Kichogo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,094
- 3,218
We bibi unataka kusema ukiwa chuo ulikua huliwiInna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Binti alikwenda UDOM kusoma au kusomea?
Ameitia aibu familia yake na ametutia aibu Waislam wote, (either or) .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We bibi unataka kusema ukiwa chuo ulikua huliwiInna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Binti alikwenda UDOM kusoma au kusomea?
Ameitia aibu familia yake na ametutia aibu Waislam wote, (either or) .
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23]Wanao takiwa kutoa majibu na wenyewe unaweza Kuta wanashagaa hii ndio bongo land
AlhamduliLlah sijafanya ujinga kabla ya kuolewa. Harusi yangu ilifana.We bibi unataka kusema ukiwa chuo ulikua huliwi
Ko huyo babu hukuwahi junjana nae, hadi mlipofunga harusi?AlhamduliLlah sijafanya ujinga kabla ya kuolewa. Harusi yangu ilifana.
Mashallah ila chuo niumri mkubwa kwabint labda kama uliolewa kabla yakufika huko chuo kupunguza vishawish nauzinzAlhamduliLlah sijafanya ujinga kabla ya kuolewa. Harusi yangu ilifana.
Ni maadili mabovu na watu kutokufata mafunzo ya dini zao.Mashallah ila chuo niumri mkubwa kwabint labda kama uliolewa kabla yakufika huko chuo kupunguza vishawish nauzinz
Ni kweli, tena basi lenyewe linapita Dodoma saa za mchana! Inawezekana asubuhi ameingia akapiga vipindi mchana akasafiri! Labda huo mkanganyiko wa tarehe za kufariki!Tarehe 27 ni sikuyenye saa 24. Inwezekana kabisa ukahudhuria na ukasafiri kwenda kokote unakotaka hata kabla ya siku haijaisha. Kwa upsnde mwinge upo uwezekano wa wanachuo kuwaripoti wenzao kuwa wako darasani wakati wako safari- hili pia linaweza kueleza huko ALIONEKANA 27. mENGINE YALIYOBAKI NI chuki zako tu
Hata hiyo tarehe ya kufariki ni kwasababu UDOM hawakufanya uchunguzi wowote. Wao walisikiliza taarifa ya rafiki yake ambaye naye hakuwa na taarifa kamili. Wakati huo ilikuwa uvumi juu ya uvumi.Afrika ni kama hatuna akili tu...hapo mamilioni yametumika still wanatoa taarifa ambayo ni tata.Afrika ndo maana tulitawaliwa na tunashindwa kujitawala
Anasema alifika kwake tarehe 27/04/2023 usiku akiwa mzima kabisa na kakaa naye mpaka tarehe 01/05/2023.