Kifo cha Mustafa Kamal Ataturk laana za allah zimshukie

Hii kali...

Hii chai imekolea tangawizi..
 
Nyie jamaa bana... Kwahiyo Allah hasikii kugha yeyote isipokuwa kiarabu? Pia kibagarashee na kanzu ndo nguo za mwenyezi Allah?
 
Na ndiye baba wa taifa la uturuki, waarabu wanataka lugha na tamaduni zao zienee mataifa ya wenzao ambayo waliyakuta na tamaduni zao
 
Kachagua amani na uzima WE ULITAKA ACHAGUE HADITHI ZA MA BIKIRA 72 UKAZANI KWELI NENDA KAFANYE KAZI MSHAMVA WW
 
Wenzetu hawa wanaamini mambo ya ajabu kabisa.
Mbona nyie munakesha kwa Mwamposa mukiaminishwa kuwa Ngwengwe linapona kwa kuombewa na mjasiliamari huyo hasiyekuwa na hata chembe ya uruma kwa kukusanya vicenti vya nyie mafukara wa kutupwa!?
 
Ardhi haimkatai mtu, uislamu na ukristu ni mambo ya dunia tu, Mungu wa kweli anapatikana katika jadi yako.
 
kwa wale wanaojua kidhungu habar ya huyo mwamba hiihapa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240922-195440_Chrome.jpg
    288.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240922-195503_Chrome.jpg
    166.7 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…