Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Ila umeambiwa umtaje mtu mmoja maarufuKifo cha Mwl JK Nyerere, ule Msiba ulikuwa mzito sana Kwa Taifa
Kule Vijijini ni kama hawakuwa wamejiandaa kusikia Mzee naye angekata Moto 🙌
Michael Jackson
Steven Kanumba
Mzee Reginald Mengi
Mzee JP Magufuli
Fredwaa (Mzee wa Sindano 5 za Moto)
Kifo hakizoeleki aisee 🙌