Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Huyo jamaa atakuwa wa Geita ndani ndani huko😂😂😂Chai how?? Mbona ni kweli alichokiandika mkuu[emoji23][emoji23] tembea uone aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa atakuwa wa Geita ndani ndani huko😂😂😂Chai how?? Mbona ni kweli alichokiandika mkuu[emoji23][emoji23] tembea uone aisee
Hivi Mwanza unarudi lini wewe bosslady mwenye makeke yake😄Hayo ndo maisha
Hahaha watu wanapenda amsha ansha mkuu tena amezungukwa na machawa.Ni usanii tu. Kwanini wasinunue na kujinywea hizo pombe kimya kimya hata nyumbani ikiwezekana?
Nikipata hela tena ntarudi nilale malaika...Hivi Mwanza unarudi lini wewe bosslady mwenye makeke yake😄
Mtafutaji yeyote hadi anakuwa Tajiri, lazima anakuwa na discipline ya hela.Kuna tajiria mmoja Arusha pale anapesa pale anauza mifuko na kuvua hotel kibao mjini pale sas Kuna siku namkuta aanpiaga zake bia za castle lager bila kujali. Na mm aaknimbia niagize cjochote koz namfahamu ndio nikaagiza Kilimanjaro. Lager kubwa kwa kweli Ni mtu mwenye peaa zake sikutegemeaa kumkuta. Pale yule mzee namfahamu San kwa kuwani ndugu na mam angu
Hela za urithi pia matumizi yake ni ya kufujaMtafutaji yeyote hadi anakuwa Tajiri, lazima anakuwa na discipline ya hela.
Hawa wanaotumbua hela, watakuwa ni watoto au ndugu wa matajiri, wapiga dili mjini, Chawa, na wadangaji.
Inaelekea ukipata kitu roho inataka vibe lako sio mchezo🤣🤣🤣Nikipata hela tena ntarudi nilale malaika...
Me u boss lady niutoe wapi mkuu
Ntaenda kufanya kufuru siku moja ila sio kwa kinywaji cha milioni aseeHahaha watu wanapenda amsha ansha mkuu tena amezungukwa na machawa.
Kidimbwi mtu anafika anaagiza vinywaji mezaa inajaa.
Muda mfupi tu unashangaa wasichana wanajaa kwenye hiyo meza.
Kidimbwi kuna kufuru kubwa mnoo.
Hasara roho pesa makaratasiiInaelekea ukipata kitu roho inataka vibe lako sio mchezo🤣🤣🤣
Siku nikipata pesa nitarudi tena kidimbwi!!
Hujawahi kusikia wananunua mbwa, paka au kiumbe chochote cha ajabu ajabu kwa kigezo cha urembo kwa mamilioni 3+Nimependa hapo kuhusu “financial freedom”...tutafute hela!! Ila ajabu matajiri huwaoni wakifanya hayo wala huwakuti kidimbwi
Hao viumbe wanawanunua kila weekend?Hujawahi kusikia wananunua mbwa, paka au kiumbe chochote cha ajabu ajabu kwa kigezo cha urembo kwa mamilioni 3+
Usisahau madalali wengi hawanaga future na hawaonei huruma pesaMtafutaji yeyote hadi anakuwa Tajiri, lazima anakuwa na discipline ya hela.
Hawa wanaotumbua hela, watakuwa ni watoto au ndugu wa matajiri, wapiga dili mjini, Chawa, na wadangaji.
Ongezea na Bushushu,Ngokoro,Ndala, n.k.😃😃😃😃Kweli mkuu, kwa mtu wa Ibinzamata,Kizumbi,Mwigumbi,Upongoji, Iselamagazi ataona hio Ni chai kabisa.Piga balimi 4 hapo mwanawane.
Wewe upoa karibu kutumia ushaanza haya maswaliHebu nielezee utamu wa unga kidogo... unajiskiaje pale unapotumia??
Wazee wa migodiNgoja ukutane na kina marley dollar...na bill za 5 to 6 m...
Sure... kuna mwanangu mmoja taasisi mmoja ya serikali imekodi eneo lao mwana ahh bill za mia 6 mia 7 zinalipwa kawaida tuWatoto wa kishua ndio wanasumbua kidimbwii. Sio matajiri wenyewe..
Wasumbufu wengi kidimbwii ni wale baba gavana BOT.. ama baba CEO bandarini...
Na kuna wale wana urithi wa nguvu. Unakuta baba na mama wamefariki wamewaachia ukumbi za maharusi na appartments za kutosha dar.. hao ndio wanachezea hela kidimbwii.. maana zinaingia tu kila siku
Shida ya kidimbwiii madem wengi ni wadangaji tu.. ukiwaona pisiii kali jichanganyeee wakuuzie ukimwi
Woiii kwa swala la ngada siweziWewe upoa karibu kutumia ushaanza haya maswali
Haijalishi ni kila baada ya muda gani ila kitendo cha kufanya manunuzi makubwa kwa kakitu kasichoeleweka hiyo ni inaashiria nini? Imagine hicho kiumbe matibabu yake na matunzo na unakuta sio kimoja.Hao viumbe wanawanunua kila weekend?
Sasa usijaribu hata kuuliza ladha yake, au before and after matumiziWoiii kwa swala la ngada siwezi