Kifo cha Nabeel chahusishwa na ushirikina, kafara imetimia!!!, Watanzania tuna mawazo ya ovyo sana

Kifo cha Nabeel chahusishwa na ushirikina, kafara imetimia!!!, Watanzania tuna mawazo ya ovyo sana

Ajali imetokea wakiwa njiani kutoka dar kwenda tanga kwenye shoo ambayo walipewa dili na ummy ticha, maeneo ya ajali siyakumbuki ila nahisi walikuwa washakaribia tanga maana majeruhi walikimbizwa bombo.
Gari yao aina ya noah iligongana na roli na marehemu alikuwa ndio dereva. Ila huyo chino na marehemu mi siwajui
Ajari imetokea Kabuku.
 
Ajali imetokea wakiwa njiani kutoka dar kwenda tanga kwenye shoo ambayo walipewa dili na ummy ticha, maeneo ya ajali siyakumbuki ila nahisi walikuwa washakaribia tanga maana majeruhi walikimbizwa bombo.
Gari yao aina ya noah iligongana na roli na marehemu alikuwa ndio dereva. Ila huyo chino na marehemu mi siwajui
Ile gari ni Toyota Vellfire na ajali ilitokea Kabuku
 
Aisee sisi Watanzania tuna mawazo ya ajabu sana.

Naona watu wengi wanahusisha kifo Cha Nabeel na imani za kishirikina.

Pointi yao ya msingi ni dhaifu sana ,eti kisa ile ajali ilikuwa mbaya sana na Chino katoka poa kabisa kana kwamba hakijatokea kitu.

Yani wao walikuwa wanataka eti na Chino angepata vijeraha kadhaa ndipo wangeamini ni ajali isiyohusisha nguvu za giza.

Na wameenda mbali zaidi kwa kusema eti kafara imetimia tutegemee mambo makubwa kutoka kwa Chino kupitia hiyo ajali.

Dah inasikitisha sana kwa kweli kama tumefikia huku.


Kwa nn wewe usingoje uone kuliko kuja hapa kutupigia kelele? Inawezekana pia ni kweli na inawezekana sio kweli.
 
Back
Top Bottom