Kifo cha pesa Beach Kidimbwi

Kifo cha pesa Beach Kidimbwi

Kuna tajiria mmoja Arusha pale anapesa pale anauza mifuko na kuvua hotel kibao mjini pale sas Kuna siku namkuta aanpiaga zake bia za castle lager bila kujali. Na mm aaknimbia niagize cjochote koz namfahamu ndio nikaagiza Kilimanjaro. Lager kubwa kwa kweli Ni mtu mwenye peaa zake sikutegemeaa kumkuta. Pale yule mzee namfahamu San kwa kuwani ndugu na mam angu
Mtafutaji yeyote hadi anakuwa Tajiri, lazima anakuwa na discipline ya hela.

Hawa wanaotumbua hela, watakuwa ni watoto au ndugu wa matajiri, wapiga dili mjini, Chawa, waliotusua pesa kwa mkupuo, na wadangaji.
 
Watoto wa kishua ndio wanasumbua kidimbwii. Sio matajiri wenyewe..

Wasumbufu wengi kidimbwii ni wale baba gavana BOT.. ama baba CEO bandarini...

Na kuna wale wana urithi wa nguvu. Unakuta baba na mama wamefariki wamewaachia ukumbi za maharusi na appartments za kutosha dar.. hao ndio wanachezea hela kidimbwii.. maana zinaingia tu kila siku

Shida ya kidimbwiii madem wengi ni wadangaji tu.. ukiwaona pisiii kali jichanganyeee wakuuzie ukimwi
Sure... kuna mwanangu mmoja taasisi mmoja ya serikali imekodi eneo lao mwana ahh bill za mia 6 mia 7 zinalipwa kawaida tu
 
Back
Top Bottom