Kifo cha Mustafa Kamal Ataturk laana za allah zimshukie

Ukiandika DNA inatosha, halafu ukaandika unahitaji Quran kama ukumbusho wako, ume ji contradict halafu hata hujui kwamba ume ji contradict.
Hakika ya Mwanadamu ni mwingi ya kusahau...hivyo anahitaji UKUMBUSHO!
 
Hakika ya Mwanadamu ni mwingi ya kusahau...hivyo anahitaji UKUMBUSHO!
Mungu wako kashindwa kuweka ukumbusho huo katika DNA?

Umeandika DNA inatosha, mara tunahitaji ukumbusho wa Quran.

Unaelewa hata unachoandika mwenyewe?

DNA inatosha au tunahitaji ukumbusho wa Quran?
 
Huyu jamaa mwongo tuu
Amekaririshwa uongo huyo.Mtu aliyekataliwa aweza vipi kupewa hadhi ya baba wa taifa.Uwanja wa taifa uliopo Istanbul ambayo ni Constantinople ya kale unaitwa jina lake na kasema viongozi husherekea siku ya kuzaliwa awake ili iweje iwapo alikataliwa? Ikumbukwe Aturtuk ndiye aliyeuokoa mji wa Istanbul usitekwe ma majeshi ya washirika wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia.Dola La Ottoman lilikuwa lazima livunjike maana lilikuwa limejisahau kwa kuendekeza uhafidhina.Wakubwa wa magharibi walishaamua lazima litoweke.Zionists nao walikuwa wamezidishi hara kat I kudai ta if a lao kumbuka Balfour Declaration.
 
Batman vs superman with Dr Strange behind
 
UBAYA UBWELA
 
Quran inasemaje kwanini Allah hakumnyanyua Mohamed mbinguni?
 
Sio Airport tu hadi uwanja wa mpira upo unaitwa Mustafa Kermal Ataturk
 
    1. Fight those who believe not in Allah nor the Last Day, nor hold that forbidden which hath been forbidden by Allah and His Messenger, nor acknowledge the religion of Truth, (even if they are) of the People of the Book, until they pay the Jizya with willing submission, and feel themselves subdued," (9:29).
Hii mbaya sana aiseee!
 
Hawa jamaa wanalishana matango pori hadi sio poa.
 
Jizya ni kodi, muislam anatoa zakkat,asiye muislam anatoa jizya,kutolipa kodi ni uhaini, unataka kuangusha dola,sharti udundwe,alipokufa mtume kuna mji wa waislam waligoma kulipa zakkat, khalifa abu bakri akawadunda kwelikweli,wakarudi kulipa
 
Hii chai tamu sana, sikuwa nimeiona.
 
Jizya ni kodi, muislam anatoa zakkat,asiye muislam anatoa jizya,kutolipa kodi ni uhaini, unataka kuangusha dola,sharti udundwe,alipokufa mtume kuna mji wa waislam waligoma kulipa zakkat, khalifa abu bakri akawadunda kwelikweli,wakarudi kulipa
Jizya na zakkat tofauti yake ni Nini? Mkuu
 
Ila waislamu waongoo sana daaah hii dini ina uongo meingi ikiongozwa na mudi hatari sanaa
 
Ila mkuu,,,Mafaraoh wa Misri
  • hawakuwa wanafukiwa ardhini
  • Miwili ilipakwa asali na kuzungushiwa vitambaa
  • Walizikwa kwenye masanduku ya mawe ndani ya Pyramids
  • Lengo ilikuwa ni kuhifadhi miili iwe tayari kwa maisha ya ufufuko
 
Ottoman Empire ilishindwa vita vya dunia...ikaparanganyika kutokana na kutofautiana kwa makabila

1.Nchi zote zilizoshindwa vita zilivinjwa ili kuzipunguza nguvu
2.Ziliwekewa masharti dhidi ya Majeshi Yao
3.Ilifanywa kwa Ujerumani,Italia,Japan na Hata Hungary....
4.Ataturk ndiyo aliyokomboa Uturuki dhidi ya Ugiriki...

Soma Historia acha soga za vijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…