Kifo cha Magufuli, Tanzania ilipata hasara ya karne moja, maumivu yake yatawafikia hata walioshangilia

Kifo cha Magufuli, Tanzania ilipata hasara ya karne moja, maumivu yake yatawafikia hata walioshangilia

Samia is far better than all, except mwalimu Nyerere.

NYERERE MLEVI ??



Nyerere bia.jpg
 
Dikteta ndo alifuta mikataba ya kampuni za madini kipuuzi sasa hivi tunalipishwa mabilioni na mahakama. Yeye na Profesa mpuuzi Mruma walitudanganya tunaidai Barric trilioni 495.. alitumia mabilioni ya Tsh kujijengea Airport kijijini kwake. Hata stendi ya Magufuli ilivyojengwa kibabe ni suala la muda tu itahamishwa tena.
Waambie machawa ukweli hawaelewi kitu chochote kabisa mwamba!
 
o
Sasa unaidai bila kufuata utaratibu wa kisheria? Wewe kama unamdai mtu utaenda tu kumvamia bila utaratibu kisa unamdai?
oh waoh kumbe ustaarabu upo kwa mdai lakini si kwa mdaiwa!Mtu akuibie makusudi bila kujua maumivu utakayopitia lakin kwenye kumdai uende kistaarabu which means mwizi anaENJOY every minute from kuiba mpaka kudaiwa!!Amazing isn't it!?
 
Gharama za kutaka kumpoteza Lissu zingekuwa kubwa kwa Taifa maradufu ya hizo.
 
Gharama za kutaka kumpoteza Lissu zingekuwa kubwa kwa Taifa maradufu ya hizo.

Lisu hata sasa hivi hayupo Tanzania, familia yake wote ni raia wa marekani.

Umeelewa?
Au kuelewa kwa nyumbu mpaka mijeredi matakoni
 
Lisu hata sasa hivi hayupo Tanzania, familia yake wote ni raia wa marekani.

Umeelewa?
Au kuelewa kwa nyumbu mpaka mijeredi matakoni
ndo ivo; mwenda kaonda zake kamkimbia Lissu. mchimba kaburi kaingia...
 
Tanzania Raisi gani alikua mzuri na pia mfano wa kuigwa.
 
Back
Top Bottom