Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Rodrick...huyu si ndio alitudanganya idadi ya misikiti iliyopo Dar es salaam uwongo wake anauhusisha zaidi na dini
Hahaha huwa najiuliza kwa nini haya mambo hayatokei hivi sasaKwaio ardhi inaweza kukataa maiti?
Hahaha kwamba Mungu wetu Jehova aliyemfufua Lazaro, aliyeponya vipofu, aliyetenda miujiza kedekede kama kumnyakua Elia akiwa hai ashindwe na mwanadamu?
.
Embu soma tena
.
24 So Jacob was left alone, and a man wrestled with him till daybreak.25 When the man saw that he could not overpower him, he touched the socket of Jacob’s hip so that his hip was wrenched as he wrestled with the man. 26 Then the man said, “Let me go, for it is daybreak.”
But Jacob replied, “I will not let you go unless you bless me.”
27 The man asked him, “What is your name?”
“Jacob,” he answered.
28 Then the man said, “Your name will no longer be Jacob, but Israel,
[a]
because you have struggled with God and with humans and have overcome.”
29 Jacob said, “Please tell me your name.”
But he replied, “Why do you ask my name?” Then he blessed him there.
30 So Jacob called the place Peniel,
[b]
saying, “It is because I saw God face to face, and yet my life was spared.”
.
Haya twende kwenye tafsiri konki kabisa
.
Mungu alibadilisha jina la Yakobo, ambalo lilimaanisha "kuongezea," kuwa "Israeli," maana yake "kuwa na nguvu na Mungu" (Mwanzo 32:28). Hii ilitokea baada ya Yakobo kuchukua urithi wa Esau (Mwanzo 25) na kuiba baraka za Esau (Mwanzo 27), alikimbia ndugu yake hadi kwa mjomba wake Labani (Mwanzo 28), akaoa Leah na Rachel(Mwanzo 29), alikimbia Labani (Mwanzo 31), na kisha wakapigana na Mungu alivyojitayarisha kukutana na Esau. Yakobo alikuwa amedanganya ndugu yake, ametanganywa na mjomba wake, akamdanganya mjomba wake (Mwanzo 30), na sasa alikuwa akiingilia eneo la ndugu yake ili kukimbia hasira ya mjomba wake. Alikuwa amesikia kwamba Esau angekuja na kukutana naye na akaogopea maisha yake. Usiku huo, Yakobo alipigana na mtu, ambaye baadaye alijitambulisha kuwa Mungu na anahesabiwa kuwa ni theophany au labda Kristo aliyezaliwa kabla. Yakobo akamshikilia huyo mtu mpaka alipopata baraka. Ilikuwa wakati huu Mungu alimbadilishia jina. Yakobo hakuwa tena kuwa msaidizi na mwongofu. Badala yake, angeweza kutambuliwa kama "alijitahidi na Mungu na wanadamu na ……kushinda" (Mwanzo 32:28).
Katika Agano Jipya, Yesu alibadilisha jina la Simoni, maana yake "Mungu amesikia," na kuwa "Petro," maana yake ni "mwamba" alipomwita kwanza kama mwanafunzi (Yohana 1:42). Alikuwa Petro ambaye alitangaza kwamba Yesu alikuwa "Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai" (Mathayo 16:16). Yesu akamjibu kama "Simoni mwana wa Yona," akisema kuwa alibarikiwa kwa sababu Mungu alifunua jina la Yesu kama Masihi kwake. Kisha akamtaja kama "Petro" na akasema kwamba tamko la Petro lilikuwa msingi, au "mwamba," ambako angejenga kanisa lake (Mathayo 16: 17-18). Petro pia huonekana mara nyingi kama kiongozi wa mitume. Yesu mara kwa mara aliita Petro "Simoni" wakati mwingine. Kwa nini? Pengine kwa sababu wakati mwingine Simoni alitenda kama mtu wake wa zamani badala ya mwamba Mungu alimwita kuwa. Ndivyo ilivyo kwa Yakobo. Mungu aliendelea kumuita "Yakobo" kumkumbusha mambo yake ya nyuma na kumkumbusha kumtegemea nguvu za KIPOFU,
.
SASA NIAMBIE NI LINI MUNGU WENU ALIWAHI KUMCHUKUA KIUMBE WAKE KUMPELEKA KULE ALIKO AKIWA HAI, LINI ALIWAHI KUFUFUA, LINI ALIWAHI HATA KUMPONYA KIPOFU, MUNGU WENU HANA HATA UWEZO WA KUMNYANYUA MAREHEMU MUHAMMAD
Uongo mtupu.Okay ngoja waje wataalamu wa historia.
Udugu tulonao kati ya mie na weye ni udugu wa jinsi; wewe ni binadam na mimi ni binadam na asili yetu wote ni moja.Mimi sio ndugu yako Quran imekukataza mimi ni kijama wa Kikristo.
.
Peace tv ni channel ya kiislamu inaeleza haya na wana vipindi kedekede vya kulinganisha Uislamu na Ukristo sawa tu na MTA africa wale ahmadiya.
.
Umeandika nazungumzia mambo nisiyo na elimu nayo kwamba No evidence no right to speak soma comment #68 ya Zurri kathibitisha hilo alafu uje ukatae sasa na ameongezea ataishi miaka 40.
.
Nguruwe mtamu sana siwezi kuacha kumla hapa namgongea na kinywaji bariiiidi You just go eat bacon and ribs [emoji57]
Wakorinto1; 11:7View attachment 1194598View attachment 1194597View attachment 1194596Karibu msosi weweeeee alaa![emoji4][emoji4]
Hakuna nyama tamu kama hii duniani
FaizaFoxy Zero IQ karibuni tugongee na banana kabisa
Sure hawa jamaa mahubiri yao yanatisha sana utafikiri kesho kiama ila wanaongoza kwa kutenda dhambi duniani hakunaWaislam wanastory za kusadikika wanataka kutufanya wote mazuzu.
Hawa jamaa wanatufanya bmazuzu !!! Wana mahubiri ya kutisha tishautafikiri kiamani kesho.... Halafu ni watenda dhambi wakubwaKwanini usisema hiyo maiti ndiyo imekataa kuzikwa?
Hahah nilijua tembo ndo anatia pombe maji kumbe tenbo ndo pombe ??? HahaahPalm wine, mgema akisifiwa hulitia tembo maji.🤣🤣
Hawa jamaa kama Nyerere angekua muislam na akaunda serekali scular Tanzania wangemlaumu na. Wangekuja na hadithi za kuungaunga kuhusu nyerere ! Hawana wema wanataka kila kitu kiende kwa misingi ya diniEmpires comes and goes..., ones persons hero / freedom fighter is another ones traitor / terrorist...
Uturuki ya leo isingekuwa Uturuki tunayoijua kama sio huyu bwana.., na yote aliyoyafanya ni kutokana na utashi wake.., na kidunia alifanya hivyo kwa ajili ya nchi yake kama makosa yake aliyoyafanya, yalifanya nchi isiwe ya kiimani au kidini zaidi atajuana na muumba wake / na imani yake huko alipo ila kidunia aliyoyafanya ndio yalisababisha Uturuki tunayoijua leo na wengine wengi wanaomlaumu be it conspiracies au vinginevyo kuna wengine wengi wanaomsifu
Hata mm. Nilijua tembo ndo anatia maji kwenye pombeDah leo ndio nimeelewa hii methali
Utanitag akijibuMkuu na mimi nasubiri jibu
Ukiona hauelweki au wengi wamekuelewa tofauti na ulivyokusudia;ujue hukujieleza vizuri.Braza...
Tatizo ambalo tutakuwanalo hapa Majlis ni kupishana wa uelewa.
Nimechangia kama mabandiko mawili katika mjadala huu lakini inakuwa kama vile hakuna anechukua kutoka hapo akaendeleza mjadala.
Anaechangia anakuwa kama hasomi post za nyuma au kama kasome hakuelewa lolote.
Nimesema katika bandiko langu lililopita kuwa ardhi kupigwa sururu na ardhi isichimbike
na tabu mtu kuamini ingawa inawezekana.
Nikasema kuwa kile kitendo cha Ataturk kuwa hakuzikwa maana yake ni kuwa ardhi imemkataa kwa sababu Kemal Ataturk kama ni Muislam alitakiwa azikwe lakini yeye hadi leo maiti yake iko juu ya mgongo wa ardhi.
Kuna kitu Waingereza wanaita ''figurative meaning,'' mathalan mtu akasema, ''He is running away from the truth.''
Hii maana yake si kuwa anatoka mbio kukimbia kwa miguu yake bali anaukataa ukweli.
Hii inaitwa, ''figurative speech.''
Ndipo inaposemwa Ataturk ardhi imemkataa.
Swali inaweza kuwa iweje asizikwe ili hali yeye ni Muislam na Waislam hawahifadhi maiti ila huzikwa ardhini?
Kidadari,Hawa jamaa kama Nyerere angekua muislam na akaunda serekali scular Tanzania wangemlaumu na. Wangekuja na hadithi za kuungaunga kuhusu nyerere ! Hawana wema wanataka kila kitu kiende kwa misingi ya dini
Bradha,Ukiona hauelweki au wengi wamekuelewa tofauti na ulivyokusudia;ujue hukujieleza vizuri.
Thanks mtaalamu kwa nondo za ukweli zisizo na shaka,Dini tumeletewa tu na lengo lake lilikuwa kuleta amani(kutisha watu wawe wapole).Uongo mtupu.
Historia ya Ataturk imeandkwa vizuri katika kitabu kinaitwa "Grey Wolf, Mustafa Kemal. An Intimate Study of a Dictator".
Nimekisoma. Hakina uongo wa hadithi hizi za ardhi kukataa maiti na chagizo zake tulizoambiwa hapa.
Dini ikitumia uongo ili kitisha watu waiamini inakosa hoja yoyote ya kuifanya iheshimike.
Waislamu hawamoendi Ataturk kwa sababu alikuwa secular leader aliyekataa kuendesha nchi kidini.
Mimi namuheshimu sana kwa uamuzi huo. Ameitoa Uturuki kutika Ufalme ulioanguka wa Ottoman mpaka kuifikisha kuwa nchi ya kileo.
Ataturk ni bonge la kamanda ambaye hakuyumbishwa na Waislamu wenye siasa kali.
Pia, wanaoamini Mungu hawafi kwa kuugua?
Kiranga,Uongo mtupu.
Historia ya Ataturk imeandkwa vizuri katika kitabu kinaitwa "Grey Wolf, Mustafa Kemal. An Intimate Study of a Dictator".
Nimekisoma. Hakina uongo wa hadithi hizi za ardhi kukataa maiti na chagizo zake tulizoambiwa hapa.
Dini ikitumia uongo ili kitisha watu waiamini inakosa hoja yoyote ya kuifanya iheshimike.
Waislamu hawampendi Ataturk kwa sababu alikuwa secular leader aliyekataa kuendesha nchi kidini.
Mimi namuheshimu sana kwa uamuzi huo. Ameitoa Uturuki kutika Ufalme ulioanguka wa Ottoman mpaka kuifikisha kuwa nchi ya kileo.
Ataturk ni bonge la kamanda ambaye hakuyumbishwa na Waislamu wenye siasa kali.
Pia, wanaoamini Mungu hawafi kwa kuugua?
Mpinga Uislam utaachaje kuwa upande wa mpinga Uislam?Uongo mtupu.
Historia ya Ataturk imeandkwa vizuri katika kitabu kinaitwa "Grey Wolf, Mustafa Kemal. An Intimate Study of a Dictator".
Nimekisoma. Hakina uongo wa hadithi hizi za ardhi kukataa maiti na chagizo zake tulizoambiwa hapa.
Dini ikitumia uongo ili kitisha watu waiamini inakosa hoja yoyote ya kuifanya iheshimike.
Waislamu hawampendi Ataturk kwa sababu alikuwa secular leader aliyekataa kuendesha nchi kidini.
Mimi namuheshimu sana kwa uamuzi huo. Ameitoa Uturuki kutika Ufalme ulioanguka wa Ottoman mpaka kuifikisha kuwa nchi ya kileo.
Ataturk ni bonge la kamanda ambaye hakuyumbishwa na Waislamu wenye siasa kali.
Pia, wanaoamini Mungu hawafi kwa kuugua?