Kifo cha Mfamasia Magdalena Kaduma, Jeshi la Polisi linamshikilia mume kwa uchunguzi

Katika tukio hilo, mume wa Magdalena ambaye hajafahamika jina, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano kutokana na kifo hicho huku mfanyakazi wa ndani wa kiume aliyekuwa akiishi pamoja nao, akidaiwa kuwa ametoroka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…