Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa nilipo najiuliza Chino ni nani?ukiachilia mbali huyo Nabeel aliyetolewa kafara
Ajari imetokea Kabuku.Ajali imetokea wakiwa njiani kutoka dar kwenda tanga kwenye shoo ambayo walipewa dili na ummy ticha, maeneo ya ajali siyakumbuki ila nahisi walikuwa washakaribia tanga maana majeruhi walikimbizwa bombo.
Gari yao aina ya noah iligongana na roli na marehemu alikuwa ndio dereva. Ila huyo chino na marehemu mi siwajui
Utawaweza wabongo kwa nongwaInteresting.... kwahiyo asipovuma tena ndo itakua sio kweli...akivuma Sana itakua kweli??
Sasa wale ng'ombe waliopewa kama zawadi kwa kuifunga simba wangepelekwa wapi?
Ile gari ni Toyota Vellfire na ajali ilitokea KabukuAjali imetokea wakiwa njiani kutoka dar kwenda tanga kwenye shoo ambayo walipewa dili na ummy ticha, maeneo ya ajali siyakumbuki ila nahisi walikuwa washakaribia tanga maana majeruhi walikimbizwa bombo.
Gari yao aina ya noah iligongana na roli na marehemu alikuwa ndio dereva. Ila huyo chino na marehemu mi siwajui
Aisee sisi Watanzania tuna mawazo ya ajabu sana.
Naona watu wengi wanahusisha kifo Cha Nabeel na imani za kishirikina.
Pointi yao ya msingi ni dhaifu sana ,eti kisa ile ajali ilikuwa mbaya sana na Chino katoka poa kabisa kana kwamba hakijatokea kitu.
Yani wao walikuwa wanataka eti na Chino angepata vijeraha kadhaa ndipo wangeamini ni ajali isiyohusisha nguvu za giza.
Na wameenda mbali zaidi kwa kusema eti kafara imetimia tutegemee mambo makubwa kutoka kwa Chino kupitia hiyo ajali.
Dah inasikitisha sana kwa kweli kama tumefikia huku.
Inawezekana vipi kutoa kafara mtu ambaye sio damu yako
Inawezekana vipi kutoa kafara mtu ambaye sio damu yako
Niliamua kuingia kwenye account ya huyo chino man jamaa haioneshi kama amepata jeraha lolote tofauti na wenzake waliovunjika miguu jambo hili nazani ndio limeleta maswali mengi kwa mashabikiInawezekana vizuri tu
Sharon milioneaHyo brbr ya Tanga ilimuua nani yule bishoo hivi
Ni Chino Mwanawane (Wanaman-kwa Kizulu)Hapa nilipo najiuliza Chino ni nani?ukiachilia mbali huyo Nabeel aliyetolewa kafara