Kifo cha Magufuli, Tanzania ilipata hasara ya karne moja, maumivu yake yatawafikia hata walioshangilia

Kifo cha Magufuli, Tanzania ilipata hasara ya karne moja, maumivu yake yatawafikia hata walioshangilia

Uhuru ? Unajua manaa ya uhuru.

Wewe ni kiazi. Kila mtu anamtazamo wake wa ku determine who is the best president.

Huo ni mtazamo wangu, na wewe tafuta wako uweke , usinipangie namna ya ku comment , Academic Failure wewe
Sijakupangia cha kusema wewe kenge, nimesema umetumia uhuru wako kuandika pumba, period
 
Alionea watu sn acha afe

Wapinzani wa Senegal siyo wasaliti wa nchi kama hawa wa Tanzania.

# Lisu tutashitakiwa MIGA tukidai kodi kwenye madini yetu.

# tukichimba bwawa la umeme mvua haitanyesha tena na miti millioni 3 itakatwa hivyo tutatengwa kimataifa.
 
Wapinzani wa Senegal siyo wasaliti wa nchi kama hawa wa Tanzania.

# Lisu tutashitakiwa MIGA tukidai kodi kwenye madini yetu.

# tukichimba bwawa la umeme mvua haitanyesha tena na miti millioni 3 itakatwa hivyo tutatengwa kimataifa.
Kwa hiyo ni uongo? kesi ngapi tumeshindwa?
 
Kama kuna mkono wa mtu, huo mkono ukatwe na kuzikwe katikati ya bahari penye kina kirefu. Mkono ufutike katika uso wa dunia.
 
Bahati mbaya sana alikuwa akitueleza kila siku kuwa amejitoa sadaka kwa ajili yetu na hatukumuelewa..

Na wala hakukosea alipokuwa akisema Yale yote aliyokuwa akiyafanya siku akiondoka atayafanya nani..??

Mwisho wa siku tunajionea mauzauza..
Lile likikuwa pigo kuu. Wazalendo waloshindwa kumlinda mwamba.
 
1.Miezi miwili tu baada ya hiyo tarehe kampuni ya symbion ililipwa zaidi ya billioni 349 na mafisadi kuachiwa licha ya bunge kutoa azimio symbion wasilipwe na waliohusika wafungwe.

2. Licha ya bandari ya Dares salaam kuboreshwa hadi kufikia meli kubwa ya mita 300 kuweza kutia nanga hapo lakini bado wakubwa serikalini hawalitangazi hilo maana tayari walishakula 10% na kuiuza kwa mwarabu.

3. Kesi zote sasa Tanzania lazima ishindwe na ilipe mabilioni ya pesa za walipa kodi masikini wa Tanzania maana wakubwa ndani ya serikali wanajilipa kupitia makampuni hayo.

4. Bunge , Serikali wamehongwa kwa kununuliwa pikipiki zenye nembo ya rais Samia ili waweze kufanyia kampeni za uchaguzi wa mwaka 2025 kwa gharama ya kuuza bandari zote za Tanganyika.

5. Tanzania ya kabla ya hiyo tarehe 17 ilikuwa Tanzania ya viwanda na vilionekana vikimea kila mahali na kuleta maelfu ya ajira kwa vijana hadi nchi ikaingia uchumi wa kati, Tanzania ya baada ya hiyo tarehe haieleweki inasimamia nini, kila kona vinajengwa vituo vya mafuta bila kuzingatia sheria ya mita 500 kutoka kituo hadi kituo na hakuna anayejali!

6. Tanzania iliyokuwa na uwezo wa kujenga miradi mikubwa kama bwawa la umeme ,reli ya umeme, sasa viongozi wake wanasema haijiwezi kwa lolote kabisa na kila kitu lazima waje waarabu kutuendeshea!.

My take.
Gharama za kumpoteza Magufuli zilikuwa kubwa ndiyo maana wenye akili za kuona mbali tulilia sana kwani tulijua fika Tanzania ilimhitaji Magufuli kuliko Magufuli alivyokuwa anaihitaji.
Jiwe kama jiwe alikuwa vizuri kwenye kuwanyoosha watu wa magharibi kujiona wao ndo wao na kwa hili alifanikiwa na alikuwa anaelekea kufanikiwa zaidi na zaidi.

Kwenye kuitengeneza sura ya miji mikubwa ionekane kama miji kweli alishafanikiwa sana. Ubungo inter-change, fly over, mfugale bridge, SGR, na vingine vingi tu vinavyowapa kiburi CCM kujigamba na kutaka kuvitumia kumpamba navyo aliyechukua kijiti.

Hawana aibu na hizo hasara unazosema kwasababu wao hayawahusu. Kikubwa kwao ni wabaki madarakani na kuwarithisha watoto wao na wa vimada vyao

Pale Msamvu Morogoro getini kabisa baada ya kuzikwa hata kabla ya arobaini kuna mtu kaporomosha bonge la sheli matata sehemu ambayo ni enelo la stendi.

Lakini tusisahau mwamba naye alizidi ukatili na ubabe kwa watu wake baana. Kwake sheria zilikuwa nimaandishi tu kama magazeti ya Shigongo ndio maana watu wanahisi wahuni waliamua kupita nae mapema ili kusafisha wingu kabla mvua haijanyesha maana alipokuwa anaelekea lazima kuna watu wangeiga nyendo zake na hatimaye kuonekana ni kawaida tu kitu ambacho wahuni wa ndani na nje hawakitaki.
 
Nikipata nafasi ya kwenda kwenye kaburi la Magufuli nitatafuta namna ya kusogeza jiwe kubwa kabisa juu ya Hilo kaburi ili hata Yesu akija asitoke!
 
Muafrika ni kama nyani mkuu sometimes bila kuutumia ukatili habadiliki kamwe. Magufuli was right tatizo alikuwa na maadui wengi Afrika ukiuchukia unafiki na watu wanakuchukia, ukigusa maslahi yao your gone brother

Hata waliomuuwa wanajuta
 
Muafrika ni kama nyani mkuu sometimes bila kuutumia ukatili habadiliki kamwe. Magufuli was right tatizo alikuwa na maadui wengi Afrika ukiuchukia unafiki na watu wanakuchukia, ukigusa maslahi yao your gone brother
Hapana alitesa sn wakosoaji wake
 
Dikteta ndo alifuta mikataba ya kampuni za madini kipuuzi sasa hivi tunalipishwa mabilioni na mahakama. Yeye na Profesa mpuuzi Mruma walitudanganya tunaidai Barric trilioni 495.. alitumia mabilioni ya Tsh kujijengea Airport kijijini kwake. Hata stendi ya Magufuli ilivyojengwa kibabe ni suala la muda tu itahamishwa tena.
Mwafrika ni mwafrika tu sisi kudaiwa na Barric ni sahihi kuliko sisi kuidai Barric.Tuna safari ndefu watu weusi wa Taifa hili.
 
Mwafrika ni mwafrika tu sisi kudaiwa na Barric ni sahihi kuliko sisi kuidai Barric.Tuna safari ndefu watu weusi wa Taifa hili.
Sasa unaidai bila kufuata utaratibu wa kisheria? Wewe kama unamdai mtu utaenda tu kumvamia bila utaratibu kisa unamdai?
 
Back
Top Bottom