Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

Nlkua nasoma pre form 1, wakati wa lunch ndo nkasikia hatunaye.
 
Tuheshimiane jamani hata katiba inanitambua, mpaka wimbo wa taifa pia unanitambua, nisipotajwa kwenye viongozi wote basi nipo kwenye wake na waume. Mtoto ni yule ambae ni below 18 na mtu mzima ni over18
Sijasahau, mada ni kuhusu kifo cha J.K.Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…