄 !Bora umekiri aliuliwa maana kifo chake kiliibua sintofahamu kubwa.
Dikteta alikuwa vizuri tatizo lake ilikuwa ni ule ukatili wake
Dikteta ndo alifuta mikataba ya kampuni za madini kipuuzi sasa hivi tunalipishwa mabilioni na mahakama. Yeye na Profesa mpuuzi Mruma walitudanganya tunaidai Barric trilioni 495.. alitumia mabilioni ya Tsh kujijengea Airport kijijini kwake. Hata stendi ya Magufuli ilivyojengwa kibabe ni suala la muda tu itahamishwa tena.
Samia is far better than all, except mwalimu Nyerere.
Ubaya zaidi ni kutokana na uwezo waliopewa JWTZ kutetea yeyote alie madarakani haijalishi upstairs yupoje.
Nakuunga mkono 100%Tanzania ilipata uhuru wa pili tarehe 17/ 03/ 21 baada ya kifo cha Dikteta dhalimu John Pombe Magufuli
Yule mashamba alitaka kushindana na watoto wa mjini ila wakamtanguliza sasa analiwa na wadudu.
Mambo ya rimotiHasara zaidi ni sa100 kuwa rais wa Tz, hana mamlaka kabisa kama rais...kuna genge limemzidi maarifa ambapo chini ya Jiwe kamwe isingewezekana!!.
Mpumbavu wewe., kaa kimya.Dikteta alikuwa vizuri tatizo lake ilikuwa ni ule ukatili wake
Matusi ya niniLabda kauza matttakoo yako
MumeoMpumbavu wewe., kaa kimya.
Shida inakuja alikuwa hataki challenge yoyote ukijaribu kifo kinakufuata chapKwa tulipofikia ilikuwa ni lazima iwe hivyo
Kuna madikteta kama Japan China Urusi etc etc Korea
But see wananchi wanaishi kwa hali nzuri
Kwa sasa balance ya masikini na matajiri gap ni kubwa
Na huo ndio ukweli wenyewe!!JPM was sick day one . He had natural death ….. acheni kutembelea huo upepo eti mmemuondoa; hakuna kima yoyote aliye involve
kifo cha JPM , mnajipa umwamba sana eti watoto wa mjini mmemuondoa na story za kutunga tunga.
JPM Alikuwa Ana shida ya moyo zamani snaa na ameshazimia zimia sana tangu yupo UD.
Majukumu ya urais na stress za kuondoa mafisadi ndio zili ongeza ugonjwa , moyo wake haukutakiwa kabisa kuongezeka kwa pressure
Huwa nawashangaa mnaoaminishwa eti baadhi ya watu wamehusika na kifo cha JPM. Huo ni uzushi ambao wahuni wanatembea nao :
Tunajua wote wanaotembelea huo upepo walishaondolewa kwenye ramani
Sote tunajua JPM had pacemaker artificially, na hata kwenye misafara yake tangu siku ya kwanza kulikuwa na ambulance special for his emergency, na hata kwa afya yake JPM
hakutakiwa kuwa anapanda ndege mara kwa mara kwa hili effect ya pressure na height as you go high, ndio manaa JPM alikuwa anatumia sana road , wengi walidhan anapunguza matumizi, it is recommendation kwasababu pressure variation na irregularities za pacemaker. Pressure ikiwa ina vary sna , inastop kufanya kazi.
Yaani watz ni Rahisi snaa kuwa manipulated
Sijui dark days , eti Born town , sijui PAKA na upuuzi mwingine, story za kutunga na mind game tu
Hakuna mwenye ujanja wa kuua rais kwa TZ , ukianza hizo movie hautofika mwisho anyway
Hata jeshi hawana huo ujanja
.Sio rahis. Mifumo ya TZ imeundwa kwa
Utii na nidham ya hali ya juu…. Hufik mbali umeshataitishwa
JPM siku zake zilifika sema wahuni wakaona huu ndio upepo wa kutia watu jamba jamba
Wanasiasa wa TZ wengi ni academia failures waliounga unga. Ni waongo , malaghai na wezi