Kifo cha Magufuli, Tanzania ilipata hasara ya karne moja, maumivu yake yatawafikia hata walioshangilia

Dikteta alikuwa vizuri tatizo lake ilikuwa ni ule ukatili wake
Unafikiri bila ukatili angeweza kuyafanikisha yote aliyoyaanzisha?
Fikiria swala la watumishi hewa tumeishi nalo kwa miaka nenda rudi inamaana watangulizi wake hawakulijua.
Kiongozi legelege huzalisha Taifa legelege na hapo ndipo wananchi hubaki wakiogelea kwenye dimbwi la ufukara huku wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa wakitajirika.
Mimi nilishawahi kuambatana na Mh Hamfrey Polepole kipindi ni mkuu wa wilaya kibamba kwenda kwenye taasisi moja ya selikali kudai mafao ya mzazi wangu na kufanikiwa kuyapata, sina hakika kama hiyo dhana ya uwajibikaji ipo mpaka leo.
Itoshe tu kusema Tz ilimuhitani sana huyu mzee.
Tulikuwa kwenye mchakamchaka wa kimapinduzi hasa,kuanzia kwenye viwanda,.miundombinu,kuondokana na utegemezi wa misaada kwa kulinda na kutegemea lasrimali zetu kupitia secta za madini kwa kuzuia utoroshwaji na mikataba ya kinyonyaji,na mambo mengine mengi tu.
Leo hii ukiniuliza dira yetu ni ipi, kwakweli sijui hata tumedhamilia nini ili tufike wapi kama Taifa.
Kwa sasa selikali na mwananchi wa kawaida ni kama mbingu na aridhi.
 
Huu mfumo mbovu si umeletwa na CCM?
 
Jina lako tu

Worst president we ever had
Unaandika tu kama kuku asiye na kichwa kwa kutumia uhuru wako wa maoni unaotambuliwa kikatiba.

Ila ingekuwa yule DIKTETA angekuwa hai usingekuwa na uhuru huu unaoufurahia. Na huo sasa ndiyo ubora wa Rais Samia
 
Nakuunga mkono 100%

Haya sasa, kwa kuwa tupo huru na haki imetamalaki, tuwekee namba ya simu hapa tukupongeze kwa airtime
Inatosha tu kwa namna ulivyoandika, na huo ndiyo ubora wa JF. Wala huhitaji namba yangu na mimi sihitaji namba ya Msanii
 
Kuna kitu naomba nielimishwe, hivi kampuni kuishtaki serikali mahakamani hutegemea na rais aliyepo madarakani?

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Kifo kingine ambacho Tanzania ilipata hasara ya karne ila walio wengi hawakugundua, ni cha Mh. Reginald Mengi
Mh Mbatia is very intelligent; nilimsikia kwa masikio yangu anaongea akisema "KIFO CHA MENGI NI HASARA KWA SERIKALI"
 
Unaandika tu kama kuku asiye na kichwa kwa kutumia uhuru wako wa maoni unaotambuliwa kikatiba.

Ila ingekuwa yule DIKTETA angekuwa hai usingekuwa na uhuru huu unaoufurahia. Na huo sasa ndiyo ubora wa Rais Samia

Uhuru ? Unajua manaa ya uhuru.

Wewe ni kiazi. Kila mtu anamtazamo wake wa ku determine who is the best president.

Huo ni mtazamo wangu, na wewe tafuta wako uweke , usinipangie namna ya ku comment , Academic Failure wewe
 
Kifo kingine ambacho Tanzania ilipata hasara ya karne ila walio wengi hawakugundua, ni cha Mh. Reginald Mengi
Mh Mbatia is very intelligent; nilimsikia kwa masikio yangu anaongea akisema "KIFO CHA MENGI NI HASARA KWA SERIKALI"

Kabisa mkuu
 
MUNGU Ametukataza kufurahi kifo cha mtu awaye yote rejea Ezekieli 18:23. MUNGU mwenyewe hafurahii kifo cha mtu mwovu ,sasa mm na ww ni nani hata tushangilie kifo hicho.hivyo tujue kila anayefurah atalipia hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…