Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Na pia matajiri wakueleweka huwezi kumuita Kidimbwi mkaongelea mambo ya msingi.
Na sio matajiri tu, hata watu wenye ajira zao serious huwezi mpeleka kidimbwi.
Sawa mtaalamuAnyway asilimia kubwa wanaokwenda kidimbwi ni kwa ajili ya show off ukiwa na akili za mihemuko unaweza changanyikiwa ujikute don uanze agiza hennessy. Inshort watu wanachezea sena pesa pale then wanachuo wengi sana au watoto.
Naonaga bora niende samaki samaki nakutana na watu wanaojielewa watu maarufu wa serikali na unatengeneza connection kibao. Zamni ulikua huniambii kuhusu kidimbwi na Tips mpaka wahudumu wote wananijua na madem wa pale wengi ni walewale ukienda mtu mgen unaweza pagawa ila ndo walewale njaa tu
Maradhi hazina... Kwann ununue shangingiπ€£π€£π€£π€£
Utaishia kwenye kipochi manyoya kweli?? Kwani wewe huwez kula gambe bila demu??
Alitaka Mangi au Masai amkatikie kwa buku jero?Siume Ambiwa hapo mademu Wana cheza cheza huku wanapeleka kinywaji [emoji28][emoji28]
Hujui vibe la Pombe wewe. Hizo pombe za kimya kanywee msibani tuKunywa pombe sehemu yenye makelele sio bata
Sent from my Iphone
M siku hizi huwa siingii nilipigwa red card kuingia pale since 2015Bosi wangu mmoja poker nusu imuue new africa pale alifaint
Hii hapa si mahali pake mkuuUkiwa mfanyakazi ukitaka vya juu kua makiniView attachment 2265358
Still hao sio matajiri.Kuna matajir kibao wanakwenda kidimbwi hao wana special seat ambapo kuingia huko VIP uwe na atlist 1m. Kuna mtu alipukutisha 56million usiku 1 pale kidimbwi sasa huyu sio tajiri?? Na huyu mwamba akiingia pale akitumia pesa ndogo sana 10million.
Akina manara, wasanii, watu maarufu kibao utawakuta kidimbwi, wanao ongoza kula bata ni wafanyakzi wa serikali kaka kibao me nakutana nao maeneo mengi.
Real shit Necca!Word.
Viwanja kama hivyo ni vya malaya,drug dealers, blackmailers, Pimps, wazee wa dark tricks zote na mafekeche
Viwanja kama hivi utapata HIV, gonorrhea, syphilis,klamedia, UTI, herpes, mifangasi.
Watu smart wenye cashflows zao wanakula hyatt regency movenpick au double tree by hilton.
Wanakula wale high class bi.tc.hes Au career women.
Mtu smart hawezi fvck demu mvuta sigara,mvuta shisha mwenye mitatoo kama gazeti.
These areas are there for the damned people with no life purposes but luckily visited with money.
Kweli kabisaStill hao sio matajiri.
Mtu mwenye heshima zake huwezi mkuta kidimbwi.
Manara na wasanii na hao watu maarufu wote ni njaa tupu. Huwezi kuta directors wa makampuni makubwa kidimbwi.
Hakuna kitu hapo.
Au kwenu mmeambiwa wasanii wa bongo wana hela?
How?Ila hiyo heading yako na content ni mkanganyiko[emoji23]
Madogo wa Forex wanapiga hela sana yani Forex mtu akishafika level ya 10000usd+ theres no going back hio kupiga dollar 500 daily ni kawaida akikusanya hata dollar 2000 kwa week tu si anasumbua sana weekend.Mzee laiti ungejua watu madili wanayoyafanya watu wanapiga hadi 150- 400m sio kwamba wengine baba gavana au nini wengi madogo wa forex...
Unatumia pesa ikuzoeeMmh! 5-10 million, kwa ajiri ya kei tu.. πΆπΆπΆπππ
Kuna kijana mmoja wa forex anaitwa Moneyhollic huwa anakuja pale kidimbwi na chawa wake wakina Dullvani,Mose Iyobo........Dogo na gang yake anaacha pale kidimbwi zaidi ya 5 million per one nightMadogo wa Forex wanapiga hela sana yani Forex mtu akishafika level ya 10000usd+ theres no going back hio kupiga dollar 500 daily ni kawaida akikusanya hata dollar 2000 kwa week tu si anasumbua sana weekend.
Madogo wana ma Gangs yao kabisa na wengi ndio wanaokuja kujiachia hapo Kidimbwi.
Hizi champagne za Dom pergnon kuna mahala ni zaidi ya million 1Cheki hii ni moja Kati ya bill zao..tatizo umasikini ndy unatufanya kila kitu tusiamini..Kama huamini ingia kwenye page Yao pia ukajionee na kujiridhisha mwenyewe bill zao,kuanzia chakula Hadi vinywajiView attachment 2262739View attachment 2262740
Watu mna dharauWewe hiyo milioni unaitafuta ili ukanunue bati uweke ndani usuibirie mwakani bei elekezi ya ufuta na mbaazi itakuwaje, mwenzio hiyo m ananunua Hennessy moja Tu hapo kidimbwi!! Tafuta hela
Maccm ndiyo yanachambia pesa zetu watz huko vidimbwi kwa kuagiza vinywaji vya mamilioni ....kweli nimekubali kuwa ccm ni maviiiNimemwekea bill hapo..alafu sikutaka tufike huku,kupost na mapicha picha niliogopa kufanya Uzi uonekane Kama tangazo,lkn nilipoona amekaza fuvu nikamwekea bill ya vinywaji ambayo ina bei za milioni