Kifo cha Mustafa Kamal Ataturk laana za allah zimshukie

Kifo cha Mustafa Kamal Ataturk laana za allah zimshukie

Wewe kweli una imani ya kijinga (no offense) yani kujiita Mungu tu jina la kiswahili hili ardhi ikukatae? Kuna watu kibao wanaitwa God au huwajui?
.
Watu wanamkufuru huyo Mungu wako allah ikiwemo hadi mimi na wanakufa na tunawazika vizuuuuri na marumaru juu.
.
Note: Mungu unaemwabudu wewe sio naemwabudu mimi
Hakuna kitu kibaya kama kujiona unajua kumbe huna ulijualo, God linapotumika kwa mtu huwa ni abbreviation ya jina Godlove, Godbless n.k na kama huamini basi nenda kawaulize wenye majina yao.

Ni kweli, huyo mungu mumuabuduye siye yule tumuabuduye siye, maana mungu wenu anashindwa, tena na mwanadamu (Mwanzo 32:24-30) na Mungu wetu ni mshindi asoshindwa na chochote.
 
Siijui aya, lakini mimi ni mfuatiliaji wa peace tv kuna makongamano mengi sana wanayaendesha wanayaita Christianity in Islam (Ni tv ya kiislamu)
.
Na sio hii tu hata za kitanzania kama Tv imani, hata waislamu wa humu wanaweza kusema hivyohivyo Issa wao atakuja ataowa na kufa Zurri FaizaFoxy nadanganya?
Nakusikitikia sana ndg yangu na nashindwa kuelewa hizi guts za kuzungumzia mambo usiyo na elimu nayo unazitoa wapi!?

No evidence no right to speak!!!

Tangu lini marejeo ya dini yakawa ni channels za luninga!?

Nakushauri acha kula nguruwe maana nyama yake inaharibu akili.
 
Hakuna kitu kibaya kama kujiona unajua kumbe huna ulijualo, God linapotumika kwa mtu huwa ni abbreviation ya jina Godlove, Godbless n.k na kama huamini basi nenda kawaulize wenye majina yao.

Ni kweli, huyo mungu mumuabuduye siye yule tumuabuduye siye, maana mungu wenu anashindwa, tena na mwanadamu (Mwanzo 32:24-30) na Mungu wetu ni mshindi asoshindwa na chochote.
Hahaha kwamba Mungu wetu Jehova aliyemfufua Lazaro, aliyeponya vipofu, aliyetenda miujiza kedekede kama kumnyakua Elia akiwa hai ashindwe na mwanadamu?
.
Embu soma tena
.
24 So Jacob was left alone, and a man wrestled with him till daybreak.25 When the man saw that he could not overpower him, he touched the socket of Jacob’s hip so that his hip was wrenched as he wrestled with the man. 26 Then the man said, “Let me go, for it is daybreak.”
But Jacob replied, “I will not let you go unless you bless me.”
27 The man asked him, “What is your name?”
“Jacob,” he answered.
28 Then the man said, “Your name will no longer be Jacob, but Israel,
[a]
because you have struggled with God and with humans and have overcome.”
29 Jacob said, “Please tell me your name.”
But he replied, “Why do you ask my name?” Then he blessed him there.
30 So Jacob called the place Peniel,

[b]
saying, “It is because I saw God face to face, and yet my life was spared.”
.
Haya twende kwenye tafsiri konki kabisa
.
Mungu alibadilisha jina la Yakobo, ambalo lilimaanisha "kuongezea," kuwa "Israeli," maana yake "kuwa na nguvu na Mungu" (Mwanzo 32:28). Hii ilitokea baada ya Yakobo kuchukua urithi wa Esau (Mwanzo 25) na kuiba baraka za Esau (Mwanzo 27), alikimbia ndugu yake hadi kwa mjomba wake Labani (Mwanzo 28), akaoa Leah na Rachel(Mwanzo 29), alikimbia Labani (Mwanzo 31), na kisha wakapigana na Mungu alivyojitayarisha kukutana na Esau. Yakobo alikuwa amedanganya ndugu yake, ametanganywa na mjomba wake, akamdanganya mjomba wake (Mwanzo 30), na sasa alikuwa akiingilia eneo la ndugu yake ili kukimbia hasira ya mjomba wake. Alikuwa amesikia kwamba Esau angekuja na kukutana naye na akaogopea maisha yake. Usiku huo, Yakobo alipigana na mtu, ambaye baadaye alijitambulisha kuwa Mungu na anahesabiwa kuwa ni theophany au labda Kristo aliyezaliwa kabla. Yakobo akamshikilia huyo mtu mpaka alipopata baraka. Ilikuwa wakati huu Mungu alimbadilishia jina. Yakobo hakuwa tena kuwa msaidizi na mwongofu. Badala yake, angeweza kutambuliwa kama "alijitahidi na Mungu na wanadamu na ……kushinda" (Mwanzo 32:28).

Katika Agano Jipya, Yesu alibadilisha jina la Simoni, maana yake "Mungu amesikia," na kuwa "Petro," maana yake ni "mwamba" alipomwita kwanza kama mwanafunzi (Yohana 1:42). Alikuwa Petro ambaye alitangaza kwamba Yesu alikuwa "Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai" (Mathayo 16:16). Yesu akamjibu kama "Simoni mwana wa Yona," akisema kuwa alibarikiwa kwa sababu Mungu alifunua jina la Yesu kama Masihi kwake. Kisha akamtaja kama "Petro" na akasema kwamba tamko la Petro lilikuwa msingi, au "mwamba," ambako angejenga kanisa lake (Mathayo 16: 17-18). Petro pia huonekana mara nyingi kama kiongozi wa mitume. Yesu mara kwa mara aliita Petro "Simoni" wakati mwingine. Kwa nini? Pengine kwa sababu wakati mwingine Simoni alitenda kama mtu wake wa zamani badala ya mwamba Mungu alimwita kuwa. Ndivyo ilivyo kwa Yakobo. Mungu aliendelea kumuita "Yakobo" kumkumbusha mambo yake ya nyuma na kumkumbusha kumtegemea nguvu za KIPOFU,
.
SASA NIAMBIE NI LINI MUNGU WENU ALIWAHI KUMCHUKUA KIUMBE WAKE KUMPELEKA KULE ALIKO AKIWA HAI, LINI ALIWAHI KUFUFUA, LINI ALIWAHI HATA KUMPONYA KIPOFU, MUNGU WENU HANA HATA UWEZO WA KUMNYANYUA MAREHEMU MUHAMMAD
 
Nakusikitikia sana ndg yangu na nashindwa kuelewa hizi guts za kuzungumzia mambo usiyo na elimu nayo unazitoa wapi!?

No evidence no right to speak!!!

Tangu lini marejeo ya dini yakawa ni channels za luninga!?

Nakushauri acha kula nguruwe maana nyama yake inaharibu akili.
Mimi sio ndugu yako Quran imekukataza mimi ni kijama wa Kikristo.
.
Peace tv ni channel ya kiislamu inaeleza haya na wana vipindi kedekede vya kulinganisha Uislamu na Ukristo sawa tu na MTA africa wale ahmadiya.
.

Umeandika nazungumzia mambo nisiyo na elimu nayo kwamba No evidence no right to speak soma comment #68 ya Zurri kathibitisha hilo alafu uje ukatae sasa na ameongezea ataishi miaka 40.
.
Nguruwe mtamu sana siwezi kuacha kumla hapa namgongea na kinywaji bariiiidi You just go eat bacon and ribs 😏
 
Nakusikitikia sana ndg yangu na nashindwa kuelewa hizi guts za kuzungumzia mambo usiyo na elimu nayo unazitoa wapi!?

No evidence no right to speak!!!

Tangu lini marejeo ya dini yakawa ni channels za luninga!?

Nakushauri acha kula nguruwe maana nyama yake inaharibu akili.
_106491073_gettyimages-909260196.jpg
Tanzania_food_-_Ndizi_na_kitimoto_cha_kukaanga.jpg
local-duck-bbq-in-makange.jpg
Karibu msosi weweeeee alaa!😊😊
Hakuna nyama tamu kama hii duniani

FaizaFoxy Zero IQ karibuni tugongee na banana kabisa
 
Mkuu ebu elezea vizuri ardhi kukataa mwili wake. Ni kwamba walivyochimba kaburi lake udongo ukawa hauchimbiki au shimo ulikuwa unajifunga wakitaka kuteremsha mwili? Naomba maelezo ya ziada tafadhali.
Hivi umeamini kweli hii hadithi!?
 
Hivi umeamini kweli hii hadithi!?
Ng'wanapagi,
Katika hili la Ataturk na kutozikwa ardhini inataka mtu kwanza umjue Ataturk alikuwa nani na alifanya nini.

Inaweza kutia shaka kubwa na kufanya mtu akataabika sana kuamini kuwa wachimba kaburi wanapiga sururu ardhini na sururu linashindwa kuchimba.

Kuwa Ataturk alifanya kufuru Muislam yeyote hili halimpi shida kuamini.

Asiyekuwa Muislam na ndivyo wanavyosema Ataturk kaitoa Uturuki gizani kwa kuvunja Ukhalifa.

Hapa litakuja swali kuwa kwani nchi zote za Waislam ambazo leo zina maendeleo makubwa zimefanikiwa kwa kuukana Uislam?

Sasa tuje kwenye suala la Ataturk kuwa hakuzikwa ardhini.

Kweli hakuzikwa ardhini hadi leo yuko ndani ya jengo juu ya mgongo wa ardhi.

Waislam huzikwa na hii ndiyo sheria inavyotaka hata Mtume Muhammad SAW juu ya utukufu wake amezikwa iweje Mustafa Kamal asizikwe kwa ubora gani aliokuwanao kumshinda Mtume SAW?

Ndipo Waislam wanaposema kuwa ardhi imemkataa kwa ajili ya kibri chake.

Kuelewa hili inataka kwanza umuamini Allah Mungu mmoja asiye na mshirika.

Vinginevyo watu mtabishana na kutupiana kejeli nyingi.
 
Ukisoma mazingira ya kukua Kamal utaelewa hasara za udini.

Waturuki walikuwa na jamii za wakristo wa mwanzoni na makanisa yale yanapatikana katika biblia Ufunuo 2 yapo huko. Pia walikuwa na dini zao nyingine kadhaa zilizokuwa na nguvu, katika biblia kwenye vitabu vya barua za Paulo kuna visa vinahusisha hizo dini.

Uislam ulipokuwa ukisambaa kwenda magharibi Uturuki pia ilihusika. Sophia ukawa mji muhimu wa utawala wa Ottoman. Watawala wa kipindi hiki kama ilivyokuwa warumi, walitoka kwenye jamii ya mtawala(kabila) hivyo kadri muda ulivyoenda walidunisha watawaliwa na kama hulka ya binadamu ubaguzi na unyasasaji ukashamiri.

Kamal alikuwa mturuki wa asili jamii waliyodunishwa. Awali wakiwa na lugha na tamaduni zao walilazimika kuishi kama watawala wa kiarabu.
Akiwa jeshini alitumika kiuaminifu mpaka walipoona sasa hali imezidi akawa kiongozi wa mapinduzi.

Waturuki walifurahi sana kumpata kiongozi atakayewatoa kwenye ukandamizaji huo. Wakapambana. Mafanikio yake Kamal ilikuwa ni kurudisha hadhi ya waturuki kwenye ardhi yao.
Walokuwa wakifaidika na mfumo wa uislam walikuwa wakimpinga.
Ataturk ni jina alopewa na watu wake. Maana yake baba wa waturuki, anaitwa hivyo hata leo.

Obvious kwa kuwa utawala wa Ottoman uliisha huko kwao waislam hawatakuja kufurahishwa na ndivyo alivyopewa hadithi hizi.

Duniani haya yametokea na yatatokea.
Visa vya Yesu na dini ya Kiyahudi.
He was obvious a threat kwa waliokalia viti.

Katoliki na wanamatengenezo.
Mpaka leo katika waprostentanti kwao ni mashujaa lakini hadithi ikisimuliwa na mkatoliki ni waasi.

Katoliki na Ufaransa. Vile vile Napoleon kwenye ukatoliki ana majina mabaya. Lakini kwa Dunia huyu ni Shujaa kuundoa ulaya yote kuwa chini ya papa.

Katika macho ya binadamu, wanadamu nyakati zote huwa wanatumia mifumo iliyopo kuendeleza ubaguzi na uonezi kwa wanyonge. Mifumo hiyo ikikomaa sana mapinduzi hutokea na mifumo mipya kuibuka.
Ataturk alimaliza yake kwa wakati wake.
Kama unaipenda dini yako tenda wema hiyo dini itadumu na rekebisheni mifumo ya ovu kwenye dini husika. Haihitaji dini kuujua wema.
 
kuna mazingira ambayo yalikuwa yakijitokeza yaliyo sababisha somehow kuwa na complications kwenye kuzika...
kutoka kwenye source haijaelezea vizuri ni complications zipi ila kwa kurefer kwa FIR-AUN "FARAOH" naeza elezea jinsi ardhi ilivyokuwa ikimkataa same applied to huyu jamaa.. ilikuwa hivi
Hii chai
Kila mwili ukizikwa ukafukiwa... baada ya mda kidogo unaonekana juu ya kaburi...
 
Mkuu ebu elezea vizuri ardhi kukataa mwili wake. Ni kwamba walivyochimba kaburi lake udongo ukawa hauchimbiki au shimo ulikuwa unajifunga wakitaka kuteremsha mwili? Naomba maelezo ya ziada tafadhali.

Wwkati mwingine dini inaweza kukupofusha ukadhani unamwabudu Mungu kumbe unatumikia dini. Huyo jamaa naona hata hawezi fikiria anachoandika mahaba yamemzidia sana mahaba ya kidini
 
Back
Top Bottom