Baba Wawili 2012
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 413
- 336
Interesting article: binafsi nilkuwa katika ajira ya serikali miaka 6 tayari,(nilianza ajira na age ya 18). Lakin siku ya tukio nilkuwa nafanyakaz part time Maili 2 dodoma kwa DR Chihoma dispensary km clinical.
Nakumbuka wiki nzima kabla ya kifo kulikuwa na updates za taarifa ya hali baba wa taifa inavoendelea, na ilkuwa inatolewa na rais mkapa, kwa maongezi ya kawaida watanzania tulikuwa tunajisemesha huyu mzee afi tu watangaze...ikawa kila siku siku watu tunaulizana na hali ya baba wa taifa ata tukikutana mtaani... na kuwa strong enough hata wakitangaza amekufa tulikuwa tayari......
Hali ilikuwa tofauti sana...mara Rais Mkapa kutanga kifo chake kili mtu aliduaaa, aliinamana chini...watu walishindwa kujizuia kulia....nakumbuka nilishnidwa kufanya kazi siku hyo maana tangazo lilitoka mchana....
R.I.P Mwalimu Nyerere
Nakumbuka wiki nzima kabla ya kifo kulikuwa na updates za taarifa ya hali baba wa taifa inavoendelea, na ilkuwa inatolewa na rais mkapa, kwa maongezi ya kawaida watanzania tulikuwa tunajisemesha huyu mzee afi tu watangaze...ikawa kila siku siku watu tunaulizana na hali ya baba wa taifa ata tukikutana mtaani... na kuwa strong enough hata wakitangaza amekufa tulikuwa tayari......
Hali ilikuwa tofauti sana...mara Rais Mkapa kutanga kifo chake kili mtu aliduaaa, aliinamana chini...watu walishindwa kujizuia kulia....nakumbuka nilishnidwa kufanya kazi siku hyo maana tangazo lilitoka mchana....
R.I.P Mwalimu Nyerere