Sijakupangia cha kusema wewe kenge, nimesema umetumia uhuru wako kuandika pumba, periodUhuru ? Unajua manaa ya uhuru.
Wewe ni kiazi. Kila mtu anamtazamo wake wa ku determine who is the best president.
Huo ni mtazamo wangu, na wewe tafuta wako uweke , usinipangie namna ya ku comment , Academic Failure wewe
Siyo ndiyo wapiga dili wakubwaHiyo ni tamaa sasa
Alionea watu sn acha afeIla mama kabendera alilaani na ikampata
Alionea watu sn acha afe
Kwa hiyo ni uongo? kesi ngapi tumeshindwa?Wapinzani wa Senegal siyo wasaliti wa nchi kama hawa wa Tanzania.
# Lisu tutashitakiwa MIGA tukidai kodi kwenye madini yetu.
# tukichimba bwawa la umeme mvua haitanyesha tena na miti millioni 3 itakatwa hivyo tutatengwa kimataifa.
Sawa kabisa!Dikteta alikuwa vizuri tatizo lake ilikuwa ni ule ukatili wake
Lile likikuwa pigo kuu. Wazalendo waloshindwa kumlinda mwamba.
Jiwe kama jiwe alikuwa vizuri kwenye kuwanyoosha watu wa magharibi kujiona wao ndo wao na kwa hili alifanikiwa na alikuwa anaelekea kufanikiwa zaidi na zaidi.1.Miezi miwili tu baada ya hiyo tarehe kampuni ya symbion ililipwa zaidi ya billioni 349 na mafisadi kuachiwa licha ya bunge kutoa azimio symbion wasilipwe na waliohusika wafungwe.
2. Licha ya bandari ya Dares salaam kuboreshwa hadi kufikia meli kubwa ya mita 300 kuweza kutia nanga hapo lakini bado wakubwa serikalini hawalitangazi hilo maana tayari walishakula 10% na kuiuza kwa mwarabu.
3. Kesi zote sasa Tanzania lazima ishindwe na ilipe mabilioni ya pesa za walipa kodi masikini wa Tanzania maana wakubwa ndani ya serikali wanajilipa kupitia makampuni hayo.
4. Bunge , Serikali wamehongwa kwa kununuliwa pikipiki zenye nembo ya rais Samia ili waweze kufanyia kampeni za uchaguzi wa mwaka 2025 kwa gharama ya kuuza bandari zote za Tanganyika.
5. Tanzania ya kabla ya hiyo tarehe 17 ilikuwa Tanzania ya viwanda na vilionekana vikimea kila mahali na kuleta maelfu ya ajira kwa vijana hadi nchi ikaingia uchumi wa kati, Tanzania ya baada ya hiyo tarehe haieleweki inasimamia nini, kila kona vinajengwa vituo vya mafuta bila kuzingatia sheria ya mita 500 kutoka kituo hadi kituo na hakuna anayejali!
6. Tanzania iliyokuwa na uwezo wa kujenga miradi mikubwa kama bwawa la umeme ,reli ya umeme, sasa viongozi wake wanasema haijiwezi kwa lolote kabisa na kila kitu lazima waje waarabu kutuendeshea!.
My take.
Gharama za kumpoteza Magufuli zilikuwa kubwa ndiyo maana wenye akili za kuona mbali tulilia sana kwani tulijua fika Tanzania ilimhitaji Magufuli kuliko Magufuli alivyokuwa anaihitaji.
Muafrika ni kama nyani mkuu sometimes bila kuutumia ukatili habadiliki kamwe. Magufuli was right tatizo alikuwa na maadui wengi Afrika ukiuchukia unafiki na watu wanakuchukia, ukigusa maslahi yao your gone brotherDikteta alikuwa vizuri tatizo lake ilikuwa ni ule ukatili wake
Muafrika ni kama nyani mkuu sometimes bila kuutumia ukatili habadiliki kamwe. Magufuli was right tatizo alikuwa na maadui wengi Afrika ukiuchukia unafiki na watu wanakuchukia, ukigusa maslahi yao your gone brother
Wanajuta kwaajili ya nini wakati nchi ilishamshinda?Hata waliomuuwa wanajuta
Hapana alitesa sn wakosoaji wakeMuafrika ni kama nyani mkuu sometimes bila kuutumia ukatili habadiliki kamwe. Magufuli was right tatizo alikuwa na maadui wengi Afrika ukiuchukia unafiki na watu wanakuchukia, ukigusa maslahi yao your gone brother
Mwafrika ni mwafrika tu sisi kudaiwa na Barric ni sahihi kuliko sisi kuidai Barric.Tuna safari ndefu watu weusi wa Taifa hili.Dikteta ndo alifuta mikataba ya kampuni za madini kipuuzi sasa hivi tunalipishwa mabilioni na mahakama. Yeye na Profesa mpuuzi Mruma walitudanganya tunaidai Barric trilioni 495.. alitumia mabilioni ya Tsh kujijengea Airport kijijini kwake. Hata stendi ya Magufuli ilivyojengwa kibabe ni suala la muda tu itahamishwa tena.
Sasa unaidai bila kufuata utaratibu wa kisheria? Wewe kama unamdai mtu utaenda tu kumvamia bila utaratibu kisa unamdai?Mwafrika ni mwafrika tu sisi kudaiwa na Barric ni sahihi kuliko sisi kuidai Barric.Tuna safari ndefu watu weusi wa Taifa hili.